Kwenye Msiba Dume Zima na Hereni...!!

Mgodo visa

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
3,562
3,559
Imenisikitisha sana, kijana anajiita Bill Nas (Bill Nenga) Sijui hata jina lake halisi.

Bila haya wala hiyana Katinga Kanzu na Hereni juu..

Nimeshindwa kumuelewa..!!
20190506_191553.jpeg
 
Mkuu ndo madhara ya kukaa sana vijijini ,hayo no maisha binafsi hata wewe Kuna tabia unazo wengine hatuzitaki,hivyo mjini tunaheshimiana Kama hupendi kiduku usinyoe ww mkeo na wanao,wengine ongea nao kibiashara ,mjini kutafuta hela tu,Kama we shoga na unahela ya kununua bidhaa zangu maisha yako hayanihusu anaenihusu ni wanangu tu
 
Mkuu ndo madhara ya kukaa sana vijijini ,hayo no maisha binafsi hata wewe Kuna tabia unazo wengine hatuzitaki,hivyo mjini tunaheshimiana Kama hupendi kiduku usinyoe ww mkeo na wanao,wengine ongea nao kibiashara ,mjini kutafuta hela tu,Kama we shoga na unahela ya kununua bidhaa zangu maisha yako hayanihusu anaenihusu ni wanangu tu
good reply mjasiriamali mwenzangu, wewe ni mjasiriamali by nature
 
Imenisikitisha sana, kijana anajiita Bill Nas (Bill Nenga) Sijui hata jina lake halisi.

Bila haya wala hiyana Katinga Kanzu na Hereni juu..

Nimeshindwa kumuelewa..!!View attachment 1089842
ndio waislamu wa kisasa tulivyo, wenzetu wkristo wanakutenga kanisani moaka utubu.

angalia huyu amber rutty kaliwa nyuma na anaenda msikitini, angalia daimond anazaa na kila mwanamke na kila mwanamke anayeimba kwenye au kucheza show yake lazma amle ila mashehe wanamwacha tu, angalia wasanii wote hwa.


huyu bill nas hana kosa ukilinganisha na wanaokulana nyuma alafu mnawashabikia
 
Back
Top Bottom