Maandamano ya Wananchi Ni Njia Halali Kabisa Iliyobakia Kwa Wananchi Waliokosa Uwakilishi

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,059
Kuna njia za msingi za kidemokrasia za kufikisha ujumbe ama kudai haki iliyokanywagwa. Na njia hizo ziluzodhahiri ni pamoja na:

1) Njia ya kwanza ni ya uwakilishi. Ndiyo maana tunachagua wawakilishi.

2) Njia ya pili ni ya wananchi wenyewe kufikisha ujumbe au kudai haki, pale inapoonekana uwakilishi umeshindwa, haufanyi kazi, umewasaliti unaowawakilisha, umepuuzwa au uwakilishi haupo.

Kwa yaliyotokea Tanzania mwaka 2020 ambapo uchaguzi ulivurugwa, Watanzania wamekosa wawakilishi halali:

1) Wagombea 75% kupitia CCM waliopendekezwa na wajumbe, majina yao yalikatwa na kupachikwa ya watu ambao hawakuchaguliwa na yeyote.

2) Zaidi ya 90% ya majina ya wagombea kutoka vyama vya upinzani, yalikatwa na Tume haramu ya Mahela, na wachache ambao majina yao yaliachwa, kura zao ziliporwa kwa kutumia ofisi haramu za wakurugenzi.

3) Wagombea haramu kupitia CCM ambao majina yao yalipachikwa na kikundi cha watu, wengi wao hawakupigiwa hata kura, bali wale wakurugenzi haramu waliwatangaza kuwa wamepita bila kupingwa.

4) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa kuanzia Waziri Mkuu mpaka na wabunge wengine wote waliotangazwa kuwa wamepita bila kupingwa siyo wabunge halali.

Kutokana na ukweli huo, Watanzania kwa sasa hawana chombo chochote cha uwakilishi. Hivyo yale yote yanayowaumiza sana ni lazima wapaze sauti zao wenyewe kwa nguvu kwa sababu hawana mwakilishi. Na njia mojawapo halali kabisa ya kisheria, ya kupaza sauti ni WANANCHI WENYEWE KUJITOKEZA KUFIKISHA UJUMBE KWA WATAWALA.

Hivyo nawashauri wananchi wote siku ya tarehe 24, pamoja na hayo yaliyotajwa na CHADEMA, wananchi tubebe mabango yanayotaja madhira yote ambayo wananchi wanapitia.

HATUNA UWAKILISHI POPOTE, HIMA TUJIWAKILISHE WENYEWE KWA NJIA YA MAANDAMANO.

Lakini tutambue kuwa wale wanaokanyaga haki za wananchi wana vibaraka wao wanaotupiwa makombo. Hao watajaribu kutukatisha tamaa kwa sababu wao kazi yao usiku na mchana ni kuwapumbaza watu kwa kuwahadaa watawala kwa sifa kuwa mambo yote ni safi kabisa kwa wananchi kwa sababu sasa wanaishi kama malaika.

Taarifa za ndani, watawala wameamua kutowagusa waandamanaji alimradi yawe maandamano ya amani ili kupata credit kwenye jumuia ya kimataifa na kuonesha kuwa wamekuwa wakiwasikiliza wananchi bali CHADEMA ni wakorofi. Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEMA.
 
Kuna njia za msingi za kidemokrasia za kufikisha ujumbe ama kudai haki iliyokanywagwa. Na njia hizo ziluzodhahiri ni pamoja na:

1) Njia ya kwanza ni ya uwakilishi. Ndiyo maana tunachagua wawakilishi.

2) Njia ya pili ni ya wananchi wenyewe kufikisha ujumbe au kudai haki, pale inapoonekana uwakilishi umeshindwa, haufanyi kazi, umewasaliti unaowawakilisha, umepuuzwa au uwakilishi haupo.

Kwa yaliyotokea Tanzania mwaka 2020 ambapo uchaguzi ulivurugwa, Watanzania wamekosa wawakilishi halali:

1) Wagombea 75% kupitia CCM waliopendekezwa na wajumbe, majina yao yalikatwa na kupachikwa ya watu ambao hawakuchaguliwa na yeyote.

2) Zaidi ya 90% ya majina ya wagombea kutoka vyama vya upinzani, yalikatwa na Tume haramu ya Mahela, na wachache ambao majina yao yaliachwa, kura zao ziliporwa kwa kutumia ofisi haramu za wakurugenzi.

