Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Badala ya kuwa na uchungu na maendeleo ya nchi, eti kila chama kina kimbilia kusimamisha mgombea urais kisa ruzuku, tunaenda wapi wapinzani? yaani ruzuku ni bora kuliko mapinduzi ya kimaendeleo. Na huko kwenye usimamizi wa kura sijui itakuwaje ili wasije kutuibia kura na haki yetu tutakayo pewa na wananchi.
Mkuu ungalia kwanza nani ameweka post hii,unaweza kujua lengo lake ni nini huenda haina ukweli.