Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wakuu, Mwimbaji wa Afrika Kusini, Tyla, amewashinda Davido, Burna Boy, Ayra Starr na Eddy Kenzo na kushinda tuzo ya Best African Music Performance katika Tuzo za GRAMMY za 68. Wimbo wa Tyla...
3 Reactions
12 Replies
561 Views
Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki...
12 Reactions
130 Replies
15K Views
Wanetu mnasemaje? Kaomba radhi kweli au kachamba umbea? JUMA, sisi na wewe tumepita wapi? Sisi na wewe hatujapitia chochote. Kwanza hiyo AFRIMA ni kitu gani ili tuanze kusaga kunguni mapema Staa...
2 Reactions
12 Replies
732 Views
Khaby Lame ndiye mtu maarufu zaidi kwenye mtandao wa TikTok akiwa na wafuasi milioni 160. Mapema wiki hii, alisaini mkataba wa dola milioni 975 na kampuni ya Rich Sparkle Holdings, akiipa kampuni...
6 Reactions
13 Replies
660 Views
Dudu Baya huwa hapati kabisa utamu pasipokutamka neno shoga kwenye kauli zake Nikama akili ya Dudu Baya imejaa ushoga Hakuwahi kuzungumzia swala lolote pasipokutamka shoga Hapatagi utamu...
4 Reactions
140 Replies
2K Views
Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe??? -Ndumilakuwili-
11 Reactions
170 Replies
38K Views
Suala la mjadala kuhusu nani ndie mfalme wa muziki wa Africa, limekuwa likichukua kasi. 👉Huku kila mmoja akivutia kamba upande wake, kuanzia east Africa kina king kiba, diamond na hata konde boy...
14 Reactions
142 Replies
10K Views
PISIKALI pitia ushauri wa bure kabla haijawa too late. https://youtu.be/v8lEDGzJSyg?si=U1UFckN1KPOf_jsI
4 Reactions
69 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Mheshimiwa Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo , ametembelea Ofisi za Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) leo tarehe 28 Januari, 2026 Jijini...
9 Reactions
50 Replies
1K Views
Katika siku za hivi karibuni, nime kuwa niki kutana na Picha za huyu mwamba. 👉 akiwa ana Pigana na wanyama was ardhini au hata majini. Jamaa ana pigana kwa Uwezo mkubwa. wanao mjua watu ambie je...
22 Reactions
136 Replies
9K Views
Ile siku iliyo kuwa iki subiriwa Sana na wapenzi wa muziki Africa ndo leo hii ambapo katika usiku wa Leo utafanyika ugawaji wa tuzo za Grammy. Taarifa hii itazingatia wasanii wa kiafrika tu...
3 Reactions
179 Replies
10K Views
Kwa upande wa filamu bora zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania,basi kwenye hiyo listi Shumileta haiwezi kukosa hata iweje. Stori ya filamu inasisimua sana na iliishia sehemu ya pili, na baada ya...
6 Reactions
73 Replies
1K Views
Unaambiwa Mwanamuziki wa RnB R Kelly anatazamiwa kuachiliwa huru kutoka gerezani Disemba 21 mwaka 2045 na wakati huo atakuwa na umri wa miaka 78! Mwaka 2021, R Kelly alihukumiwa kifungo cha miaka...
4 Reactions
20 Replies
768 Views
hamis77 secretarybird kuna ex-communicado mwenzenu hapa😁😁
7 Reactions
7 Replies
544 Views
Nyota wa soka wa Senegal, Sadio Mané, aliwahi kufichua ukweli wa safari yake yenye maumivu, upinzani na ndoto kubwa kabla ya kufanikiwa katika soka la dunia.Mané anasema kuwa akiwa mdogo, mama...
4 Reactions
4 Replies
481 Views
Nikiangalia muziki unaoimbwa Nigeria 🇳🇬 miaka ya hivi karibuni na nikitupia macho muziki wa kina 2Baba (zamani 2face idibia), P Square hawa jamaa waliimba kwelikweli. Hawa jamaa walikuwa na...
3 Reactions
23 Replies
543 Views
H baba alikuwa anajiliza mitandaoni amefiwa na mama yake katoa mpaka maelekezo msiba ulipo na namba katoa ila hakuna pole yoyote aliyopokea pia ukimtoa mkewe Flora Mvungi hakuna msanii yeyote...
12 Reactions
31 Replies
1K Views
"Yamoto band wanasema hawanijui kweli? Namshukuru Mbosso Kwa kupokea Simu zangu na mara nyingi amekuwa karibu nami. Kwa watanzania wenye mapenzi mema na Mimi naomba mnisaidie mchango wa kifedha...
20 Reactions
133 Replies
4K Views
Ukiwa mdumavu wa akili hatua inauofuata ni kutopea kwenye umaskini kisha kuanza kuamini kila jambo unalosikia na kuona . Ukiambiwa Abdul amenunua private jet unajaa. Ukiambiwa andamana upiganie...
2 Reactions
15 Replies
584 Views
Back
Top Bottom