WCB kwanini wanamtenga sana Richmavoko?

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,578
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga
254be879be733230efab1ba9107e6bd7.jpg
d80c1c42a84e2be7be3089c9609b98b4.jpg
c84dfbd9c7f9787825901a15c1b6ecdf.jpg
4e627e0025cf5900020e6ddbc333d5b7.jpg
4fda0bec47795938fb887e905cc67925.jpg
c29c46fdcddc2ea9e7ddad0f54a98ced.jpg
 
Account za wenzake kuwa verified sio kigezo cha kwamba wana mtenga. Hukiangalia Mavoko ni msani Mkongwe kuliko hao wengi so jamaa anajua, pili jamaa sio mpenda kiki, uenda ndio anaonekana kapoa sema Mavoko ni hatare... Waulize WCB Wanajua
 
Mwingine Mangi Kimambi yeye anafollowers Million 1.6 na hajawa verified kwani kitufe cha verified kachukua Diamond au Mark Zuckerberg au Mark Zuckerberg anamtenga mavoko.?
Hizo tiki hatoi daimond bana,,
Kuna watu insta wana followe laki tu lakin wana tiki,,sijajua ni vigezo vipi wanatumia
 
Back
Top Bottom