Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Mimi naona pamoja na utumbo mtupu anoutoa huyu Malaria Sugu kuhusu hoja mnazozitoa, nadhani ni bora zaidi mngeachana nae. Ukibishana na mpumbavu itakuwa vigumu kutambua nani mpumbavu zaidi -- nyinyi au yeye. Tangu leo mimi naachana naye!