Bi.Kidude ni gwiji wa muziki katika Bara la Afrika. Jina lake halisi ni Fatuma binti Baraka. Bi Kidude ni msanii mkongwe na mahiri sana katika fani ya muziki wa mwambao ambao hujulikana kwa jina...
Kumekuwa na kushutumiana kunakoshika kasi kwa wasanii wa Bongofleva kuhusu ishu za ushirikina,ambapo wasanii mbalimbali wanatoa shutuma kwa wasanii wenzao kwamba wanawaloga na kuwaibia bahati zao...
Jamani naomba ushauri napenda sana kuwa superstar sema shida ni kwamba sina kipaji chochote afu pia siasa sipendi.naomba ushauri kama kuna njia nyingine za kuwa star ukiachana na hizo
Mwanasiasa, mwanamuziki, mwandishi na mwanaharakati SUGU ametangaza rasmi kuwa asilimia 33 ya mapato yote ya tamasha litakalofanywa jijini Mbeya na VINEGA zitatumika kuwasaidia waathirika wa...
mara nying nlikua nazckilza nymbo za SUGU za kwenye album yake ya mwisho itwayo VETO juujuu,nldhan amefulia kmashair kama prof.jay lakin leo nimeicklza vzur sana kumbe jamaa bdo kchwa kwa...
huyu ndiye Twite mchezaji wa Yanga aliyetua leo Uwanja wa ndege, mchezaji huyu Mcongo aliyekuwa akiichezea APR ya Rwanda pia alikuwa akiwaniwa na Simba.
Zanzibar ZANZIBAR First Vice President Seif Sharif Hamad, on Saturday, visited to comfort the prestigious WOMEX award winner Fatuma binti Baraka (aka Bi Kidude), who has been sick for several...
Jana niliangalia kipindi cha mkasi kinachooneshwa EATV ambapo jana mgeni wao alikua Zembwela na host wake kama kawaida alikua Salama Jabir.
Kiukweli zembwela alifunika sana hasa katika uwezo wa...
Mh Vick amemwomba waziri wa maliasili na utalii kushirikiana na Victoria Foundation kuwaleta watu maarufu duniani hapa nchini ili watu wengi waje na kuongeza utalii.
Ameyasema hayo leo bungeni na...
MISS aliyetwaa nafasi ya 2, 2012 katika shindano maalum la mwaka huu, Hamisa Hassan, anadaiwa kuichafua Miss Tanzania kufuatia kwenda kushiriki kinyemela Shindano la Miss University Africa 2012...
bella yuko juu wakuu.wimbo wake fulan hivi siujui jina ila anaimba hivi "uhhuhuhu usiliee.........."kamshirikisha banana.
aisee bella uko juu,mutu ya watu,takuja msasani next wk unlushe.
Dogo Janja,we bwana mdogo sana ndani ya medani ya Music....
Nakushauri komaa na Elimu,itakufikisha mbali,uwezo wako wa utungaji wa mashairi utakuwa...kikubwa sasa uangalie na Maisha ya madogo...
Congolese music star Koffi Olomide, who was recently charged with rape in France, was given a three-month suspended prison sentence Thursday for injuring his producer in a fight in a Kinshasa...
K Lynn whose real name is Jacqueline Ntuyabaliwe is a singer and former Miss Tanzania. Now the gorgeous beauty has decided to take another step further and become a mother.
I would say she...
Nawasalimu wanajeiefu wote, straight to ze point ebwana huyu msanii anayeitwa WAKUVANGA wa kundi la ORIJINO KOMEDY huwa sioni anachokifanya zaidi ya kunikera!! kuchekesha kwenyewe hajui,anaforce...
Nafkiri sasa umefika mbali
sana ww Mahmoud, kama
hujui kitu ni bora uulize,
nani kakwambia kwamba
Maestro ndie final kwa
mambo yote ya ufundi ya klabu ya Simba? usijifanye
unajua kuchanganua...
Mwana FA ..... Hamis Mwinjuma
- Muheza Tanga
AY ...... Ambwene Yesaya
- Baba Mnyarwanda Mama Mnyakyusa- Mbeya
. Huyu ana duka la nguo Sinza
Sugu.... Joseph Mbilinyi- Asili yake Songea, baba...
Akiandika kwenye profile take FB anasema:
Friends,
On the 1st of September 2012, I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a...