Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,733
- 7,667
Queen Darleen, Lavalava hawapati sapot ya fans wa WCB kama ilivyo kwa Rayvany. Mboso kidogo wanamsapoti japo si sana.
Hii hali inaenda kumkuta msanii mpya Zuchu. Tukubaliane kua ile trending ya Zuchu ilibebwa na Promo na si uwezo wake sasa nguvu ya promo Imeisha zuchu anaanza kuunga unga ana Video Mpya huko YouTube Inajikongoja. Je, wimbi ni mbaya au Video ndo mbaya?
Shida ni nini kwa hao wasanii, uwezo wao ni mdogo? Au hawapewi promo na Diamond? Na kwanini mpaka wapewe Promo na Diamond ndo Mnaenda ku-view?
Hii hali inaenda kumkuta msanii mpya Zuchu. Tukubaliane kua ile trending ya Zuchu ilibebwa na Promo na si uwezo wake sasa nguvu ya promo Imeisha zuchu anaanza kuunga unga ana Video Mpya huko YouTube Inajikongoja. Je, wimbi ni mbaya au Video ndo mbaya?
Shida ni nini kwa hao wasanii, uwezo wao ni mdogo? Au hawapewi promo na Diamond? Na kwanini mpaka wapewe Promo na Diamond ndo Mnaenda ku-view?