tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,039
Katika mahojiano yaliyofanyika siku ya jana kati ya Ayo tv na mwanamuziki Chid Benzi, mwanamuziki huyo ameeleza wazi kuwa yuko njiani kutangaza ndoa.
Ameyasema hayo baada ya kutoka soba katika vita ya kupambana kuachana na madawa ya kulevya. ameeleza kuwa mwanamke anayetaraji kumuoa hajawahi kuzaa nae japo mwanamuziki huyo amesema ana watoto.
Soma pia: Idadi ya watoto wa Chid Benz yazua gumzo
Ameyasema hayo baada ya kutoka soba katika vita ya kupambana kuachana na madawa ya kulevya. ameeleza kuwa mwanamke anayetaraji kumuoa hajawahi kuzaa nae japo mwanamuziki huyo amesema ana watoto.
Soma pia: Idadi ya watoto wa Chid Benz yazua gumzo