Broadcast
Member
- Jun 19, 2022
- 60
- 195
Kulikua kuna haja gani ya yeye kuwajibu mameneja Wa WCB? Kwamba kosa ni yeye kuwekwa No. za mbali katika zile Top ten za wale Mameneja?
Ile ni mitazamo binafsi ya watu, kulikua na haja gani kuanza kubisha kwa maneno ya hovyo yaliyokosa stahaa kama sio stress zinamsumbua King wetu huyu?
Hebu tujadilini
Alikiba awachana mameneja wawili wa Wasafi kwa kutoa orodha yao ya wasanii 10 bora kwa mwaka 2022, huku akijitapa kuwa King.
Alikiba ameandika, "I think mmeshajulikana kama nilazima mchokenol*we, Ndio mfunction, ili jambo lenu liende. Nilitamani kumwambia Njomba kimbulu asiwachok*noe maana mtakua mmekamilisha malengo yenu kwa bahati mbaya Njomba Hajawagundua ila mimi nawajua vizuri for your , Sisumbuki tena."
"Najua hata hiki nilicho kiongea hapa kitawasaidia kwasababu mimi ni KING wenu tena, maana msije mkasema waporini wakati ni wewe ndio waporini. Tena mmekaa kikao kujadili na kurank wasanii, WHO ARE YOU? Nitaongea jambo lenu likiisha, Haya sasa nadhani nimewachokun*a vyakutosha tena kwa malengo mnayoyataka, have nice show."
Ile ni mitazamo binafsi ya watu, kulikua na haja gani kuanza kubisha kwa maneno ya hovyo yaliyokosa stahaa kama sio stress zinamsumbua King wetu huyu?
Hebu tujadilini
Alikiba awachana mameneja wawili wa Wasafi kwa kutoa orodha yao ya wasanii 10 bora kwa mwaka 2022, huku akijitapa kuwa King.
Alikiba ameandika, "I think mmeshajulikana kama nilazima mchokenol*we, Ndio mfunction, ili jambo lenu liende. Nilitamani kumwambia Njomba kimbulu asiwachok*noe maana mtakua mmekamilisha malengo yenu kwa bahati mbaya Njomba Hajawagundua ila mimi nawajua vizuri for your , Sisumbuki tena."
"Najua hata hiki nilicho kiongea hapa kitawasaidia kwasababu mimi ni KING wenu tena, maana msije mkasema waporini wakati ni wewe ndio waporini. Tena mmekaa kikao kujadili na kurank wasanii, WHO ARE YOU? Nitaongea jambo lenu likiisha, Haya sasa nadhani nimewachokun*a vyakutosha tena kwa malengo mnayoyataka, have nice show."