Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ni moja ya msanii mzuri wa hip hop bongo pia mziki wake unaheshimika lakini toka ameacha kuimba na kuingia kwenye siasa huyu kinachomfelisha ni kutokuwa na msimamo. Mara CHADEMA,ACT na sasa hivi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
jana nikiwa katika pitapita zangu maeneo ya afrikana mbezi beach nikakuta wema amesimamishwa na maofisa wa TRA na polisi wenye mitutu wakaikagua iyo gari na kisha wakaondoka nayo wakiwemo hao...
1 Reactions
50 Replies
13K Views
Kwa wapenzi wa mziki mzuri watakubaliana na mimi kwamba moja ya msanii aliyekuwa anatuburudisha vilivyo na kuyafanya masikio yetu yapate burudani ya kutosha ni huyu bwana mdogo, tulipokuwa...
5 Reactions
39 Replies
8K Views
Wakuu heshima mbele, Ningependa kujua mishahara ya wafanyakazi wa Clouds Radio na Tv tafadhari, hususani watangazaji.
2 Reactions
80 Replies
22K Views
...Wanajamvi najiuliza hawa Wanasiasa kina Mama(Wabeijing) waliokuwepo Madarakani kama Mawaziri ktk Nusu ya kwanza ya Uongozi wa JK wamepotelea wapi sa hivi na wanajihusisha na nini la kumuondolea...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
ndani ya Akemi jijini Dar. Jana usiku mwigizaji na mwanamuziki Baby Madaha alizindua filamu yake mpya ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nuhu kaamua kujilipua tusubiri harusi.
1 Reactions
59 Replies
8K Views
Leo kuna picha za aibu sana zinasambaa, nimeshindwa kuziweka sababu hazina maadili ya kuwa hapa. Ila nachoweza kusema pole kwa yote yaliyokukuta Ezden. Una cha kujifunza kwenye mlolongo wa...
3 Reactions
206 Replies
56K Views
Jana wakati akitolea ufafanuzi suala la yeye kuchepeka Hamisa Mobeto,Diamond alisema anashangazwa sana na tabia ya watu kuhusianisha kila rafiki wa dada yake basi yeye anatembea naye huku akienda...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Aise Huyu mama anamafanikio sana na inasemekana ndio tajiri namba moja katika tasnia ya filamu Utajiri wake: 1.Ana Nyumba Tano za Kifahali dar-es-salaam(Nyingine ni ghorofa mbili,nyingine moja)...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Wasalaam wadau poleni na mfungo kwa wale ndugu zangu waislam chungu cha ngapi Leo??anyway acha niende moja kwa moja kwenye nia,Kuna kipindi kipya Pale usafini FM redio kinaanza Saa mbili usiku...
3 Reactions
49 Replies
12K Views
Tupunguze hasira ya Report ya CAG 2017/2018. Huyu ni socialite wa huko Rwanda mwenzenu nimebahatika kumuona kwa macho yangu kigali,sikuamini kabisa yaani,uzuri ni kama utamu wa matunda yaani...
10 Reactions
197 Replies
53K Views
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu kwa...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Huu wimbo unazaidi za masaa 24 yani siku moja na account ya Jamaa inazaidi ya subscribers 7M lakini wimbo hauna hata views 1M Swali langu diamond anawazidi wapi mbona wimbo wake ndani ya masaa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni mtangazaji huyo maarufu amekuwa akihoji wasanii wengi wa nje ya Tanzania wakiwemo Iyanya, Patoranking, Maurice Kirya na sasa amezungumza na hitmaker wa Duro, Tekno Miles wa...
1 Reactions
40 Replies
16K Views
Mmeichek movie ya shoga ya Tino? Jamaa nampa big up sana, kwa kuwa kuna wanaume wachache wenye UTHUBUTU kama Tino, na GUTS pia!! It's hgh time we talk abt these things! Tusijifanye kwamba haya...
1 Reactions
43 Replies
12K Views
huyu jamaa alianzia redio kadhaa za jijini kabla hajachomoka kwenda nje miaka iyo na kurudi kwa kasi ya ajabu moja kwa moja mjengoni Clouds Media. jamaa ni jembe. yeye ndo program manager wa...
4 Reactions
38 Replies
20K Views
Moja ya maproducers fundi kabisa kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava.Alitengeneza hit song nyingi sana kipindi yupo G Records na baadae G 2.Katika wasanii ambao aliwasaidia sana ni Ali Saleh Kiba...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom