kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Mm siyo shabiki wa huyu jamaa lakini mwenye hii ngoma salute sana kaua vibaya sana, huchoki kusikiliza. Akiendelea kutoa ngoma kama hii mfulululizo atakamata sana soko la mziki hapa bongo.
Salute sana king kiba kwny hii ngoma umeumiza sana. Ngoja tusikilizie upande wa pili (WCB) kama wataweza kutoa ngoma itakayoweza kuupiku huu wimbo.
Salute sana king kiba kwny hii ngoma umeumiza sana. Ngoja tusikilizie upande wa pili (WCB) kama wataweza kutoa ngoma itakayoweza kuupiku huu wimbo.