Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Brazil, mwili wa Pele utaanza kuagwa Jumatatu kwenye Uwanja wa Vila Belmiro wa Santos, baada ya shughuli za Luiz Inacio Lula da Silva kuapishwa kuwa Rais wa 39...
13 Reactions
82 Replies
7K Views
Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani (U.S. Secretary of State) Blinken ameachia orodha ya ngoma alizozizimia kwa mwaka 2022 ambapo miongoni mwa ngoma hizo, ameitaja Yataniua yake Mbosso Khan...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
NILIDHANI walioziacha fikra za Mwalimu ni viongozi wa CCM peke yao, kwa hakika nilikuwa nimekosea sana. Jumamosi iliyopita wakati Watanzania wengine walikuwa wanafurahia ushindi wa Taifa Stars...
2 Reactions
286 Replies
52K Views
Hasikiki kabisa huku mtaani, japo nilimuona katika TV kama mwezi au miezi miwili hivi iliyopita akihojiwa. Licha ya kulirejesha jina la zamani la Jahazi (maana alirudi na Safina) katika bendi bado...
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Huyu bwana huwezi ni ngumu kuangalia video zaidi ya 10 kwenye Tiktok bila kukutana na video zake, wengine wanamuona kama mtu shujaa na msema ukweli na wengine wanamuona kama mtu katili kwa...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Mchezaji wa Ufaransa na PSG, Kylian Mbappé hajawahi kuweka wazi mahusiano yake lakini anaripotiwa kutoka na mwanamitindo aliyebadili jinsia Ines Rau. Mbappé na Ines Rau wameonekana mara kadhaa na...
4 Reactions
470 Replies
32K Views
Hivi ni combination ipi apa ambayo una ipenda wewe. Kati ya ringo na tin white au tin white na mkojani
13 Reactions
36 Replies
6K Views
Elimu: >> source pdf page 90 << Degree ya udaktari, MD- Doctor of Medicine- UDSM Masters ya udaktari, MMed - Masters of Medicine - UDSM Masters ya jeshini, MSS - Master in Security and...
22 Reactions
128 Replies
15K Views
Thabit Abdul amefunguka kuwa ana mpango wa kuipeleka taarabu kanisani kwa kuimba kwaya yenye mahadhi ya taarabu Thabit amedai kuwa waimba kwaya wengi wenye majina makubwa nchini wamemfuata ili...
2 Reactions
61 Replies
7K Views
Nachelea kusema huyu Dada ni kati ya presenter Bora .... Bora saanaa kuwahi kutokea hapa karibuni. Anatishaaa... Hakika Pengo la Fetty limezibika vilivyo. Aliye na picha ya mtoto huyu mrembo...
4 Reactions
134 Replies
58K Views
Bondia bora wa muda wote katika madaraja yote ya ngumi (Pound for pound),Floyd Mayweather aliwahi kusema "If it makes dollars it makes sense" kauli hii aliitoa baada ya watu kumshutumu kwamba...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Msanii nguli wa muziki wa injili Bahati Bukuku amefunguka kuhusu safari yake ya kimuziki toka alipotoka mkoani mbeya na kuja Dar Es Salaam. Bahati Bukuku anaeleza kuwa aliondoka mkoani mbeya kuja...
13 Reactions
62 Replies
14K Views
Baada ya siku nyingi kupita tangu Shilole na Barnaba watemane, imebainika kuwepo kwa siri kubwa zilisababisha wawili hao watemane. Chanzo cha karibu na Barnaba kimedai...
3 Reactions
38 Replies
14K Views
Heri ya siku ya kuzaliwa mwamba aka Ruge Mutahaba.May he continue to rest in peace . Pengo lako halitozibika kamwe. Tasnia imepoteza .
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu huko mitamdao mingine nimeona DC wa wilaya fulani amembeba mtoto inaonyesha tayari kajifungua ni wake.kama tunavyojua jf ina wataalam/wajuaji wa kila kitu habari za...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Na Andrew Chale(MNGONI ORG) Msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ambaye kwa sasa amekuwa akizidi idadi kubwa ya mashabiki amekuwa ndo msanii anayezungumziwa kila...
1 Reactions
56 Replies
11K Views
Kulikua kuna haja gani ya yeye kuwajibu mameneja Wa WCB? Kwamba kosa ni yeye kuwekwa No. za mbali katika zile Top ten za wale Mameneja? Ile ni mitazamo binafsi ya watu, kulikua na haja gani...
2 Reactions
57 Replies
5K Views
1. Harmonize 2. Alikiba 3. Marioo 4. Mboso 5. Diamond 6. Nandy 7. Ney wa Mitego 8. Maarifa 9. Rayvanny 10. Zuchu
2 Reactions
65 Replies
11K Views
Mwanamuziki Joseph "Jo Mersa" Marley, ambaye ni mjukuu wa Mwimbaji Mkongwe wa Reggae Hayati Bob Marley amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 31, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanza kabisa picha linaanza Harmonize alimpa Kajala password za simu zake na account zake za social media. Yani Kajala alikuwa na access ya every communication ya Harmo na Kajala alifanya same...
41 Reactions
127 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…