Uyu chalii ni Producer pia ni Artist kutoka uko Kibaha sijui Bagamoyo!!Sasa alikuja apa chuoni kwetu Chuga tukamfanyia interview kwenye kiredio chetu iki cha Chuo...Me bado mwanafunzi mamilox alaf niko below 23..Muulize Fred Saganda wa Rafael alikuepo nda mwana ake.Yaani huyo ni wewe?
Hahaha yuko Bwiii bwaaa..kakata maji kama mamba.Huyu mwamba kama kalewa hivi. View attachment 1194340
Hata sielewi ngoja nisepeUyu chalii ni Producer pia ni Artist kutoka uko Kibaha sijui Bagamoyo!!Sasa alikuja apa chuoni kwetu Chuga tukamfanyia interview kwenye kiredio chetu iki cha Chuo...Me bado mwanafunzi mamilox alaf niko below 23..Muulize Fred Saganda wa Rafael alikuepo nda mwana ake.
Hata sielewi ngoja nisepe
, umekomeshwa Leo.Hata sielewi ngoja nisepe
Dogo ni typing error au umepatia ?Ni yechu,aikatox
uo mdomo katika avatar ni wako???😋Majirani kwema??
, umekomeshwa Leo.
Ha haa yaani sielewiiii
Nami nilikuwa nakushangaa ujue!!!
Hajakosea hata kidogoDogo ni typing error au umepatia ?