Ndio.Ww ni afisa habari pale wasafi?
Hivi kweli mtu mzima mwenye akili zake unaweza kuamini Konde Boy anaweza kumtetelesha Chibu..!!!!Kashaingia baridi baada ya harmonize kuitisha free event mbagala zakheim, Harmonize bingwa wa fitna sasa hivi maamae hana nyimbo ya kutoa analeta drama
Tulia mkuu, kuna wasafi festival tar 9.Kashaingia baridi baada ya harmonize kuitisha free event mbagala zakheim, Harmonize bingwa wa fitna sasa hivi maamae hana nyimbo ya kutoa analeta drama
Unajitekenya na kucheka mwenyewe, mkuu amin kwamba konde bado mwanafunz kwa chibuKashaingia baridi baada ya harmonize kuitisha free event mbagala zakheim, Harmonize bingwa wa fitna sasa hivi maamae hana nyimbo ya kutoa analeta drama
Huyu team kibakuli amejaa stress sanaKashaingia baridi baada ya harmonize kuitisha free event mbagala zakheim, Harmonize bingwa wa fitna sasa hivi maamae hana nyimbo ya kutoa analeta drama
Kashaingia baridi baada ya harmonize kuitisha free event mbagala zakheim, Harmonize bingwa wa fitna sasa hivi maamae hana nyimbo ya kutoa analeta drama
Hivi kweli mtu mzima mwenye akili zake unaweza kuamini Konde Boy anaweza kumtetelesha Chibu..!!!!
THUBUTU!
Unajitekenya na kucheka mwenyewe, mkuu amin kwamba konde bado mwanafunz kwa chibu
Kuna method ya kuua ushindani kwenye soko haswa kama mnaona kuna mshindani anayeteteresha mauzo yenu, Hapa unaanzisha kampuni jingine halafu unatengeneza hali ya ushindani FAKE kati ya hizo kampuni na mwisho wa siku watu watamsahau mshindani kama hatosoma alama za nyakati mapema..Alaah, ngoja uone watu wenye talents za figisu wengi mlikua mnasubiria downfall ya konde boy ila ndio hivyo mmeshafeli...diamond anatafuta relevance tuu kwa sasa
Alaah, ngoja uone watu wenye talents za figisu wengi mlikua mnasubiria downfall ya konde boy ila ndio hivyo mmeshafeli...diamond anatafuta relevance tuu kwa sasa