Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Kwa wale waliofatilia kwa makini uchaguzi wa Marekani wa 2008 watakumbuka jinsi matumizi ya internet yalivyomsaidia rais wa sasa Barack Obama kushinda. kwa wale waliokuwa na access waliweza kupata taariza za kampeni, hotuba, ratiba za ziara na hata videos hii ilisaidia sana kukusanya wanachama wengi na ilikuwa ni nafasi ya kuwafikia wale ambao muda mwingi wako ofisini na hawakuwa na muda kuangalia TV au kusikiliza redio wala kuhurudhuria mikutano ya kampeni.
CHADEMA inapaswa kuona umuhimu wa kuitumia nyezo hii muhimu sana katika dunia ya leo ya utandawazi. Japo wale wenye access ya internet Tanzania si wengi kama Marekani, lakini ni ukweli kwamba wengi wao ni wasomi au ni watu ambao muda mwingi wako oficini na sirahisi kuwaona mikutanoni.
Ukiangalia kwenye website ya CHADEMA utaina taarifa ya mwisho ni ya July 12, inamaana ni karibu ya mwezi hawaja-update taarifa zao.
Najua jamvini JF kuna viongozi wengi ya CHADEMA, bila shaka hata Mkurungenzi wa Habari yupo humu. Ushauri wangu kwa CHADEMA waweke kwenye website yao daily update za safari za mgombea urais, taarifa za wagombea ubunge, picha,Videos, hotuba n.k. Hii itawasaidia hata wale wafanyakazi wanaobanwa au kukosa muda wa kuhudhuria mikutano kupata taarifa na sera za mgombea huyu.
Wanapaswa pia kuitangaza website ili watu waijue hii itawasaidia sana CHADEMA katika kueneza ujumbe kwa wanzania walioko ndani na hata nje ya nchi hii ambao magazeti wala redio zetu haziwafikii na njia pekee ya kuwafikia ni kwa njia ya mtandao.
CHADEMA inapaswa kuona umuhimu wa kuitumia nyezo hii muhimu sana katika dunia ya leo ya utandawazi. Japo wale wenye access ya internet Tanzania si wengi kama Marekani, lakini ni ukweli kwamba wengi wao ni wasomi au ni watu ambao muda mwingi wako oficini na sirahisi kuwaona mikutanoni.
Ukiangalia kwenye website ya CHADEMA utaina taarifa ya mwisho ni ya July 12, inamaana ni karibu ya mwezi hawaja-update taarifa zao.
Najua jamvini JF kuna viongozi wengi ya CHADEMA, bila shaka hata Mkurungenzi wa Habari yupo humu. Ushauri wangu kwa CHADEMA waweke kwenye website yao daily update za safari za mgombea urais, taarifa za wagombea ubunge, picha,Videos, hotuba n.k. Hii itawasaidia hata wale wafanyakazi wanaobanwa au kukosa muda wa kuhudhuria mikutano kupata taarifa na sera za mgombea huyu.
Wanapaswa pia kuitangaza website ili watu waijue hii itawasaidia sana CHADEMA katika kueneza ujumbe kwa wanzania walioko ndani na hata nje ya nchi hii ambao magazeti wala redio zetu haziwafikii na njia pekee ya kuwafikia ni kwa njia ya mtandao.