Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kiungo wa Mtibwa Sugar Henry Joseph amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Oliver, siku ya Ijumaa ya November 9 2018 jijini Mwanza, Henry amewahi kucheza Simba SC na soka la kupwa katika club...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Kwakweli dunia imeisha , yaan anakabemenda weee , alafu wanajitangaza sana
6 Reactions
111 Replies
28K Views
Subhash C. Patel was born in Dar-Es-Salaam, Tanzania, on August 13, 1946. He received the B. Tech. degree in electrical engineering from Loughborough University, Loughborough, England, in 1968...
1 Reactions
39 Replies
32K Views
Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita nilikutana na mwanamke mmoja hakika alinivutia sana nilikuwa na-drive lkn kutokana na uzuri wake aliojaliwa umbo maridadi mtoto bambata imejazia kiukweli sikuona...
11 Reactions
69 Replies
7K Views
Wasalaam, Wakazi amemtaka Babu Tale kusema ukweli kuhusu ugomvi wa Diamond na baadhi ya media kuliko kujificha nyuma ya dini . Namnukuu wakazi kupitia ukurasa wake wa instagram "Ndugu @babutale...
15 Reactions
54 Replies
9K Views
Katika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata...
14 Reactions
292 Replies
41K Views
Hivi inakuaje mastaa wa bongo wanapojaribu kufungua biashara huwa hazidumu? 1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma 2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea, 3.Chibu pafyumu &Diamond...
7 Reactions
52 Replies
8K Views
Taarifa za msiba wa Bi Shakila zilianza kama tetesi lakini baadae ikaja kuthibitika kuwa hatunae tena. Bi Shakila Saidi alikuwa ni mwanamuziki mahili, mkongwe na hodari katika miondoko ya taarabu...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa Rap kutoka Marekani Lil Wayne huenda akapewa hukumu ya miaka 10 jela baada ya kukiri kumiliki bunduki ya dhahabu pamoja na risasi kinyume cha sheria. Lil Wayne mwenye umri wa...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
Malkia wa filamu Jacquline Wolper Massawe amenunua kopi moja ya albamu ya Gold ya muimbaji Barnaba Classic kwa dola 3000 sawa na tsh million 7 Hayo yamefanyika kwenye listening paty ya albamu...
8 Reactions
61 Replies
10K Views
Kaka ake na umillinare wote huo anashindwa kumlipia dada ake kodi Jaman ? Sasa kufanya 40 ya kifahari yote ile na kumbe kodi anadaiwa ya nini ? . Kupitia insta Live, Queen darleen ka confirm...
16 Reactions
146 Replies
18K Views
naomba mniambie zaidi ya Ruby na Grace Matata nani anaweza kupiga show ya hivi hata kama akipigiwa vyombo?nazungumzia hadi wanaume sitaki wale wa gospel kina joe lwaga au gosbert wale wanajua...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini Wana jamvi: Kiukweli Grammy zimepoteza credibility yao Kama ya zamani,na hii imejidhihirisha kutokana na ubaguzi na kutokuwaweka wasanii ambao wanastahili kuwepo kwenye nomination zao...
3 Reactions
124 Replies
10K Views
mimi nimpenzi sana wa kusikiliza redio za ndani ya nchi na nje, huwa natumia Tune In kusikiliza redio nyingi sana za nje kule napenda HOT108JAMZ na IheartRadio pale kenya NRG, KISS nawakubali...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Dudubaya amepotea tokea 13 agosti, 2020 , leo ni miezi sasa lakini ukimya ni mkubwa, hata km alitukana watu lakini thamani ya uhai ni kubwa kuliko matusi yake. Dudubaya yupo wapi?
5 Reactions
23 Replies
7K Views
Wiki hii Tanzania imeng'ara baada ya msanii wake Diamond kuweka rekodi ya kupata views milioni 10 siku ya 8 baada ya kutoa hit song aliyomshirikisha papaa mobimba KOFI OLOMIDE. Ngoma hiyo...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Asalaam alaykhum, Kwakweli wale waliopata wasaa wa kusikiliza interview ya salama na gabo leo watakua wamepata kusikia confession ya Gabo exclusively kwamba naye anatumia mjani aka mjamaika aka...
3 Reactions
35 Replies
8K Views
Haijalishi mmekosana nini ni wakati sasa kukaa mezani musameheane haya maisha tu afu ukizingatia mshakuwa watu wazima Tumefundishwa kuwa binadamu hatokuja kupenda kamwe hadi pale atakapompenda...
5 Reactions
37 Replies
7K Views
Salam wadau wa JF Lengo kuu la thread ni kuomba ushauri Pamoja na msaada wa kimawazo ikiwezekana.. Ni kuwa mimi niko kwenye harakati za kufanya Muziki(baadhi ya wadau ambao wamepata kunisikiliza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom