Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Tukizungumzia vijana wanaoshikiliwa kwa uhaini wengi wanalifahamu jina la binti strong Niffer. Lakini kuna huyu mwamba anaitwa Mika Chavala. Sikuwa namfahamu ila nilim-google baada ya kuona jina...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Kukwepa views kusua sua, African boy kaona isiwe tabu. Lipia tu ata wakiona mabots na Wahindi kikubwa namba zisome.
4 Reactions
18 Replies
738 Views
Today is My Happy Birthday nina jipongeza mwenyewe siku yangu ya kuzaliwa Ninawakaribisha Marafiki zangu wote karibuni tusherehekee sikukuu yangu ya kuzaliwa. Karibuni nyote. . ...
12 Reactions
56 Replies
971 Views
Kila ninaposikia Wimbo wa Starehe wa Ferouz ft Prof Jay basi nasawazika roho na nafsi. Wimbo uliojaa nasaha na hekima, wimbo uliozingatia maadili, wafaa kwa wazee, vijana wa kike na wa kiume...
21 Reactions
115 Replies
4K Views
Hili life bhana, kutoka kuwa African giant mpaka kuanza kulialia, mhh nguvu ya mashabiki ni kubwa badilikeni someni upepo, mashabiki siku hizi wanajitambua, Burna Boy amekutana na siti tupu...
9 Reactions
23 Replies
984 Views
Jux ashusha ngoma zake mpya alizo ziachia hivi karibuni baada ya Gen z kuacha kusupport wasanii machawa je, asilimia kubwa ya mashabiki ni gen z ? Hii ni baada ya ngoma hizo kufanya vibaya...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Bushoke nakuita mara tatu, umepatwa na nini kijana wangu? Kijana umebarikiwa sauti nzuri sana ya kuimba, kama tatizo ni pesa imba, watanzania tupo tayari ku support kazi zako Ulikofika kwa sasa...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Kulikuwa na movement za kichonganishi za ku unfollow wasanii na media, nguvu imekata au?
1 Reactions
31 Replies
706 Views
Huo hapo, by Hassan Mapenzi
1 Reactions
8 Replies
738 Views
Sio Juakali , Kombolela, Dunia, Big boss na tamthilia nyingine mnadhani wasanii mmeshaona nguvu ya wa wananchi Unafki umewaponza. Watu wengi walikuwa wanahitaji sana support yenu kama nyie...
16 Reactions
17 Replies
901 Views
Nishazoea mwezi Novemba utasikia huyu katangaza show Kidimbwi, mwengine katangaza show Warehouse sijui mwingine anaenda kwenye tour mikoani Sasa hivi ukipita akaunti za wasanii wako kimya...
17 Reactions
46 Replies
2K Views
1. P Funky (Majani) 2. Master Jay 3. Mika Mwamba 4. Roy (G Records) 5.Sound Crafters
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huko jela hawapewi loshen na vipodozi? adriz de mbusii
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu, Huu uzi ni kwa ajili ya reference tu. Siku mambo yakirudi kuwa normal watu wapate reference Hawa wasanii kwa sasa ni lazima wawe na security guards maana ni hawakubaliki kabisa mtaani...
13 Reactions
23 Replies
2K Views
Daktari bingwa aliyefanikisha upandikizaji wa kwanza wa moyo uliodumu nchini Uingereza, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93. Sir Terence English, alimfanyia upasuaji huo Keith Castle (52)...
4 Reactions
6 Replies
401 Views
Hizi ni shots ambazo ziko kwenye movie ambayo inategemea kutoka muda si mrefu! wasanii bado wako location, lakini, wewe kama mdau wa sanaa, una maoni gani kuhusu hizi shot chache zilizopigwa...
4 Reactions
47 Replies
35K Views
Wakuu, Nilikuwa napitia pitia huko mitandaoni nimeona performance ya Marioo kwenye tuzo za Trace imepandisha sukari Watanzania. Wengi wamemsifa Bien kuwa ameimba vizuri lakini huyu Marioo...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Muigizaji mkongwe wa Bollywood Dharmendra Kewal Krishan almaarufu ‘He-Man’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89 leo Novemba 24, 2025. Dharmendra ambaye mmoja wa waigizaji maarufu zaidi...
3 Reactions
14 Replies
906 Views
Hatimaye Mshindi wa Miss Mbeya 2019 amepatikana, Angelah Deocress ndio mshindi wa taji la miss Mbeya kwa msimu huu, ikumbukwe mashindano haya huandaliwa na kituo cha redio cha Dream. FM kila mwaka...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…