Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wimbo wa 'no woman no cry' wa hayati Bob Marley Leo nilimtembelea rafiki yangu katika story huku tunakula muziki mzuri wa Bob Marley Ghafla kikaja kibao matata cha no woman no cry akaniuliza...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Nimeona clip za video zikiwaonesha Diamond akiwa Kahama na Harmonise akiwa Mtwara, wakirusha fedha na wanachi wakizigombania. Nauliza tu imekaaje kwenye sheria zetu za fedha?
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau,baada ya kuswali swala ya IDD leo nimiengia IG nikakutana na mbwembwe za bwana nasibu. Ametumia helicopter kuingia uwanjani. Ni wazo zuri ila tahadhari ichukuliwe ile sio gari ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Huyu laizer uwezo wake ni mdogo mdogo sana, beat zake zinafanana, hivi laizer anaweza tengeneza beat kama ya pana au diana, kiukweli huyu producer amenichosha na anapoelekea ataua WCB. Diamond...
15 Reactions
105 Replies
20K Views
Kusema ukweli tangu alikiba aamue kujiweka mbali na ushindani wa mziki wa kibiashara na diamond music industry hainogi tena. Mziki kwa sasa umetawaliwa na vijana wa wcb tu.,hdi inachosha wanatoa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
habarini zenu wajameni kwa wale wanaofuatilia mziki wa bongo fleva, na wa afrika mashariki kwa ujumla matumaini yangu ni kwamba mnamjua mtayarishaji wa beats maarufu kwa jina p-majani kinywele...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Jay Z ndiye rapa wa kwanza duniani kuwa bilionea, kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Forbes iliyowekwa wazi wiki hii. Rapa huyo ambaye ni moja kati ya wafanyabiashara wakubwa ametajwa kuufikia...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
idd m baraka
0 Reactions
1 Replies
795 Views
Wakenya wameapa kama watakutana na Willy Paul Mbinguni wataomba wahamishiwe motoni . Willy Paul amekua mwimbaji wa Injili huko kenya. Haya ndio matatizo ya kuimba Injili hata kanisa hujui lipo...
4 Reactions
38 Replies
9K Views
Binafsi naona kama music kwa sasa Tanzania unabembwa na hawa vijana waasanii wa Wasafi. Kwa sasa ni nadra sana kuona akina Fid Q , Weusi sijui na akina nani kupata show nyingi za ndani.Naona kama...
6 Reactions
34 Replies
7K Views
Kila nikiisikiliza kolabo ya Diamond na Fally Ipupa(INAMA) najikuta nafurahia midundo tu na siyo uimbaji wa bwana Nassib Abdul. Najua ni vyema kubadilika lakini wakati mwingine tuangalie na...
8 Reactions
67 Replies
9K Views
Mambo vipi wakuu, Habari za weekend? Moja kwa moja kwenye mada, Sir nature ni mmoja ya manguli wa bongo flava tangu kitambo mpaka sasa. Hapo zamani necha alikua ana uandishi flani hivi ambapo...
11 Reactions
111 Replies
16K Views
Moja ya vitu vinavyofanya ni.kubali Ali Kiba au King Kiba ni kuwa na tabia za kiume..kutoongea sana, kutojionesha nk pamoja na mambo yoooote nashangaa sioni mkizungumzia jamaa kutaka kupewa uraia...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Shoga kaenda Dubai hiyo caption sasa ukurasa mzima et kujifanya unaonewa wivu, mxieew , ushamba tu unakusumbua, Dubai yenyewe umefikia Deira huko mashenzin, kujifanya unaendesha Lamborghini Mxiee...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Diva na sauti yake ya kujiamini ikiambatana na nyodo ajibizana na Diamond On Air kisa mambo ya Instagram.
2 Reactions
158 Replies
42K Views
Naona kama watu wamezidi kumuandama msanii wetu pendwa na self proclaimed king of bongo fleva Mr. Aki kiba.. Watu wanamzonga zonga kisa tu Dee lebo yake inapaa kwa mwendo kasi wakati Ali eti...
0 Reactions
47 Replies
13K Views
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke...
0 Reactions
45 Replies
14K Views
Nmefuatilia mahojiano yaliofanyika Cloudfm katika kipindi cha XXL mavoko aliongea kuusu tetesi zinazo zagaa mitandaoni zinazo sema kua kaomba msamaha arudi kwenye lebo yake ya zamani W Adam...
7 Reactions
91 Replies
14K Views
Msanii wa muziki kutoka katika 'Label' ya WCB Wasafi Raymond amefunguka na kusema kuwa ilifika wakati alikata tamaa kabisa juu ya maisha hususani maisha ya muziki baada ya kusota kwa muda mrefu...
5 Reactions
48 Replies
11K Views
Kilichobaki ni kuanza kuact porn tu maana idea ya kiki ni ileile na safari hii imegoma rekodini video kabisa ya mapenzi apo ndo tutashituka. Davido anatrend Africa nzima kwa ngoma kali lakini...
13 Reactions
106 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…