Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

1. Karola 2. Kipenda Roho 3. Kifo 4. Muziki Asili Yake Wapi 5. Sauti ya Mnyonge Je wewe zako tano bora ni zipi?
5 Reactions
37 Replies
60K Views
Kuna kila dalili kuwa yule mchekeshaji nguli Idris Sultan leo atapandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu Tetesi hizo zimesikika katika viunga vya Central ambapo watu wa karibu wa Idris...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hey pals, najua mko poa. Nimekuwa nikishuhudia kelele nyingi za vijana wasio na kazi (jobless) wakidang'anyana na kutiana moyo kuwa eti Wasafi imekuja kuipoteza Clouds😁😁😁😁. Hiki ni moja ya...
12 Reactions
56 Replies
6K Views
Wiki imekua na mengi sana na bado haijaisha, Ali kiba na style ya nitoke vipi, kalalamika anafanywa na Diamond mchezo mchafu, kashindwa kuvumilia akaamua kuweka wazi anakerwa na huu mchezo kwa...
2 Reactions
59 Replies
20K Views
Ni mtu maarufu pekee kwa wasanii ambae ambae umetoa ya moyoni kuhusu maandamano.
13 Reactions
79 Replies
10K Views
Hizi ni kesi mbili tofauti za kutofuatwa kwa sheria za hakimiliki. Kesi ya P. Funk na Chameleon, producer P. Funk alipigana na kufanikiwa kupata haki yake iliyokaribia kuporwa na Chameleon...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Ninaomba ieleweke wazi sina bifu na Idris Sultan wala sijawahi kuwa na bifu naye ,ila penye ukweli lazima pasemwe huyu bwana mdogo ni mfanya ujinga na mambo ya kitoto toto ambayo yeye binafsi...
23 Reactions
134 Replies
16K Views
Nimeiona hii picha kwa rafiki yangu nikasema lazima nifikishe ujumbe. . Katika hatua tuliyofikia tumeamua maisha yetu yote tuyalenge kwenye kupata likes na views kwenye social media page zetu...
2 Reactions
19 Replies
6K Views
Katika kile kinachoonekana misimamo tofauti juu ya sakata la WCB na Harmonize,tayari wajuaji wameshaanza kumwaga upupu wao kwa WCB. Yetu macho na masikio. ---- Mkataba wa Harmonize, WCB...
10 Reactions
41 Replies
7K Views
Jioni hii Diamond (Chibu) ameripoti kuwa kesho atazungumza na vyombo vya habari nchini. Je, Chibu anaenda kujibu mawe anayorushiwa juu Million 500 ya Konde boy? Usikose kesho saa 5 asubuhi...
1 Reactions
68 Replies
10K Views
Ni usiku wa manane, Diamond yupo chumbani kwake, alikuwa amechoka, usingizi haumpati kwa sababu anaifikiria safari yake atakayoianza kesho kuelekea kwenye matamasha yake nchini Marekani. Kichwani...
10 Reactions
36 Replies
6K Views
Na nyie wasanii wa bongo movie , tumewachoka na sherehe zenu za kila siku za kutafuta Kiki za kijinga, hivi ni lin na nyie mtafanya sherehe kubwa kwa kujipongeza na mambo ya maana kama kujenga...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje...
0 Reactions
363 Replies
46K Views
Nimeisikia mahali kuwa kumbe mke wa zamani wa Diamond Platnumz na yule wa sasa Tanasha Dona, sijui Sembe, ni ndugu na kwamba Zari anamtumia Tanasha kum-monitor na kum-control Diamond. Lengo ni...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari za toka Jana mwana siasa na msanii mkongwe Bob wine, kafariki , tatizo alitekwa na kupigwa mpaka umauti kumfika.
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu!! Kama heading Inavyojieleza, Kwa sisi wafuatilia habari za kiburudani hapa tz,ishu kubwa inayotrend ni mkasa wa konde boy kujitoa WCB,ambapo anatakiwa kulipa hio contract...
6 Reactions
22 Replies
5K Views
Sikuwa na pozi za kirapa nilikuwa Gangsta sijui Yooo Nikawa conscious, Mtu wa culture, Rasta ambaye haangui ng'ooo.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya miaka 10 bila UCHUMBA wala NDOA Sean "Diddy" Combs,48, na Cassie,32, wameachana na kubaki marafiki,CASSIE amerudisha juhudi zake Ktk muziki na filamu, DIDDY ni baba wa watoto sita na...
4 Reactions
133 Replies
17K Views
Kamwene ,tuseme ukweli tu jamani, hii nguo aliyoivaa Huddah haijampendeza hata kidogo zaidi na zaidi amejidhalilisha tu, shepu yenyewe hana ,vimatako vimekakamaa kama chapati iliyochacha. Sent...
1 Reactions
31 Replies
10K Views
Uongozi wa wcb umempiga pini kijana raymond kujenga kanisa mkoani mbeya Alikuwa anataka kufanya hivo kama sadaka yake hasa baada ya kuona mondi pia anajenga mtwara Sallam na tale wanasema atagawa...
8 Reactions
60 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…