Elections 2010 CHADEMA na kampeni kwa njia ya Mtandao

Wewe na Lipumba mna akili sawa. Lipumba hana hata ubavu wa kushinda kiti cha serikali ya mtaa. CUF Bara inabebwa na Zanzibar na maadamu wameungana aisubiri aibu inayomjia.
 
Hata akivalishwa kanzu na kilemba na wahehe akawa kama mimi,waislamu wameshajuwa siri zake na wakatoliki,hatutompa kura zetu.
Tutaangalia nani nafuu kati ya Lipumba na Kikwete.
 
Mmmhhh sidhani Kama hakutaja uoza wa ccm pia......

Sishangai sana kukisema chadema though at the end of the day ni wapinzani wake Kama walivyo ccm
 
Sasa hivi utakuwa kichefuchefu, huna cha kuchangia humu mpaka utafute habari zinazogusa upinzani. Pole.
 
bilali.jpg
 
upinzani wanapiga kelel sasa hivi-do not expect something differnt only hell with CHEDEMA. Ila nawashukuru kwa kuifanya CCM Itimize wajibu at least lkn c kuleta maendeleo. They need to change still. Huwezzi kuingia madarakani kwa kubeza wenzio maana na amani na uhuru anaoutumia kuwatukana CCMM ni matunda ya CCM. Cha kufanya ni kuahinisha jinsi gani watafanya maendeleo ktk afya, elimu, miundo mbinu na mengine cyo evry day speeking abt ufisadi.Ina maana wakiingia madarakani watadhibiti ufisadi tu!! Na mambo mengine je? Badilisheni namna ya kupiga kampeni CHEDEMA please.
 
malaria sugu hata Tshs. 400 ya kununua gazeti la uhuru huna, duh inadhihirisha bei yako ilivyo chini na unavyotumika kwa bei chee, pengine bure.
 
MS huo ndo ulimbukeni wa wapinzani watanzania. Baadala ya kuipinga CCM wanapingana wenyewe kwa wenyewe. Hapo pana shida kubwa. Mwambie Lipumba sote CHADEMA na CUF adui yetu mkubwa ni CCM hakuna haja ya sisi kwa sisi kupingana kama kweli nia yetu ni kutaka mabadiliko ya kweli nchini.

Hata hivyo sioni hata hoja moja ya msingi katika hizi za Lipumba. Yeye ameitisha mikutano mingapi na akapokewa na watu wangapi? Ukilinganisha na wale wa Slaa? Ok, na yeye si anatafuta wadhamini, anawapata wangapi wanaokuja kumsikiliza, ukilinganisha na wale wa Slaa?

Tufanye tu analysis ndogo kwenye chaguzi ndogo za bunge. Tuanzie Busanda, Biharamlo, Kiteto na Tarime, CUF ilikuwa na wafuasi wangapi? Ilipata kura ngapi? Hili halihitaji uwe Professor ndiyo uweze kulielewa. Lipo wazi kabisa kwamba ukubalikaji wa Lipumba na Slaa umeachana kwa mbali kabisa. Slaa ana mifano halisi ya ujengaji hoja bungeni na kuibua mijadala tata yenye maslahi kwa nchi, yeye Lipumba kawa mwenyekiti wa CUF kwa miaka mingapi na ameibua hoja gani yenye mjadala mkubwa nchini kwa maslahi ya nchi?
 
Lipumba si lolote si chochote...nadhani yeye ni wa kujilnganisha na kina Mrema wa TLP lakini sio kwa mtu kama SLAA.. anachomzidi labda ni tittle kuwa SLAA ni Dr na yeye ni Prof.....lakini katika kujenga hoja na kulinda maslahi ya nchi SLAA ni zaidi ya PROF.... Afterall huyu lipumba kwa sasa nae ni kibaraka wa CCM (rejea Kuchaguliwa kwa JK kugombea urais) alialikwa na hatuwezi jua waliongea nini baada ya kupozwa njaa aliyo kuwa nayo......Kiama chake kinakuja koz kule Zenj wameshaungana, anajikomba CCM ili apewe chochote Cheo....
 
Hey Guys Dr. Slaa hawezi kuwa na ADABU KWA MAFISADI....Watanzania tunauchungu na Pesa zetu... wewe unayesema haya .... hakika utakuwa huna Uchungu na nchi hii You must be among WAHUJUMU UCHUMI wa Nchi hii.....soryy Kura yangu ni Kwa Dr only coz he showed us he can....kwa matendo siyo longo longo.
 
Jana nilimsikia Mh. Lipumba kwamba Dk Slaa sio tishio ktk siasa, utishio wake unakuja kwenye magazeti na vyombo vya habari na sio kwenye ulingo wa kisiasa.

Alisema Chadema ni wazuri katika kumili vyombo vya habri na kuvilaumu vyombo hivyo kwa kutomuandika yeye. Alisema kuna TV moja tayari imepata amri kutoka kwa mmiliki kutomuonyesha yeye. sijui tv gani hiyo kwani jana nilimuona ktk tv ya itv na Star TV.

Alisema kujenga hoja kwenye ubunge sio sawa na mapambano kwenye irais, na hivyo Dk Slaa sio tishio kabisa kwa Jk na kwake.

kuhusu kuunganisha na kumuachia Dk Slaa alisema Dk Slaa kaibuka ghafla kwa hivyo kunamfaya hata kutokuwa na mgombea mwenza makini jambo linalomfanya kutokubali kumuachia yeye.
chadema kijiba hichooooooooooooo kichomoeni
http://www.malariasugu.blogspot.com/

source: mahojiano yake na bbc jana jioni

Nadhani huyu nae malaria sugu inaanza kumpanda kichwani maana anajua fika atakuwa nafasi ya tatu akimfuatia JK. Lakini Doctor ataweza kum accomodate kwenye baraza la mawaziri.

Nasikitika huyu jamaa anazeeka akigombea Urais, amepoteza mvuto, dira na anabaki kupayuka tuu.
 
mimi mtanzania maskini, napigania uhuru wangu

kama wewe una uchungu na taifa hili acha kuishabikia ccm, miaka 49 ya uhuru umeendelea kuwa masikini huna hata fedha ya kununua gazeti umri wako mkubwa lakini una kiherehere cha kuwachafua watu hapa jf
 
Malaria Sugu,

Hongera sana....
Ni mabandiko mengi sana huwa nafungua kusoma kulikoni, nakuta ni Upuuzi Mtupu, nikiangalia vizuri nani kabandika upuuzi huu nakuta ni WEWE naishia kujilaumu kwani nimeshasema nikiona ni Wewe tu sisomi

Hongera sana
 
Jana nilimsikia Mh. Lipumba kwamba Dk Slaa sio tishio ktk siasa, utishio wake unakuja kwenye magazeti na vyombo vya habari na sio kwenye ulingo wa kisiasa.

Alisema Chadema ni wazuri katika kumili vyombo vya habri na kuvilaumu vyombo hivyo kwa kutomuandika yeye. Alisema kuna TV moja tayari imepata amri kutoka kwa mmiliki kutomuonyesha yeye. sijui tv gani hiyo kwani jana nilimuona ktk tv ya itv na Star TV.

Alisema kujenga hoja kwenye ubunge sio sawa na mapambano kwenye irais, na hivyo Dk Slaa sio tishio kabisa kwa Jk na kwake.

kuhusu kuunganisha na kumuachia Dk Slaa alisema Dk Slaa kaibuka ghafla kwa hivyo kunamfaya hata kutokuwa na mgombea mwenza makini jambo linalomfanya kutokubali kumuachia yeye.
chadema kijiba hichooooooooooooo kichomoeni
http://www.malariasugu.blogspot.com/

source: mahojiano yake na bbc jana jioni
Lipumba toka lini akaweza kupambana na Slaa?Hapo anajaribu tu kuwateka watu maana hakuna anyemuongelea yeye kutokana na watu kumchoka.Amwache huru mwenzie ambaye nyota yake inang'aa kwa sasa na akubali ukweli kwamba kwa Tanzania bara CUF hawatopata hata jimbo moja sembuse huo urais anaoutaka
 
Hapana,Tusimhukumu Prof Lipumba,tumpe ushirkiano wa mawazo yenye kuleta tija kwa taifa la Tanzania.Sio kutoa kashfa zisizo na kichwa wala miguu.
Ndio Dr Slaa hana ubavu wa kushindana na Kikwete kama rais aliyeko madarakani,lakini anathubutu kufanya hivyo kwa nguvu za wanachama wake na watu waopenda maendeleo ya taifa hili.
Siasa ni maji taka kama inavyoitwa na watu wachache humu,
Tunatakiwa kuwa makini sana na watu wanoingiza udini katika mambo yanayohusu mustakabali wa taifa kwa ujumla.
Mimi sio mwanachama wa chama chochote hapo,Ila nijuavyo mimi Rais ni mtu yeyote mradi awe Mtanzania na bila kujali dini wala kabila hata Kingunge Ngombale Mwiru asiye na dini anaruhusiwa kugombea pia.
Ushauri kwa MS NA WENGINE:
-----Usimuhusishe Dr Slaa na idini,utakuwa umewakosea wa Tanzania haki ya msingi ya kumpigia kura ya NDIYO.
 
Jana nilimsikia Mh. Lipumba kwamba Dk Slaa sio tishio ktk siasa, utishio wake unakuja kwenye magazeti na vyombo vya habari na sio kwenye ulingo wa kisiasa.

Alisema Chadema ni wazuri katika kumili vyombo vya habri na kuvilaumu vyombo hivyo kwa kutomuandika yeye. Alisema kuna TV moja tayari imepata amri kutoka kwa mmiliki kutomuonyesha yeye. sijui tv gani hiyo kwani jana nilimuona ktk tv ya itv na Star TV.

Alisema kujenga hoja kwenye ubunge sio sawa na mapambano kwenye irais, na hivyo Dk Slaa sio tishio kabisa kwa Jk na kwake.

kuhusu kuunganisha na kumuachia Dk Slaa alisema Dk Slaa kaibuka ghafla kwa hivyo kunamfaya hata kutokuwa na mgombea mwenza makini jambo linalomfanya kutokubali kumuachia yeye.
chadema kijiba hichooooooooooooo kichomoeni
http://www.malariasugu.blogspot.com/

source: mahojiano yake na bbc jana jioni

Wewe na huyo Lipumba wako mumeshajichokea, hamna jiya, udini,chuki,usaliti, Lipumba mbona tunamjua siku nyingi kuwa ni CCM-B, anataka huruma ya JK ili aje amkubuke kwenye vile viti kumi maarufu kama MTAMA KWA WATOTO( soma wapinzani)
 
kama kuna wapuuzi ktk taifa letu na wanaoongeza idadi ya wajinga basi malaria sugu ni mmojawapo,hataki kushirikisha hata robo ya ubongo wake:bored:
 
Back
Top Bottom