warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,382
Sitaki kuamini hii Ndo Mara ya kwanza young Dee anaingia USA, maana sio kwa kutupostia mpaka VISA , kweli ushamba mzigo , Sasa sijui Na huko kaenda kufanya show Au ndo baecation.
Siku hizi naona young Dee mambo yake si haba, soon na yeye mtamuona anaanza kuchafua passport kama ommy dimpoz, eeh anajitahidi. Na hii ni trailer soon mtasikia young dee kafungua duka la nguo , maana danga lake si mchezo.
Bora tu udange mwenznagu , maana hip hop hailipi, na ujitahidi Sasa kulea ndoa , maana na wewe soon utaachwa kama naniliu na brevis uporwe na ufukuzwe kwenye ghorofa hlo, sijui utaenda wapi mjin hapa
. Kwanza maisha yenyewe magumu, kwan kutoa Tigo sh ngap?🤣, na USA ungeishia kuisikia kwenye bomba
Siku hizi naona young Dee mambo yake si haba, soon na yeye mtamuona anaanza kuchafua passport kama ommy dimpoz, eeh anajitahidi. Na hii ni trailer soon mtasikia young dee kafungua duka la nguo , maana danga lake si mchezo.
Bora tu udange mwenznagu , maana hip hop hailipi, na ujitahidi Sasa kulea ndoa , maana na wewe soon utaachwa kama naniliu na brevis uporwe na ufukuzwe kwenye ghorofa hlo, sijui utaenda wapi mjin hapa