Kuna mtu alinitisha ukideposit kwa njia ya kawaida ya mobile huwezi kuwithdraw kwa mawakala na hivyo inakua imekula kwako.
By z way,1xbet is the best of the best,sijawahi iacha japo bado natumia mawakala
Ina njia nyingi sana za kutoa na kuweka option zake ndio usiseme ukitulia lost ni chache mno na pia haina mambo ya kodi.
 
N1U2R 🏀🏀🏀 Only.... On the leading brand in betting 1X....

17 odds...12 events...Nimerudi nyumbani!...maana kumenoga!....nahondomola mwenyewe kwa M-Pesa!
 

Attachments

  • Screenshot_20231106-115417.png
    Screenshot_20231106-115417.png
    23.9 KB · Views: 4
Mashujaa FC vs Singida Big Star (Analysis)

Mashujaa FC wakiwa nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi kuu Tanzania, uku wakiwa wameshinda mchezo mmoja, droo moja na kufungwa mechi tatu mfululizo ndani ya michezo mitano.

Singida Big Star FC wakiwa nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini wameshinda mechi mbili, droo moja na kufungwa michezo miwli ndani ya michezo mitano hivi karibu
IMG_20231106_122857.jpg
 
Wachache huwa hatusumbuki saana . 1X wenyewe prediction zao huwa Ziko accurate kwa zaidi ya 80percent!....na huwa nazitumia sana sana! Kuamua mechi nnayoiona ngumu kama hii...

Nimezitumia mno!👇 Tottenham 2-1 Chelsea

For me .I go for Tottenham win either half!
 

Attachments

  • Screenshot_20231106-122409.png
    Screenshot_20231106-122409.png
    44.1 KB · Views: 4
Wachache huwa hatusumbuki saana . 1X wenyewe prediction zao huwa Ziko accurate kwa zaidi ya 80percent!....na huwa nazitumia sana sana! Kuamua mechi nnayoiona ngumu kama hii...

Nimezitumia mno! Tottenham 2-1 Chelsea

For me .I go for Tottenham win either half!
Vipi ya mashujaa na Singida big star
 
Mashujaa FC vs Singida Big Star FC. Predictions

1)Both team not to score (0-0) draw

2) Under 2.5 (inaweza kuwa droo ya 1-1, au ushindi wa 1-0, 0-1, 2-1, 1-2)

3) Away win (Singida anashinda)

Maoni yenu wakuu karibu tuchambue

Ahsante Mdau
1) Mashujaa wasiwatishe na Waganga wao
MASHUJAA bado Team dhaifu mnooo kwa Singida
Haina Draw

2) Options za number 2 zako zote complex, correct score sio option sahihi kiviile

3) Hii Singida win naiunga mkono

Mie nimeipa:-
A) Singida win or Draw
B) Mkeka wa Pili nimeipa overall 1.5
 
Getafe vs Cadiz : UCHAMBUZI.

- Katika mechi 6 walizokutana ( getafe na cadiz) mechi 4 zimeonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Mechi 4 alizocheza getafe akiwa nyumbani, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho against Getafe

- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho kati ya 6 alizocheza kwenye league

- Cadiz ameonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals) katika mechi 6 za mwisho kati ya 8 alizocheza.

According na huu uchambuzi nilioufanya, best market ya hii gemu ni under 2.5 goals FT.
 
Ukitaka kukwepa ajali zote kama za Liverpool basi unatakiwa kuipa timu yenye odds ndogo (win or under 2.5) na siyo (win or over 2.5) hii ndiyo option konki tena konki haswa ningeweza kukwambia kwanini ni konki ...kwa kifupi tu mechi kama ya Liverpool unayosema ingekuwa na magoli mengi basi lazima mshindi angekuwa ni Liverpool kwa asilimia 99.9 ndiyo maana nikasema option ni (win or under2.5 )
Sasa nionyeshe hizo mechi 3 ulizo sema zimechana ili tuzipime kwa hii option tuone ngapi zitakua bado zimechana ...weka matokeo tuone
Yaani uipe team yenye odds ndogo win, si uta poteza au mimi ndio sijaelewa? Umesema win or under 2.5. Au ni options mbili tofauti
 
Ahsante Mdau
1) Mashujaa wasiwatishe na Waganga wao
MASHUJAA bado Team dhaifu mnooo kwa Singida
Haina Draw

2) Options za number 2 zako zote complex, correct score sio option sahihi kiviile

3) Hii Singida win naiunga mkono

Mie nimeipa:-
A) Singida win or Draw
B) Mkeka wa Pili nimeipa overall 1.5
Shukurani kwa uchambuzi mdau

Kwa upande wa mashujaa hii mechi lazima waichukulie kwa usirious kutokana vipigo vitatu mfululizo hivo inaweza kuwapa changamoto Singida halafu ukitegemea pale ni Lake Tanganyika.

Azam kufunga lake Tanganyika isiwe sababu ya kumdharau mashujaa kumbuka Ihefu alikufa moja pale lake Tanganyika, huku Singida akitoa sare ya 2-2 na Ihefu nyumbani kwake.
 
Getafe vs Cadiz : UCHAMBUZI.

- Katika mechi 6 walizokutana ( getafe na cadiz) mechi 4 zimeonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Mechi 4 alizocheza getafe akiwa nyumbani, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho against Getafe

- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho kati ya 6 alizocheza kwenye league

- Cadiz ameonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals) katika mechi 6 za mwisho kati ya 8 alizocheza.

According na huu uchambuzi nilioufanya, best market ya hii gemu ni under 2.5 goals FT.
vip kuhusu kadi za njano zinaweza fika 8 leo kwenye hii game

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Getafe vs Cadiz : UCHAMBUZI.

- Katika mechi 6 walizokutana ( getafe na cadiz) mechi 4 zimeonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Mechi 4 alizocheza getafe akiwa nyumbani, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho against Getafe

- Cadiz amedraw mechi 3 za mwisho kati ya 6 alizocheza kwenye league

- Cadiz ameonekana kuwa na matokeo chini ya goli mbili ( under 2.5 goals) katika mechi 6 za mwisho kati ya 8 alizocheza.

According na huu uchambuzi nilioufanya, best market ya hii gemu ni under 2.5 goals FT.
Yeah uchambuzi mzuri (under 2.5) ni best options. Shukurani sana mdau
 
Torino vs Sassuolo : UCHAMBUZI.

- Katika mechi 6 za mwisho kati ya 7 alizocheza torino, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili ( under 2.5 goals FT)

- Torino ameshindwa kufunga goli hata moja katika mechi 4 kati ya 5 alizocheza kwenye league.

- Torino amedraw mechi 6 kati ya 10 alizocheza akiwa nyumbani ( SERIE A)

- Katika mechi 4 walizokutana ( Torino na Sassuolo) matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili (under 2.5 goals FT)

- Sassuolo amedraw mechi 7 za mwisho kati ya 17 alizocheza against Torino.

- Katika gemu 5 za mwisho alizocheza Sassuolo, matokeo yameonekana kuwa chini ya goli mbili (under 2.5 goals)

- Sassuolo ameishia kufunga goli mbili tu katika gemu 4 za mwisho alizocheza kwenye league.

According na huu uchambuzi nilioufanya, best market ni under 2.5 goals FT.
 
Huu uzi ikitokea watu wameliwa huwa unatembea balaa,
kila anaeliwa humu anakuja na mbinu yake mpya ila cha ajabu muda wa kubeti tena anajikuta kasahau izo mbinu anaambulia tena za uso kama kawaida anarudi tena kulaani timu na wachezaji 😅

simshauri mtu aache ila betting ni biashara kichaa na % kubwa inategemea bahati.

ONLY BET FOR FUN ⚠️
 
Huu uzi ikitokea watu wameliwa huwa unatembea balaa,
kila anaeliwa humu anakuja na mbinu yake mpya ila cha ajabu muda wa kubeti tena anajikuta kasahau izo mbinu anaambulia tena za uso kama kawaida anarudi tena kulaani timu na wachezaji 😅

simshauri mtu aache ila betting ni biashara kichaa na % kubwa inategemea bahati.

ONLY BET FOR FUN ⚠️
Kweli kabisa mkuu watu wasitegemee kuendesha maisha kwa kubeti hata kama wapo Ni asilimia ndogo Sana aise
 
Back
Top Bottom