3) Wagombea haramu kupitia CCM ambao majina yao yalipachikwa na kikundi cha watu, wengi wao hawakupigiwa hata kura, bali wale wakurugenzi haramu waliwatangaza kuwa wamepita bila kupingwa.

4) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa kuanzia Waziri Mkuu mpaka na wabunge wengine wote waliotangazwa kuwa wamepita bila kupingwa siyo wabunge halali.

Kutokana na ukweli huo, Watanzania kwa sasa hawana chombo chochote cha uwakilishi. Hivyo yale yote yanayowaumiza sana ni lazima wapaze sauti zao wenyewe kwa nguvu kwa sababu hawana mwakilishi. Na njia mojawapo halali kabisa ya kisheria, ya kupaza sauti ni WANANCHI WENYEWE KUJITOKEZA KUFIKISHA UJUMBE KWA WATAWALA.

Hivyo nawashauri wananchi wote siku ya tarehe 24, pamoja na hayo yaliyotajwa na CHADEMA, wananchi tubebe mabango yanayotaja madhira yote ambayo wananchi wanapitia.

HATUNA UWAKILISHI POPOTE, HIMA TUJIWAKILISHE WENYEWE KWA NJIA YA MAANDAMANO.

Lakini tutambue kuwa wale wanaokanyaga haki za wananchi wana vibaraka wao wanaotupiwa makombo. Hao watajaribu kutukatisha tamaa kwa sababu wao kazi yao usiku na mchana ni kuwapumbaza watu kwa kuwahadaa watawala kwa sifa kuwa mambo yote ni safi kabisa kwa wananchi kwa sababu sasa wanaishi kama malaika.

Taarifa za ndani, watawala wameamua kutowagusa waandamanaji alimradi yawe maandamano ya amani ili kupata credit kwenye jumuia ya kimataifa na kuonesha kuwa wamekuwa wakiwasikiliza wananchi bali CHADEMA ni wakorofi. Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEMA.
Taarifa za ndani, watawala wameamua kutowagusa waandamanaji alimradi yawe maandamano ya amani ili kupata credit kwenye jumuia ya kimataifa na kuonesha kuwa wamekuwa wakiwasikiliza wananchi bali CHADEMA ni wakorofi. Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maandamano ya Amani Yana Raha yake,

Gari ya Lyatonga Mrema nadhani inaongoza duniani Kwa kusukumwa free km nyingi zaidi na wananchi waliokuwa na kiu ya mabadiliko .

CCM Kwakuwa mmekataa TOBA na mabadiliko, mtabadilishwa.
 
Maandamano ya Amani Yana Raha yake,

Gari ya Lyatonga Mrema nadhani inaongoza duniani Kwa kusukumwa free km nyingi zaidi na wananchi waliokuwa na kiu ya mabadiliko .

CCM Kwakuwa mmekataa TOBA na mabadiliko, mtabadilishwa.
Tukio lile la gari la Mrema kusukumwa likiwa limezimwa engine, mpaka Hayati Nyerere aliliongelea, akawaambia CCM wanaumizwa na nini kama watu wa kumsukuma wapo. Hata wakitaka kumbeba, kama na yeye anayebebwa anapenda abebwe kama maiti, waachwe wasisumbuliwe.
 
Taarifa za ndani, watawala wameamua kutowagusa waandamanaji alimradi yawe maandamano ya amani ili kupata credit kwenye jumuia ya kimataifa na kuonesha kuwa wamekuwa wakiwasikiliza wananchi bali CHADEMA ni wakorofi. Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutu
 
Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili hakiwezi tokea kama miswada Ile haijarudhishwa Serikalini na kubadilishwa.

Kumtenga Rais kuteua viongozi wa Tume ni impossible ikiwa mabadiliko ya Katiba hayajafanyika.

Kauli ya Nchimbi inaeleza wazi kuwa waandamanaji hawatoguswa.

Wananchi tujitokeze Kwa wingi kuandamana Kwa HAKI, Hasa keyboard warriors.
 
Taarifa za ndani, watawala wameamua kutowagusa waandamanaji alimradi yawe maandamano ya amani ili kupata credit kwenye jumuia ya kimataifa na kuonesha kuwa wamekuwa wakiwasikiliza wananchi bali CHADEMA ni wakorofi. Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo ndivyo ilivyo hiyo democrafiq ya Tanzania.
 
Kuna njia za msingi za kidemokrasia za kufikisha ujumbe ama kudai haki iliyokanywagwa. Na njia hizo ziluzodhahiri ni pamoja na:

1) Njia ya kwanza ni ya uwakilishi. Ndiyo maana tunachagua wawakilishi.

