Hamornize na Nandy wamekosa VISA vya kuingia Marekani kwa ajili ya show,huku Diamond Platinumz afanikisha katika tamasha la oneafrica_music festival.

University_Promo

JF-Expert Member
Sep 29, 2018
749
660
Katika tamasha linalofanywa usiku huu wa tarehe 10/08/2029 Uko nchini Marekani New York.
Harmonize na Nandy wamekosa VISA vya kuingia nchini Marekani katika tamasha la Oneafrica_Musicfest.
Uku Diamond Platnumz ndiye msanii aliyefanikiwa kutumbuiza kwenye tamasha hilo.
Screenshot_2019-08-10-22-01-43.jpeg
Screenshot_2019-08-10-22-01-17.jpeg
Screenshot_2019-08-10-22-06-48.jpeg
 
Back
Top Bottom