Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze. NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
29 Reactions
295 Replies
31K Views
Huduma kama 1. Kusafisha kucha Wanaume wengi wanajisahau sana suala la usafi wa kucha, unakuta kucha zimeweka weusi pembeni, nadhan pia ndio wanachangia kuongezeka kwa UTI na infection kwa...
2 Reactions
24 Replies
723 Views
I salute you kinsmen. Sipo hapa kuwavunjia heshima manguli wengine walioimba RNB kabla ya benpol. Hao kina Rama dee walikuwepo sawa lakini walikosa consistency ndio maana.. Ila benpol ni kichwa...
2 Reactions
12 Replies
497 Views
Shakira anasema "Huwa najutia kumpoteza Gerrard Pique. Dunia itaniona kituko ila ndio ukweli unaonitesa muda mwingi. Nailazimisha furaha na tabasamu usoni lakini ukweli moyo wangu umebeba mzigo wa...
15 Reactions
63 Replies
3K Views
Housegirl hakuwa karibu na tukio kuu, alikuwa mbali mahali ambapo hata wageni waalikwa walikuwa karibu zaidi yake hata hivyo baada ya wazazi kumpa keki mtoto kwa mategemeo awalishe wao kwanza...
16 Reactions
77 Replies
4K Views
Msanii bilnas amedai KUWA anamiliki gari la MILIONI mia SITA, IKIWA ni MOJA ya magari yake aliyo nayo HUKU akidai MWAKA JANA pekee kalipa Kodi ya magari yake MILIONI mia Saba. HUKU akilipia...
5 Reactions
86 Replies
3K Views
Msanii anayejitabainisha kama King wa Muziki Tanzania, Ali Kiba ametambulisha ngoma yake mpya rasmi leo akiwa kwenye kituo cha Redio kinachopenda kumbeba kwa gharama yoyote 'Clouds FM'. Ngoma...
3 Reactions
198 Replies
56K Views
Mpaka anafariki Jumanne Khalfani Uvuruge kilikuwa kinamuuma kuona wimbo alioutunga yeye lakini dunia nzima ilidhani umetungwa na Marijan Rajab Marijan alikuwa mtoto wa mjini sema alizaliwa...
3 Reactions
12 Replies
888 Views
Mwanamieleka maarufu Hulk Hogan amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71, WWE imethibitisha. - Hulk Hogan alikuwa miongoni mwa nyota maarufu zaidi katika historia ya mieleka lakini pia alikuwa...
9 Reactions
75 Replies
3K Views
Taarifa zilizo washangaza WATU MBALIMBALI ni kitendo cha msanii IBRA KWENDA Burundi kufunga NDOA bila kuwashirikisha wasanii wenzake. HUKU za chini zikidai kua ukweni NDO wamesimamia gharama za...
8 Reactions
106 Replies
3K Views
Mlioko Tanzania tafadhalini si vibaya kama mkatujuza Sisi tulio mbali nanyi katika hili Sakata ambalo limeshika Kasi mno.
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na...
11 Reactions
250 Replies
50K Views
Sasa sikia kaka, kama ulikuwa na redio ya betri au home kulikuwa na deck, halafu muziki unaopigwa ni wa Oliver N'Goma, Monique Séka au Mbilia Bel – basi bila hata kujua ulikuwa unasikiliza kazi ya...
4 Reactions
8 Replies
583 Views
Mmasai Abel Motika “ Mr Ebbo" alikiwasha Sana na Ngoma Kali zenye lafudhi na pigo za kimasai zilizokua na komedi pamoja na mafunzo ndani yake. . Ngoma gani unaikumbuka toka Kwa huyu mwamba? ...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
27 Reactions
427 Replies
27K Views
Yule celebrite aliyekuwa mtangazaji wa Redio Clouds Othman Njaidi amerejea bongo baada ya kukaa jela huko marekani kwa muda mrefu, karibu bongo mwendo mdundo,unaona ilivyobadilika
1 Reactions
66 Replies
18K Views
Ni askofu akihudumia mkoa wa Arusha
11 Reactions
68 Replies
4K Views
Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi! Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba...
87 Reactions
798 Replies
70K Views
Inasemekana ni tajiri Lakini mbona hajakaa kama tajiri, kuchekacheka hovyo, kushinda na mateja muda wote, nguo habadilishi. Yani sioni kama kuna tajiri pale, labda mniambie yeye ni msimamizi tu...
6 Reactions
51 Replies
3K Views
Mtoto Wa El chapo Ovidio Guzman Lopez amekiri kosa baada ya kukutwa na hatia kesi ya kuendesha magenge ya madawa ya kulevya nchini marekani. Ameweka wazi na kukubali kushirikiana na serikali ya...
7 Reactions
47 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…