2) Njia ya pili ni ya wananchi wenyewe kufikisha ujumbe au kudai haki, pale inapoonekana uwakilishi umeshindwa, haufanyi kazi, umewasaliti unaowawakilisha, umepuuzwa au uwakilishi haupo.

Kwa yaliyotokea Tanzania mwaka 2020 ambapo uchaguzi ulivurugwa, Watanzania wamekosa wawakilishi halali:

1) Wagombea 75% kupitia CCM waliopendekezwa na wajumbe, majina yao yalikatwa na kupachikwa ya watu ambao hawakuchaguliwa na yeyote.

2) Zaidi ya 90% ya majina ya wagombea kutoka vyama vya upinzani, yalikatwa na Tume haramu ya Mahela, na wachache ambao majina yao yaliachwa, kura zao ziliporwa kwa kutumia ofisi haramu za wakurugenzi.

3) Wagombea haramu kupitia CCM ambao majina yao yalipachikwa na kikundi cha watu, wengi wao hawakupigiwa hata kura, bali wale wakurugenzi haramu waliwatangaza kuwa wamepita bila kupingwa.

4) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa kuanzia Waziri Mkuu mpaka na wabunge wengine wote waliotangazwa kuwa wamepita bila kupingwa siyo wabunge halali.

Kutokana na ukweli huo, Watanzania kwa sasa hawana chombo chochote cha uwakilishi. Hivyo yale yote yanayowaumiza sana ni lazima wapaze sauti zao wenyewe kwa nguvu kwa sababu hawana mwakilishi. Na njia mojawapo halali kabisa ya kisheria, ya kupaza sauti ni WANANCHI WENYEWE KUJITOKEZA KUFIKISHA UJUMBE KWA WATAWALA.

Hivyo nawashauri wananchi wote siku ya tarehe 24, pamoja na hayo yaliyotajwa na CHADEMA, wananchi tubebe mabango yanayotaja madhira yote ambayo wananchi wanapitia.

HATUNA UWAKILISHI POPOTE, HIMA TUJIWAKILISHE WENYEWE KWA NJIA YA MAANDAMANO.

Lakini tutambue kuwa wale wanaokanyaga haki za wananchi wana vibaraka wao wanaotupiwa makombo. Hao watajaribu kutukatisha tamaa kwa sababu wao kazi yao usiku na mchana ni kuwapumbaza watu kwa kuwahadaa watawala kwa sifa kuwa mambo yote ni safi kabisa kwa wananchi kwa sababu sasa wanaishi kama malaika.

Taarifa za ndani, watawala wameamua kutowagusa waandamanaji alimradi yawe maandamano ya amani ili kupata credit kwenye jumuia ya kimataifa na kuonesha kuwa wamekuwa wakiwasikiliza wananchi bali CHADEMA ni wakorofi. Na mapendekezo mengi ya mswada yatafanyiwa kazi kudhihirisha hoja yao dhidi ya CHADEM

Hili hakiwezi tokea kama miswada Ile haijarudhishwa Serikalini na kubadilishwa.

Kumtenga Rais kuteua viongozi wa Tume ni impossible ikiwa mabadiliko ya Katiba hayajafanyika.

Kauli ya Nchimbi inaeleza wazi kuwa waandamanaji hawatoguswa.

Wananchi tujitokeze Kwa wingi kuandamana Kwa HAKI, Hasa keyboard warriors.
Tupo pamoja.
 
Hili hakiwezi tokea kama miswada Ile haijarudhishwa Serikalini na kubadilishwa.

Kumtenga Rais kuteua viongozi wa Tume ni impossible ikiwa mabadiliko ya Katiba hayajafanyika.

Kauli ya Nchimbi inaeleza wazi kuwa waandamanaji hawatoguswa.

Wananchi tujitokeze Kwa wingi kuandamana Kwa HAKI, Hasa keyboard warriors.

Watafanya mabadiliko, lakini ya ujanja ujanja ili kuhakikisha Tume ya uchaguzi inaendelea kudhibitiwa na Rais.
 
Watafanya mabadiliko, lakini ya ujanja ujanja ili kuhakikisha Tume ya uchaguzi inaendelea kudhibitiwa na Rais.
Ikiwa Urais haupingwi mahakamani,

Kupiga kura hiyo Kuna umuhimu Gani?

Maandamano yasiyo na KIKOMO ndo njia sahihi ya kurudisha Imani kwenye Sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom