Ni moja ya msanii mzuri wa hip hop bongo pia mziki wake unaheshimika lakini toka ameacha kuimba na kuingia kwenye siasa huyu kinachomfelisha ni kutokuwa na msimamo. Mara CHADEMA,ACT na sasa hivi...
jana nikiwa katika pitapita zangu maeneo ya afrikana mbezi beach nikakuta wema amesimamishwa na maofisa wa TRA na polisi wenye mitutu wakaikagua iyo gari na kisha wakaondoka nayo wakiwemo hao...
Kwa wapenzi wa mziki mzuri watakubaliana na mimi kwamba moja ya msanii aliyekuwa anatuburudisha vilivyo na kuyafanya masikio yetu yapate burudani ya kutosha ni huyu bwana mdogo, tulipokuwa...
...Wanajamvi najiuliza hawa Wanasiasa kina Mama(Wabeijing) waliokuwepo Madarakani kama Mawaziri ktk Nusu ya kwanza ya Uongozi wa JK wamepotelea wapi sa hivi na wanajihusisha na nini la kumuondolea...
Leo kuna picha za aibu sana zinasambaa, nimeshindwa kuziweka sababu hazina maadili ya kuwa hapa. Ila nachoweza kusema pole kwa yote yaliyokukuta Ezden.
Una cha kujifunza kwenye mlolongo wa...
Jana wakati akitolea ufafanuzi suala la yeye kuchepeka Hamisa Mobeto,Diamond alisema anashangazwa sana na tabia ya watu kuhusianisha kila rafiki wa dada yake basi yeye anatembea naye huku akienda...
Aise Huyu mama anamafanikio sana na inasemekana ndio tajiri namba moja katika tasnia ya filamu
Utajiri wake:
1.Ana Nyumba Tano za Kifahali dar-es-salaam(Nyingine ni ghorofa mbili,nyingine moja)...
Wasalaam wadau poleni na mfungo kwa wale ndugu zangu waislam chungu cha ngapi Leo??anyway acha niende moja kwa moja kwenye nia,Kuna kipindi kipya Pale usafini FM redio kinaanza Saa mbili usiku...
Tupunguze hasira ya Report ya CAG 2017/2018.
Huyu ni socialite wa huko Rwanda mwenzenu nimebahatika kumuona kwa macho yangu kigali,sikuamini kabisa yaani,uzuri ni kama utamu wa matunda yaani...
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu kwa...
Huu wimbo unazaidi za masaa 24 yani siku moja na account ya Jamaa inazaidi ya subscribers 7M lakini wimbo hauna hata views 1M
Swali langu diamond anawazidi wapi mbona wimbo wake ndani ya masaa...
Siku za hivi karibuni mtangazaji huyo maarufu amekuwa akihoji wasanii wengi wa nje ya Tanzania wakiwemo Iyanya, Patoranking, Maurice Kirya na sasa amezungumza na hitmaker wa Duro, Tekno Miles wa...
Mmeichek movie ya shoga ya Tino? Jamaa nampa big up sana, kwa kuwa kuna wanaume wachache wenye UTHUBUTU kama Tino, na GUTS pia!! It's hgh time we talk abt these things! Tusijifanye kwamba haya...
huyu jamaa alianzia redio kadhaa za jijini kabla hajachomoka kwenda nje miaka iyo na kurudi kwa kasi ya ajabu moja kwa moja mjengoni Clouds Media.
jamaa ni jembe.
yeye ndo program manager wa...
Moja ya maproducers fundi kabisa kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava.Alitengeneza hit song nyingi sana kipindi yupo G Records na baadae G 2.Katika wasanii ambao aliwasaidia sana ni Ali Saleh Kiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.