Laizer ndio ataishusha WCB, Diamond usifanye nae nyimbo tena

Moneyowner

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,423
1,252
Huyu laizer uwezo wake ni mdogo mdogo sana, beat zake zinafanana, hivi laizer anaweza tengeneza beat kama ya pana au diana, kiukweli huyu producer amenichosha na anapoelekea ataua WCB.

Diamond kafanye ngoma na kina t touch, majani, nahreal , yule aliyetengeneza over boy, etc, au nenda hata nigeria huyo mshamba laizer mwache awatengenezee beat maandagroung kina queen darlin na rayvan na huyo mugacherere cjui q boy.

Pia rayvanny habadiliki staili yakeya kuimba ni moja, bora hata ya harmonize mara mia, cheki kwetu, natafuta kiki, kijusho, mugachere utasema ni nyimbo moja, kwenye salome ndo umejitahidi kubadilika.

Laizer uondoke WCB hatukutaki, au tutakupangia kazi ingine,
 
Huyu laizer uwezo wake ni mdogo mdogo sana, beat zake zinafanana, hivi laizer anaweza tengeneza beat kama ya pana au diana, kiukweli huyu producer amenichosha na anapoelekea ataua WCB.
Diamond kafanye ngoma na kina t touch, majani, nahreal , yule alietengeneza over boy, etc, au nenda hata nigeria huyo mshamba laizer mwache awatengenezee beat maandagroung kina queen darlin na rayvan na huyo mugacherere cjui q boy.

Pia rayvanny habadiliki staili yakeya kuimba ni moja, bora hata ya harmonize mara mia, cheki kwetu, natafuta kiki, kijusho, mugachere utasema ni nyimbo moja, kwenye salome ndo umejitahidi kubadilika.

Laizer uondoke WCB hatukutaki, au tutakupangia kazi ingine,


Maproducer wa kibongo hawana lolote.....Bongo hakuna producer wa kweli. Majani si akili yake imeingua na bangi, atatengeneza nini yule?
 
ni kweli laizer hana uwezo wa kuiendesha wcB Kama main producer!
bora hata Tudd
beat zake zote zinafanana...

kijuso ni wimbo mzuri Sana... lakini Rayvanny habadiliki .....kila siku anaimbia sauti moja!

Mimi shabiki wa WcB lakini hayo mapungufu nayaona....
laizer Hana beat mpya!!!!

inatakiwa beat za dance ziwe Kama ile diamond alimshirikisha iyanya... beat Ina ubunifu Fulani mfano; my number one,Nana
sio beat inakuja kabla hujataja wasafi ,imeshajulikana wasafi hio.
..
laizer sio mbunifu , bora hata Tudd Thomas!
au diamond afanye muziki popote anapohisi producer anafaa.
 
Unatafuta kazi WCB au?? Au unataka kurecord wimbo na WCB?? Anzisha lebo yako uwasign kina tuddy. Afu wewe producer anakuhusu nini?? Kama huna cha kupost vunga next tyme...
 
ni kweli laizer hana uwezo wa kuiendesha wcB Kama main producer!
bora hata Tudd
beat zake zote zinafanana...

kijuso ni wimbo mzuri Sana... lakini Rayvanny habadiliki .....kila siku anaimbia sauti moja!

Mimi shabiki wa WcB lakini hayo mapungufu nayaona....
laizer Hana beat mpya!!!!

inatakiwa beat za dance ziwe Kama ile diamond alimshirikisha iyanya... beat Ina ubunifu Fulani mfano; my number one,Nana
sio beat inakuja kabla hujataja wasafi ,imeshajulikana wasafi hio.
..
laizer sio mbunifu , bora hata Tudd Thomas!
au diamond afanye muziki popote anapohisi producer anafaa.

Ww ni producer au muimbaji?!
 
Back
Top Bottom