MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,434
Baada ya maandamano ya Chadema Dar kushindwa kufana kama ilivyotakiwa, sababu kubwa ilisemwa ni taarifa kushindwa kuwafikia wananchi kwa wakati.
Hili tatizo haliwezi kujitokeza tena Mwanza, maana magari yamezunguka Mwanza nzima kutoa taarifa. Kila baada ya saa moja kulikuwa na gari linapita likiwa na taarifa ya kila kitu kuanzia mahali, saa,route na viongozi watakaokuwepo.
Ikitokea maandamano na haya yakafeli tena sababu haitakuwa department ' habari' Chadema.
Itakuwa ni upungufu wa ushawishi Chadema.
Hili tatizo haliwezi kujitokeza tena Mwanza, maana magari yamezunguka Mwanza nzima kutoa taarifa. Kila baada ya saa moja kulikuwa na gari linapita likiwa na taarifa ya kila kitu kuanzia mahali, saa,route na viongozi watakaokuwepo.
Ikitokea maandamano na haya yakafeli tena sababu haitakuwa department ' habari' Chadema.
Itakuwa ni upungufu wa ushawishi Chadema.