Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwenye taarifa za huyu mwamba yuko wapi, anafanya nini siku hizi tafadhali
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Mkali huyo wa 'Gods Plan' aliweka dau la Tsh. 621,617,182 kwa kumtabiria ushindi Bondia Nate Diaz ambaye amechezea kipigo katika raundi ya 5 ya mchezo uliokuwa na raundi 10. Oktoba 2022...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Unajirusha mitandaoni maisha bora, kubadilisha magari makali, unaishi apartment kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki, mke elimu Hana Zaid ya kuuza sura. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya...
22 Reactions
95 Replies
15K Views
Hapa nataka tuwakumbuke hao watu niliowataja hapo juu, najua sote njia yetu ni Moja . Mm naanza 1.Ngwear. Endelea na wewe
1 Reactions
6 Replies
692 Views
Habari, Msanii Angel Bernard ameolewa kwa mara ya pili. Mara ya kwanza aliolewa na Producer wa Nyimbo za Injili Godsave Sakafu. Angel akiwa na Godsave Sakafu siku ya Sendoff yake Julai 2015...
22 Reactions
1K Replies
104K Views
E banae katika pitapita zangu YouTube nimekutana na ngoma moja ya Kokoriko ya jamaa anaitwa Paw Fum nikaichukulia poa badae nika download nikaeka kwenye bufa ebana ngoma inakita sio poa. Kwa wale...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Hello bosses and roses, Huyu dogo TGUN TOZZY ni complete package ya perfomer. Jamaa anaweza kutengeneza vibe fln kwenye rap ambalo wachache tu huweza kufanya. Nimeona cover ya Roho (christian...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Aiseeee... sikujua kama huyu manzi ni wa kienyeji, hio shanga aliovaa hapo chini si kama hizi hizi za kina mwajuma na maimuna wa mbagala rangi tatu. Mwamba curry itakua anaenjoy sana ile michezo...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Asubuhi wakati naingia harakati nipo ndani ya daladala mara ghafla hili goma likapigwa redioni, ebwanaeee. Kila aboria aliyekuwemo kwenye gari akaamuka kuanza kucheza, wakina mama, wakina baba...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Brother, Dj Steve B, Dj Skills Djstevebtz anaumwa, anasumbuliwa na maradhi ya figo. Tumuombee kwa Mungu brother ainuke tena. Tumkumbuke kwenye sala na dua na tuombee wagonjwa wote pia.
15 Reactions
81 Replies
16K Views
Wasanii wote wanalilia kushindana/kushindanishwa na Diamond. Tangu enzi za kina Marlaw na Belli 9 mpaka sasa madogo kina Chino wanaman Konde Boy. Bila kusahau Ali Kiba. Je, kuna manufaa yoyote...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Watanzania tuna cha kujifunza, huwa tunasikia watu wanasema "Niko tayari kufa", "Niko tayari kufanya lolote". Mabadiliko ni process ambayo hutakiwi kuibeba peke yako, ni zao la jamii kwa ujumla...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Wazee wazee wazee, recently hizo bizness kaachia chuma ambacho ndani yake kuna wakali kibao wa hip hop waliotupia verse zao. Versa ya kwanza kabisa unakutana na one the incredible akiwa kafanya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Bado natafuta collabo kali zaidi ya hii KILA SIKU ya Nikki Mbishi,Godzilla,One na Belle 9. Kuna Collabo yoyote kutokea tamaduni music inaweza kuwa zaidi ya hii? Nikki kaumiza...Zizi...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Huyu jamaa anaeitwa Christopher Martin msanii wa dancehall pamoja raggae kutoka Jamaica hana mshindani Huyu janja ana mikwaju ya moto sana since way back, mikwaju yake Kama:-i, Cheaters prayer ii...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Cloud amefariki dunia akiwa na miaka 25 kwa kile kilichoelezwa na familia kuwa ni tatizo la Afya ya Akili ikiwa ni wiki 1 tangu atoke kwenye mazishi ya baba yake mzazi. Kupitia tamthilia za...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wimbo wa Ney wa Mitego 'AMKENI' ukiwa unachanja mbuga za YouTube, Msanii Nikki Mbishi nae ametubariki na wimbo alioupa jina 'KATIBA MPYA', sikiliza toa maoni yako.
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya Diamond na Alikiba Cheki hapo chini
21 Reactions
101 Replies
12K Views
Mwanamuziki huyo wa Nigeria anakuwa msanii wa kwanza kupata Tuzo ya Bilioni ya BRIT inayotolewa kwa Wasanii ambao wamepata zaidi ya mitiririko (streams) ya kidijitali bilioni moja Nchini...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
"Ongea na Mwanaoo sema naye, sikio lako ligawe.. Mfungulie account ya busara na nidham, na siyo account ya mtandao Instagram" Anaitwa Maalim Nash. -Kaveli-
14 Reactions
151 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…