Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Uganda’s music star Joseph Mayanja a.k.a Jose Chameleone has denied any involvement in the circumstances that led to the death of the intruder who entered the singer’s house last week and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chagua Nani Ni Msanii Bora Wa Mwaka 2012 Orodha Ya Wasanii kundi A:hip Hip 1.ROMA 2.STAMINA 3.KALA JEREMIA 4 FIDQ 5.SHETTA 6.GODZILLA kundi B:rnb 1.BEN POL 2.DIAMOND 3.OMY DIMPOZ 4.BARNABA 5.LINEX...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kutoka kwenye status ya fb ya John Kitime; Mpiga solo Luigi B52 wa FM Academia amefariki dunia. Msiba uko Mwananyamala kwenye kambi ya bendi. Jirani na kituo cha Mwananyamala A. Mungu amlaze pema...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Jamani kuna fununu zimetoka hivi punde juu ya Mbilikimo Aunt Ezekiel kufumaniwa hapo majuzi. Najuwa kwa sasa hapa Bongo limekuwa ni jambo la kawaida kwa walio wengi kutoka nje ya ndoa kwani...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Ni heri uwe baridi au moto kuliko kuwa vuguvugu
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wana jamii wenzangu!nimatumaini yangu kuwa wengi wenu mmekuwa mkikitazama kipindi maarufu sana cha MKASI kinachorushwa na na kituo cha runinga cha East Africa TV(chanel5) kikiongozwa na...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Huyu mshikaji nilikuwa namfagilia sana kutokana na wimbo wake wa Riziki. Mashauri yake yametulia sana. Ni wimbo ambao hautachuja kwani unagusa maisha yetu ya kila siku.
1 Reactions
17 Replies
9K Views
Anaitwa Estalinah Peter Sanga a.k.a linah mi binafsi namkubali kwa kipaji alicho nacho ngoma kama natamani,angalau na oliver twist rmx nazikubali
0 Reactions
30 Replies
4K Views
RICK ROSE HULIPWA KIASI CHA DOLA $100,000 KWA SHOW MOJA lakini AKIWA NA Mac Miller HULIPWA HADI DOLA $155,000 KWA SHOW AMBAZO NI SAWA NA TSH.250,000 (MILIONI MIA MBILI HAMSINI ZA...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
huyu msanii darasa anatisha vibaya sana namkubali mno.na tena ngoma yake hii mpya ya nishike mkono ndo ananikosha kabisaaa.na we msanii yupi unamkubali
0 Reactions
32 Replies
5K Views
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo...
2 Reactions
86 Replies
62K Views
Habari zenu Mi namfagilia sana huyu mwanamuziki aisee anatisha babaake! Nyimbo kama Starry starry night, The last time na Bella bella zinanikuna sana. Kwa mashabiki wake nadhani mtakubaliana nami.
0 Reactions
32 Replies
5K Views
The happy couple enjoyed a romantic stroll along the beach together as they soaked up the sun together in St Barts on Monday. Happy holidays! Ellen DeGeneres and Portia de Rossi walk hand in...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jana tulisikia alitaka kuitisha kikao aoe shombe shombe, leo tena kuna mtangazaji kajitokeza ana mimba ya miez 4, sijui wengine tena watajitokeza kama marehemu Kanumba? RIP Sharo Millionea...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Mwimbaji mashuhuri hapa Tanzania, Ray C, ametangaza kupona na matatizo ya yaliyokuwa yakimsumbua. Ametangaza hayo akiwa Ikulu baada ya kupata msaada mkubwa kutoka kwa Mh. Rais Kikwete. RAY C...
8 Reactions
418 Replies
43K Views
Uganda's song bird Juliana Kanyomozi has released a christmas song. It is so touching and really rocks. Has any one listened to it yet?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Most kids would be thrilled by a trip to Disney World. But for Suri Cruise a trip to the Magic Kingdom isn't complete without a night in the invitation-only suite at Cinderella's Castle. And...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake?? mifano hai...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
Jana jarida la Forbes limetoa orodha ya wasanii 25 duniani wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani. Hawa ndio walioingia kwenye orodha hiyo. 1. Dr Dre ($110million) 2. Roger Waters ($88 million)...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Hivi ni kweli mapenzi ya rihana na chriss brown yako sawa na yale ya wema sepetu na diamond?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom