Habari maafisa ubashiri natumai muwazima wa afya,,kuna mdau katowa wazo hapo juu la kuanzisha group la whatsapp kwajili ya uchambuzi wa mechi..hili kidogo lina mantiki mana humu kwenye kutuma code tutachaniwa mikeka kila siku..mawakala wamevamia humu na wao wanatuma code zao wengine wana beba code kama ilivyo wanaweka hela bila hata kuiediti mwisho wasiku maumivu halafu jamaa wanatuchora tu kwa mbaaaliiii..tusipo shituka tutaumia sana na hatutatoboa kama hili wazo tutaona lina mantiki basi tulifanyiye kazi mapema mwisho wa mwaka huu wazee lazima kanji atupe chetu ila kwa mwendo wa code aaaaah uongo...karibuni kwa mawazo maafisa ubashiri................
 
From now onwards....On the leading brand in betting......one and only...1Xbet...

Nimedeposit kiasi kidogo kwa mpesa
Nikacheza live asubuhi hii safe market ili nione nikiwin ntatoa kwa Mpesa!?.... Imetoka..!

Na-Vett B-ball only! 🏀 Huku ndiko kwenyewe...

nilikua nimeiacha miezi 8 sasa baada ya kuwithdraw 70k wakala akanitumia 30 nisubiri apate float...ikawa kimya hadi wa leo...yule jamaa! Aisee...niliamua kumuachia mungu tu...

nikawithrwaw hela yote kwenye akaunti kwa romano! Kwa hasira nikaachana nao!
jamaa wako vizuri sana ..hawa jamaa walivyoondooa mitandao ya simu kipind kile baada kuletewa zengwe na kina talimba ndo walitupoteza raia,
wakirudisha tena n suala la muda tu wanarudi kwenye namba yao moja.
 
Habari maafisa ubashiri natumai muwazima wa afya,,kuna mdau katowa wazo hapo juu la kuanzisha group la whatsapp kwajili ya uchambuzi wa mechi..hili kidogo lina mantiki mana humu kwenye kutuma code tutachaniwa mikeka kila siku..mawakala wamevamia humu na wao wanatuma code zao wengine wana beba code kama ilivyo wanaweka hela bila hata kuiediti mwisho wasiku maumivu halafu jamaa wanatuchora tu kwa mbaaaliiii..tusipo shituka tutaumia sana na hatutatoboa kama hili wazo tutaona lina mantiki basi tulifanyiye kazi mapema mwisho wa mwaka huu wazee lazima kanji atupe chetu ila kwa mwendo wa code aaaaah uongo...karibuni kwa mawazo maafisa ubashiri................

Lazima tufanye vitu objectively.
Mambo ya kutuma codes tumeshaona hayaleti manufaa yoyote.

Bila kufanya kazi kwa kushirikiana hatuwezi toboa kwa Kanji. Kila siku itakuwa ni mambo yaleyale ya kulia-lia hapa.
 
Habari maafisa ubashiri natumai muwazima wa afya,,kuna mdau katowa wazo hapo juu la kuanzisha group la whatsapp kwajili ya uchambuzi wa mechi..hili kidogo lina mantiki mana humu kwenye kutuma code tutachaniwa mikeka kila siku..mawakala wamevamia humu na wao wanatuma code zao wengine wana beba code kama ilivyo wanaweka hela bila hata kuiediti mwisho wasiku maumivu halafu jamaa wanatuchora tu kwa mbaaaliiii..tusipo shituka tutaumia sana na hatutatoboa kama hili wazo tutaona lina mantiki basi tulifanyiye kazi mapema mwisho wa mwaka huu wazee lazima kanji atupe chetu ila kwa mwendo wa code aaaaah uongo...karibuni kwa mawazo maafisa ubashiri................
Anzisha group mkuu
 
Win either hslf liver kachana madrid kachana fernabache kachana
Ukitaka kukwepa ajali zote kama za Liverpool basi unatakiwa kuipa timu yenye odds ndogo (win or under 2.5) na siyo (win or over 2.5) hii ndiyo option konki tena konki haswa ningeweza kukwambia kwanini ni konki ...kwa kifupi tu mechi kama ya Liverpool unayosema ingekuwa na magoli mengi basi lazima mshindi angekuwa ni Liverpool kwa asilimia 99.9 ndiyo maana nikasema option ni (win or under2.5 )
Sasa nionyeshe hizo mechi 3 ulizo sema zimechana ili tuzipime kwa hii option tuone ngapi zitakua bado zimechana ...weka matokeo tuone
 
Ukitaka kukwepa ajali zote kama za Liverpool basi unatakiwa kuipa timu yenye odds ndogo (win or under 2.5) na siyo (win or over 2.5) hii ndiyo option konki tena konki haswa ningeweza kukwambia kwanini ni konki ...kwa kifupi tu mechi kama ya Liverpool unayosema ingekuwa na magoli mengi basi lazima mshindi angekuwa ni Liverpool kwa asilimia 99.9 ndiyo maana nikasema option ni (win or under2.5 )
Sasa nionyeshe hizo mechi 3 ulizo sema zimechana ili tuzipime kwa hii option tuone ngapi zitakua bado zimechana ...weka matokeo tuone
Point mkuu
 
Ukitaka kukwepa ajali zote kama za Liverpool basi unatakiwa kuipa timu yenye odds ndogo (win or under 2.5) na siyo (win or over 2.5) hii ndiyo option konki tena konki haswa ningeweza kukwambia kwanini ni konki ...kwa kifupi tu mechi kama ya Liverpool unayosema ingekuwa na magoli mengi basi lazima mshindi angekuwa ni Liverpool kwa asilimia 99.9 ndiyo maana nikasema option ni (win or under2.5 )
Sasa nionyeshe hizo mechi 3 ulizo sema zimechana ili tuzipime kwa hii option tuone ngapi zitakua bado zimechana ...weka matokeo tuone
Nimekusoma mkuu nimeekewa logic yake
 
Kuwa sehemu salama zaidi, penye Dw unaweza weka Dc, na penye BTTS na over 2.5 unaweza weka over 1.5.

Tatizo ni kuwa odds zitakuwa ndogo sana, hata 10 zinaweza zisifike, ikakulazimu kuweka mzigo haswa.
mimi hua naamin betting haina formula,..unayoyaona sio matokeo ndio yanakua matokeo,isingekua ivo kanji angeshafunga biashara..so hua sisumbui sana kichwa.
 
Nimekusoma mkuu nimeekewa logic yake
Hizi option mbili
1) kuipa team yenye nguvu kuwin either half na
2) kuipa tea yenye nguvu kuwin or under 2.5

Kati za hizi option mbili inayo ongoza kwa umadhubuti ni hiyo ya "kuipa team yenye nguvu kuwin or under2.5) na hiyo ya kuipa team yenye nguvu (kuwin either half) niya pili kwa ubora
 
Furaha ya kumfunga Kolo Jana imenifanya nichelewe kutoa hii hela ya Supu Asubuhi.. Jana nilimuua mazima Kolo,, sema Ila yenyewe sikuweka ya maa
 

Attachments

  • Screenshot_20231106-112023_1.jpg
    Screenshot_20231106-112023_1.jpg
    16 KB · Views: 5
From now onwards....On the leading brand in betting......one and only...1Xbet...

Nimedeposit kiasi kidogo kwa mpesa
Nikacheza live asubuhi hii safe market ili nione nikiwin ntatoa kwa Mpesa!?.... Imetoka..!

Na-Vett B-ball only! Huku ndiko kwenyewe...

nilikua nimeiacha miezi 8 sasa baada ya kuwithdraw 70k wakala akanitumia 30 nisubiri apate float...ikawa kimya hadi wa leo...yule jamaa! Aisee...niliamua kumuachia mungu tu...

nikawithrwaw hela yote kwenye akaunti kwa romano! Kwa hasira nikaachana nao!
Kuna mtu alinitisha ukideposit kwa njia ya kawaida ya mobile huwezi kuwithdraw kwa mawakala na hivyo inakua imekula kwako.
By z way,1xbet is the best of the best,sijawahi iacha japo bado natumia mawakala
 
Back
Top Bottom