INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,337
aisee nianze kwa kuwasalimu wanajukwaa
Khalid Robinson ni msanii wa kimarekani ambaye anaujua muziki kwa kweli...Kipaji chake anakithibitisha ndani ya tungo zake mujarabu kabisa hadi sichoki kuzisikiliza
Ngoma yake iliyofanya nimtambue ni 'location' aliyoiachia june 2016 then vibao vikali hv vikafuata
-American teen
-Young dumb broke n.k ndo vilivyompa jina.
Ukiuangalia uso wa jamaa ni kama innocent hv afu cha ajabu waweza dhani ni jibaba kumbe ni wa juzi hapo 98
vibao vyake ambavyo navikubali ni talk,therapy,O.T.W na hitsong kali aliyoitoa tar. 2 august mwaka huu inaitwa right back....
Namtabiria kufika mbali san huyu brooo coz yuko kipekee sana
Khalid Robinson ni msanii wa kimarekani ambaye anaujua muziki kwa kweli...Kipaji chake anakithibitisha ndani ya tungo zake mujarabu kabisa hadi sichoki kuzisikiliza
Ngoma yake iliyofanya nimtambue ni 'location' aliyoiachia june 2016 then vibao vikali hv vikafuata
-American teen
-Young dumb broke n.k ndo vilivyompa jina.
Ukiuangalia uso wa jamaa ni kama innocent hv afu cha ajabu waweza dhani ni jibaba kumbe ni wa juzi hapo 98
vibao vyake ambavyo navikubali ni talk,therapy,O.T.W na hitsong kali aliyoitoa tar. 2 august mwaka huu inaitwa right back....
Namtabiria kufika mbali san huyu brooo coz yuko kipekee sana