Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wazee wamecharuka. Wamekasirika. Kifupi wamenuna. Wamefura. Hawataki tena kusikia masela wakiimba na kusifia ganja. Yes! Ni ganja pekee ndio dawa za kulevya zenye promo kubwa kwenye ngoma za...
22 Reactions
26 Replies
4K Views
Huyu kaka anapenda kwao kila mara yupo kwao na anasaidia sana kwao jamii ya kwao ni mtu hasahau kwao amewajengea shule watoto bure hakuna ada Anafurahisha sana na anaongea na kila mtu sokoni...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Fireboy DmL,Joe Boy,Rema Kwa sasa kwenye mziki wa Nigeria kuna Wasanii wameibuka na wanafanya vizuri sana Kama Rema,Joeboy,Fireboy au Mayorkun, N.k Rema alitamba sana na EP ya Bad Commando...
5 Reactions
120 Replies
16K Views
Kuna hili pini la Stamina la zamani sana wakati yupo kwenye harakati zake za kutoboa zaidi. Stamina ft Godzilla(r.i.p),Izzo B___Punch after punch. Imepikwa kwa Mesen pale... Mi naomba kama...
1 Reactions
4 Replies
586 Views
Kama IRS (The Internal Revenue Service - Revenue service for the United States federal government) ingekuwa TZ kufuatilia wapenda sifa naona wangenyoosha mikono juu wasanii. Wasanii mnapenda sifa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Huu siyo utakatishaji pesa kweli.?
9 Reactions
85 Replies
13K Views
Soma upate funzo Darasa la tano na miezi nane yake ilikwisha katika, masomo yalipamba moto miezi hiyo, kila mwalimu alijizatiti kumaliza topic zake kabla muda hujawa watupa mkono, fimbo...
2 Reactions
8 Replies
997 Views
Tanzania imefanikiwa kutoa wasanii Nguli si barani tu bali duniani kwa ujumla, kwa mfano, Shilole+UCHEBE, Wema Sepenga, Wolper, Aunt Ezekiel+Moses Iyobo, Steve Nyerere, Single Mtambalike, JB...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Huyu kijana Yohana Antony is blessing kid Katika uimbaji wa Injili Let's we support Good music from our Mother Land , praise and worship
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Naona Dogo Hajataka kukaa kinyonge
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Kafute lile jina kwenye kuta za vyoo vya shule uliyosoma utakuja nishukuru baadae😂😂
1 Reactions
3 Replies
566 Views
Haji manara albinoz mjanjaz Baada ya Manara alipewa adhabu na TFF asingekuwa mjanja tungeshamsahau. Maana usemaji wake ndio kazi inayomfanya aonekane na kupata dili zingine. Mbinu yake ya wake...
1 Reactions
2 Replies
838 Views
kuna watu duniani wamezaliwa na vipaji hawa jamaa walifikia kuwa rafiki wa Obama. wanajua kuitendea sanaa ya comedy
1 Reactions
3 Replies
404 Views
Hivi kati ya Ariana Grande na Camilla Cabello nani hatari zaidi???
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu Naweka picha za show yake ya Sweden tuseme ukweli wasanii wetu wakienda huko wanaweza kupata watu wengi kiasi hicho? Au tuendelee kukomaa na Burundi tu wanakotuelewa.
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Mahabati yangu kwa nyimbo za Saida siwezi kuyaelezea " yako juu, juu mawinguni", nazungumzia zile nyimbo za zamani za kiasili akiimba kwa lugha ya kihaya., "mapenzi kizunguzungu" ni moja ya nyimbo...
6 Reactions
56 Replies
10K Views
Hattrick sio mpirani na Ndoani pia ipo.!! ndivyo unavyoweza kusema baada ya Haji Manara Leo kuongeza mke mwingine wa 3 bint anaitwa Rushaynah Athumani.Kumbuka. Kwa utamaduni wa kiafrika...
10 Reactions
84 Replies
10K Views
Leo nikiwa kwenye daladala nimeshangaa kila ngoma zinazopigwa zipo muelekeo na miondoko ya Nitongoze ya Diamond na Kwani tsh ngapi/ Huna hela ya Vannyboy , inaonekana baada ya izo ngoma kuhit kila...
2 Reactions
4 Replies
601 Views
We have the best hiphop artist na wamefichwa na media . Huyu artist is very smart. Anajua kuandika slow artistic rap . Sio makelele. He should be one of the best hip hop house names hapa bongo...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Nasema nyumba ya tope kwa sababu Dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi Luludiva ndio anaweka record...
21 Reactions
391 Replies
38K Views
Back
Top Bottom