Elections 2010 CHADEMA na kampeni kwa njia ya Mtandao

Nikiangalia Cuf bara haina mvuto wa kuunda serekali 2010 kwani haina viongozi shupavu wa kuweza kuongoza, viongozi wengi wa cuf sio maarufu katka nyanja za siasa ,wengi either fkutoka siasa za chini hadi kuwa cuf. hii tofauti na Cuf zenj ambapo baada ya wengi kungatuka kutoka ccm cuf zenj imekuwa na nguvu na ushawishi mkubwa, maalim seif aliwahi kuwa waziri kiongozi, hamad rashid waziri wa mambo ya ndani, abubak khamis mwanasheria wa gov, Juma duni , machano khamis, Nassor Khamis, marehemu sudi Yussuf Mgeni , ali hajji pandu ni mwanasheria mKuu na wengine ,kama cuf zenj isingekuwa na viongozi mashuhuri na maarufu wanaozijua siasa za tz basi ngalikuwa dhaifu sana na isingeweza kuleta changamoto za siasa za tz kama vile vyama vyengine vilivyopo


kwa chadema nako ndiko hivyo hivyo haina wanasiasa mashuri angalau 50 ambao wanaoweza kuwa mawaziri , manaibu au hata wakuu wa mikoa ambazo wanazijua siasa za tz, wanaoweza kupambana na ccm katika chaguzi lkn wengi wa viongozi wao ni kutoka chini.
kama utaangalia chadema inaviongozi wa 3 tu maarufu kama mbowe, slaa, zito Wengine watz waliochini wanaweza kuwafahamu.
watu wengi sasa wanakimbilia mikutanoni kuangalia helikopa jinsi inavyoruka na kutua na sio kuvutia kwa sera.
ili kiingie ikulu chadema kuna haja ya kuwa na viongozi wengi maarufu kutoka chama tawala, hivi ndivyo ilivyo nchi nyingi duniani kama vile kenya na sio kutegemea wanasiasa wasiomaarufu kama vile chadema
najua wapo wanachadema watakaoukataa ukweli na kuamini wananguvu lkn kila mtz makini anajua hizi ni nguvu za soda zikipoa mwanyaji atakunywa kiulaini

haya ni maoni yangu tu, unahaki ya kuyapinga lkn kwa hoja adhimu
Umwejitahidi sana lakini naona umeamua kutoangalia hoja moja katika mada yako. Sioni ni kwa namna gani umaarufu wa mtu au kiongozi unamfanya awe kiongozi mzuri. Ninavyofahamu mimi uwezo wa kuongoza wala hauandamani na umaarufu. Si lazima mtu maarufu awe kiongozi mzuri. Mtu anaweza kuupata umaarufu kwa kuongoza vizuri... umaarufu wake utakuwa ni matokeo ya matendo yake katika madaraka. Kama unamaanisha kuwa watu maarufu ndio wanaofaa kuunda serikali, nadhani umepotoka.
Naamini hii ni hoja adhimu na samahani kama nitakuwa nimekukwaza
 
"Nadhani" Maaskofu walikuwa sahihi. Mungu alitaka tumrudie, akatupa pain ya JK. Imeandikwa "In you pain you will look for me". I think in their pain, Tanzanians have looked for the Lord, and He is answering them. Slaa is, in my humble opinion, that answer.
Huyo slaa si nasikia ameshindwa hata kumshawishi mke wake, mpaka alipotemwa na ccm, sasa ataweza kweli kuushawishi umma wa Watanzania?
 
Back
Top Bottom