Nini kitatokea endapo harmonize na Rich Mavoko wakiungana?

Murano

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
2,058
1,099


nauona mpambano mkali sana huku WCB kule Konde Gang hapa Kings Music aisee Bongo Flava itakua mbali saaaaaaana! ni mwendo wa hits tu jamani. Ngoja tuone
 
King music na rich wote hao huwezi beba ili ukashindane na wcb,maana kama ni silaha basi vijiko,,amchukue marioo,janjaro,nandy,maua,hanstone(na alikiba asimsahau)
 


nauona mpambano mkali sana huku WCB kule Konde Gang hapa Kings Music aisee Bongo Flava itakua mbali saaaaaaana! ni mwendo wa hits tu jamani. Ngoja tuone

muziki wa bongo bhna😀😀😀 me niko zangu napakua album ya indigo ya baba mdogo c breezy
 
King music na rich wote hao huwezi beba ili ukashindane na wcb,maana kama ni silaha basi vijiko,,amchukue marioo,janjaro,nandy,maua,hanstone(na alikiba asimsahau)
King music na rich wote hao huwezi beba ili ukashindane na wcb,maana kama ni silaha basi vijiko,,amchukue marioo,janjaro,nandy,maua,hanstone(na alikiba asimsahau)
eti na alikiba😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom