Natafuta pesa
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 268
- 371
FD1F737
BET PAWA
BBALL FT FOOTBALL
BET PAWA
BBALL FT FOOTBALL
Yeah uchambuzi mzuri (under 2.5) ni best options. Shukurani sana mdauGetafe vs Cadiz : UCHAMBUZI.
- Katika mechi 6 walizokutana ( getafe na cadiz) mechi 4 zimeonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)
- Mechi 4 alizocheza getafe akiwa nyumbani, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)
- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho against Getafe
- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho kati ya 6 alizocheza kwenye league
- Cadiz ameonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals) katika mechi 6 za mwisho kati ya 8 alizocheza.
According na huu uchambuzi nilioufanya, best market ya hii gemu ni under 2.5 goals FT.
Kweli kabisa mkuu watu wasitegemee kuendesha maisha kwa kubeti hata kama wapo Ni asilimia ndogo Sana aiseHuu uzi ikitokea watu wameliwa huwa unatembea balaa,
kila anaeliwa humu anakuja na mbinu yake mpya ila cha ajabu muda wa kubeti tena anajikuta kasahau izo mbinu anaambulia tena za uso kama kawaida anarudi tena kulaani timu na wachezaji 😅
simshauri mtu aache ila betting ni biashara kichaa na % kubwa inategemea bahati.
ONLY BET FOR FUN ⚠️
Wakati mwingine mbinu zinawekwa pembeni kutafuta pesa kubwa maana mbinu zote zinakuwa na pesa ndogo ... kuna kitu kinaitwa mikeka ya kujilipua... uwezi kufuata mbinu sahihi usile mara kwa mara mbinu nyingi tunazo peana ni za matreni.Huu uzi ikitokea watu wameliwa huwa unatembea balaa,
kila anaeliwa humu anakuja na mbinu yake mpya ila cha ajabu muda wa kubeti tena anajikuta kasahau izo mbinu anaambulia tena za uso kama kawaida anarudi tena kulaani timu na wachezaji
simshauri mtu aache ila betting ni biashara kichaa na % kubwa inategemea bahati.
ONLY BET FOR FUN
Nakuunga mkono %Naomba kutoa ushauri wakuu
Mnaonaje tuwe tunachambua mechi zinazocheza kabla ya kuweka mzigo. Inapaswa kila mtu store uchambuzi wa kueleweka then tuifanyia debate ( mjadala)
Mjadala ukikubalika na watu wengi basi huo ndio utakuwa odds za weka. Ukikataliwa basi hakuna kuweka hizo odds
Tusipende kutuma codes bila uchambuzi wa mechi.. Codes Hazisaidi kitu zaid tutakuwa tunaigana
Halafu kuna wale wanaopenda tulose wote hivo hutumia codes zenye makosa makusudi iki tufeli wote
Kwanini tusitumie (uchambuzi then tunaifanyia mjadala kisha mjadala utakaopitishwa ndio huo tunaubetia na sio kutuma codes humu hazi make sense
We say!👇Getafe vs Cadiz : UCHAMBUZI.
- Katika mechi 6 walizokutana ( getafe na cadiz) mechi 4 zimeonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)
- Mechi 4 alizocheza getafe akiwa nyumbani, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)
- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho against Getafe
- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho kati ya 6 alizocheza kwenye league
- Cadiz ameonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals) katika mechi 6 za mwisho kati ya 8 alizocheza.
According na huu uchambuzi nilioufanya, best market ya hii gemu ni under 2.5 goals FT.
8 siyo uhakika sana japo zinaweza kufika ila kuanzia tano ni uhakika.vip kuhusu kadi za njano zinaweza fika 8 leo kwenye hii game
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hizi ni odds ngapi kwan?? Kwangu nimeona hadi maluwe luwe aiseee280D63
Sport bet
Sasa bonge tusipopata hiyo Laki tatu tukufanyaje au tuwaMbie mods wakuoige Ban 😅😅😅Hongera! Namba yako itazawadiwa hadi kiasi cha Tsh 300,000 leo. Jisajili www.helabet.co.tz weka promocode BONGE kupata offer hii.
Mechi kibao kila siku!
PROMO code ni BONGE @helabet_tz
Nimeruka nayo hii.. ila odds zinaogopesha sanaOdds 4 za sportybet
C7C7578