aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga