Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hayo yamewekwa wazi na mbunge wa viti maalum, Halima James Mdee akihojiwa na Wasafi Fm leo asubuhi. My take: Vijana mnakwama wapi? Lishangazi hilo lipo free changamkieni fursa
14 Reactions
135 Replies
18K Views
Zari The Bosslady amemmwagia maua Zuchu kwa uvumilivu wake kwa Diamond Platnumz mpaka kuipata Ndoa 😄
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Talaka 3 ndani ya siku 28 hizo zinafaa kuingia kwenye Guinness Worlds' Record.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye usiku wa mwanadada Yammi, Haji Sunday Manara amesema kama Diamond angechelewa kumuoa Zuchu basi yeye angeenda kutoa posa kwa Bi Khadija Kopa ili amuoe...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Rachel Temu maarufu Sana kwenye mtandao wa Instagram akitumia jina gumu - Tempestitouslyracheltemu ni mwanamke anaejinasibu kua yeye ni mke wa afisa flan wa ubaloz kutokea Zimbabwe. Anaishi...
7 Reactions
99 Replies
24K Views
Msikilizeni hapa anahitaji msaada wa haraka wa kisaikolojia! https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1929559557958758834?t=8vjMEJIjxKMPmI6X0Q3KGw&s=19
1 Reactions
19 Replies
2K Views
CALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil. Taarifa zinanyetisha kuwa mkali huyu wa timu ya Golden State...
2 Reactions
56 Replies
8K Views
To honor your closest and dearest friend. Who is your best friend?
0 Reactions
1 Replies
291 Views
Wajue watu wanaompa Mkongwe KOFFI OLOMIDE Nguvu ya Kudumu kwenye Muziki wa Afrika Takribani Miaka 40 Leo.. Wanasema Penye Mafanikio ya Mtu lazima kuna Connection au Mchakato flani wa kueleweka...
42 Reactions
189 Replies
11K Views
Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio mbalimbali ikiwamo Wasafi Fm. Vipindi karibuni vyote kama Wasafi fm ukikuta wanamu_interview mtu au msanii huwa wanaboa sana wanajidai wanajua kwenda Kwa...
10 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Baada ya wananchi kuvamia page za serikali mpaka za rais samia na no reforms no election chawa na kupe wa mama wamekuja na kampeni yao ili kuonesha mama anakubalika. Kwenye masuala ya...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Mtoto wa Will Smith, Jaden Smith, amefungua mgahawa wake wa "I Love You Restaurant”—mahali ambapo watu wenye uhitaji na wanaokabiliwa na ukosefu wa makazi wanaweza kula BURE. Sasa, mtu yeyote...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Jamani hii couple ya Navykenzo hua naipenda sana. Imedumu na ni mfano wa kuigwa. Sijawaona hadharani siku nyingi mpaka nilipowaona Jana kwenye harusi ya Jux. Nahreel hana raha na amekonda na sio...
7 Reactions
62 Replies
5K Views
  • Closed
Nawapa taarifa wafuasi na mashabiki wa Chadema kuwa diamond platnumz ni mkubwa kuliko chama chenu. Naona sasa hivi mnaendesha jaribio la mtandaoni kumzuia Diamond kufanya shughuli zake za muziki...
0 Reactions
71 Replies
3K Views
Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana machachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Diamond Imemchukua Miaka 6 Kumtengeneza Jux kuwa Msanii Namba 2, Alianza 2019 Akambless na Sugua, 2023 Enjoy, 2024 Ololufe Mi, Zote Hits 2023 Akampeleka BK Arena RWANDA [emoji1206] Kwenye Trace...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo msanii Yammi amefanya uzinduzi wa wimbo wake mpya na akifanya interview na waandishi wa habari amefunguka kuwaalika wasanii Nandy na Billnass lakini hawajatokea, mbali na hilo...
7 Reactions
74 Replies
4K Views
Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano. Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza. Una maoni gani?
14 Reactions
99 Replies
5K Views
Source: BBC South African reggae musician, Lucky Dube, has been shot dead in front of his children during an attempted car hijacking. What is your reaction to his death? One of South Africa's...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…