Clouds Plus is better than Clouds Tv

mayowela

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
2,124
1,744
mimi nimpenzi sana wa kusikiliza redio za ndani ya nchi na nje, huwa natumia Tune In kusikiliza redio nyingi sana za nje kule napenda HOT108JAMZ na IheartRadio pale kenya NRG, KISS nawakubali, Nigeria Soundcity, hapa Bongo EA Radio, TIMESFM, KINGS FM ya Njombe, RADIO5 EFM, Clouds huwa nasikiliza Power Breakfast,

Nimefatilia kwa muda sasa upand wa TV Station, kila moja naona ina maudhui yake na ni seme nimeilewa ETV, ila CLOUDS PLUS nimeilewa sana

Clouds Plus japo haina muda mrefu ila ni channeli nzuri sana kwa upande wa ung'aavu pamoja na programs, nimeona wanaprogram nzuri sana, natabiri kipindi cha MTAZAMO cha Masoud Kipanya na Zainab Chondo kitafika mbali sana, ni kipindi bora cha habari kuliko hata Clouds Habari, vipindi vyao vina mpangilio mzuri kushinda vya Clouds Tv, wakiendelea hivo Clouds Tv haitaambulia kitu,

TVE kipindi chenu cha Point3, na TVE Habari ni ze besti, wasomaji wenu wa habari wana sauti zenye mamlaka pia background music ya habari iko poa ile mbaya.

CLOUDS PLUS is the channel to watch 2020
 
Eyce,
EATV ya sasa sio kama iliokuwa zamani, kwa Tanzania station nyingi bado zina mfumo wa kizamani vipindi vingi wanataka kuzalisha wao, wakati nje vipindi vingi vya TV watu wanatengeneza content wanatafuta mzamini wanaenda kununua airtime, hapa kwetu airtime kwa baadhi ya TV ni expensive, inapelekea wamiliki wa vituo kuzalisha vipindi visivokuwa na maisha marefu
 
Eyce,
EATV ya sasa sio kama iliokuwa zamani, kwa Tanzania station nyingi bado zina mfumo wa kizamani vipindi vingi wanataka kuzalisha wao, wakati nje vipindi vingi vya TV watu wanatengeneza content wanatafuta mzamini wanaenda kununua airtime, hapa kwetu airtime kwa baadhi ya TV ni expensive, inapelekea wamiliki wa vituo kuzalisha vipindi visivokuwa na maisha marefu
Jamani mbona eatv wanaruhusu hivyo vipindi vya nje? Mwenye kipindi chake ajaribu kupeleka pale na alipie airtime aone kama hakijarushwa. Sema wale jamaa wako na standards zao hawakurupuki kama hizi tv nyengine, na hawawezi kurusha kipindi kinachofanana na vyengine walivyonavyo.
 
Kwa upande wa Tv kwa sasa hapa bongo Wasafi tv ndio namba moja.

Kwa upande wa radio Clouds fm bado inaongoza.

Ukibisha tukutane geopoll.
 
Daaaah yan hadi kings Fm unasikiliza...? Umenishinda in radio naona EA wako vizuri kuliko Radio zote kwa sasa
Clouds naona kama kunakitu kinapungua bado nawaza kukitambua
 
Daaaah yan hadi kings Fm unasikiliza...? Umenishinda in radio naona EA wako vizuri kuliko Radio zote kwa sasa
Clouds naona kama kunakitu kinapungua bado nawaza kukitambua
yaah Kings fm nawasikiliza, kuna jmaa pale ana vocal kali sana, jingle nyingi za pale kafanya yeye, redio kama hizo ndio zina watu wenye madini sana kuliko hizo kubwa
 
Kwa upande wa Tv kwa sasa hapa bongo Wasafi tv ndio namba moja.


Kwa upande wa radio Clouds fm bado inaongoza.

Ukibisha tukutane geopoll.
unachozungumzia wewe ni usikilizwaji na utazamwaji, ninachoongelea mimi ni Maudhui/Content za vipindi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom