Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,707
- 218,255
Taarifa zinaonyesha kwamba Nchini Tanzania leo zinafanyika Chaguzi kadhaa, za marudio, kutokana na nafasi kadhaa kuwa wazi, kwa sababu ya vifo pamoja na mambo mengine yaliyowatokea waliokuwepo.
Eti unaambiwa kabla ya chaguzi hizo kulikuwa na mikutano ya kampeni , hivi kuna mmoja wenu ameona au kusikia kampeni hizo?
Hakika Tanzania hakuwezi kuwa na Uchaguzi bila Chadema , Wallah Wabhillah !
Eti unaambiwa kabla ya chaguzi hizo kulikuwa na mikutano ya kampeni , hivi kuna mmoja wenu ameona au kusikia kampeni hizo?
Hakika Tanzania hakuwezi kuwa na Uchaguzi bila Chadema , Wallah Wabhillah !