Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

J Lo akiperform wimbo wake mpya uitwao "Louboutins". Safari ijayo akiwa anatumbuiza na kurukaruka ni vyema avae raba za adidas au nike na sio kuva "Louboutins" na kuruka ruka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
and a response later: # I understand that there are people who love me or hate me so I take nothing personal. Can't please everyone. :-) 12:25 PM Nov 13th from Tweetie # So Sorry for my miss...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Bet you she wont do that shit in Madison Square Garden. http://www.youtube.com/watch?v=2vqpSVwxsBA&feature=player_embedded
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa yule muigizaji anayeboa watu wengi kuliko wote wa kundi la "Orijino Komedi", Mpoki (Sylveri) ameapata ajali jana usiku baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana uso kwa uso na...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Jana nimekubali kuwa bila Masanja kama anchor kwenye Ze Komedi show inasuck! Show ya jana ilikuwa mbaya kinoma. Nilikuwa najilazimisha kucheka but sikucheka coz there was nothing to laugh at! Wale...
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Regardless of how you think of CCM lakini hawa waheshimiwa wabunge kuwa na blogs nadhani ni wazo zuri sasa kilichobaki wasibanie sehemu za kutoa comments Zinatupatia clear picture on how they...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
This is for this week end, just stuck on you http://www.youtube.com/watch?v=m7pxLdsHGF0
0 Reactions
16 Replies
3K Views
wana JF kama kuna mdau mwenye 'details' kuhusu huyu aliyekuwa mchezaji wa Yanga miaka ya 2000s, jina lake ni KUDRA OMAR kwa sasa yuko wapi na je bado anaendelea na 'kandanda'?? timu gani?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Deputy Secretary-General Asha-Rose Migiro tries her football skills when United Against Malaria goodwill ambassador Charles Ssali (left) paid a courtesy call on her at the UN headquarters in New...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi karibuni supermodo Naomi Campbel alitua bongo na kufanya Catwalk ya relief kwa mara ya kwanza ndani ya bara la afrika tena hapa bongo dar je hali hiyo itaitangaza bongo?? hapa kuna news...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Manchester United manager Sir Alex Ferguson has received a two-match touchline ban for his comments about referee Alan Wiley's fitness. The Football Association handed the 67-year-old a...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
NY Daily News: Her song "Single Ladies" is an Internet hit among dancing babies and now, Beyoncé's working on a tot of her own. That's according to get this Jay-Z, B's notoriously tight-lipped...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi ni watu gani katika dunia hii ungependa kukutana nao..... Kukutana nao hata kwa dakika chache na kupiga picha ya kumbukumbu ikiwezekana.... Ukiambiwa uchague watu kumi tu duniani wa kukutana...
0 Reactions
93 Replies
9K Views
Comedian Katt Williams Arrested for Burglary and Trespassing Comedian Katt Williams was arrested Sunday night in Atlanta on charges of burglary and criminal trespassing. According to police...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkuu; Poleni kwa majukumu ya kila siku ktk kujenga inji hiii... Eti ni kweli kwamba mmliki wa theutamu (Malecela Peter Lusinde) amedakwa? Naomba unijulishe maana nimeona kwenye kablu flani...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
- Habari zilizopatikana hivi punde toka South Africa, ni kwamba Baba wa The Greatest promoter and entertainer nchini Ndugu yetu Joe Kusaga, yaani Mzee Kusaga, amefariki leo huko South Africa...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Kikaptula Alichovaa Michelle Obama Chazua Mjadala Mrefu Je mke wa rais haifai kuvaa kaptula? Wakati Michelle Obama alipovaa nguo ambayo ilionyesha mabega na mikono yake wazi mjadala...
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Mayor of Moscow slams Abramovich ‘self-interest’ Moscow Mayor Yuri Luzhkov(R) Roman Abramovich’s purchase of Chelsea was ‘patronage for one’s own profit’, says billionaire’s husband...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna khabari kwamba JK anatarajiwa kufanya mabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri, na wanaotajwa tajwa sana huko kwenye mitaa ni waziri kijana ambaye inaonekana kashindwa kazi hasa baada...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Apart from wale mabalozi wa Ludenga huyu naye anatuwakilisha pia from this... to this naam hawa ndio mmoja kati ya mabalozi wa Tanzania nje
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…