salary

  1. navah

    Internship salary for absa bank

    What is the salary scale for intern in absa bank?
  2. Expensive life

    Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

    Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
  3. L

    Salary scale za serikali

    Hivi salary scale ya PMGSS 3 ni shingap?
  4. L

    Hivi salary scale ya PMGSS 3 ni shingap?

    Hivi salary scale ya PMGSS 3 ni shingap?
  5. Danielmwasi

    Tunamtaka Hersi ampe mshahara mzuri Mudathir Yahya

    Mudathir Yahya: Nyota Inayong'ara wa Young Africans SC here is why?? # Uwanjani: Uchezaji wa Kusisimua Mudathir Yahya amekuwa akiwasha moto uwanjani. Uwezo wake wa kubadilisha mwelekeo, kuona vizuri uwanjani, na kudhibiti kiungo cha kati unamfanya kuwa mchezaji wa pekee. Kuanzia kuzuia pasi...
  6. D

    Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 -

    Habari, Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 - 9.
  7. mkarimani feki

    Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

    Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana. Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
  8. A

    Salary rate ya Fair Competition Commission ipoje?

    Habari zenu wakuu, Salary rate ya FCC inakuwa vipi? Kuna rate zao FCCGSS from 4 to 12 inakuwa inahesabika vipi? Asanteni
  9. M

    Mbona Govt salary zinaingia zimepigwa panga bila maelezo ya kutosha kunani jamani

    Last month nilikuta 15,000/= haipo Today 123,000/= nimevuta statement inaonesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nini?
  10. M

    NMB wanatoza riba kiasi gani kwenye Salary Advance?

    Wazee naomba kuuliza anayejua riba wanayotoza nmb kwenye salary advance
  11. Z

    Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili, ambazo ni 25% na 50% ya monthly salary ya full-time lecturers

    Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili. Band ya kwanza iwe 25% ya monthly salary ya full-time lecturers. Na band ya pili iwe 50% ya monthly salary ya full-time lecturers. Na mikataba yao iwe one year renewable depending on kama wataendelea kuhitajiwa. Wanaweza wawe au wasiwe...
  12. Annie X6

    Salary incriment imekwenda wapi?

    Wana jf naomba kujuzwa. Mshahara uliopita ulikuwa na incriment ya July. September kitu plain. Why
  13. Jugado

    Topic ya shisha: Nipo Dynasty UNUNIO kufurahia salary, watu wanavuta shisha balaa nataka kujaribu

    Vipi Ina raha Gani sijawahi jaribu kuvuta chochote sio sigara sio nini. . N.b : ule uzi wa kuacha pombe Kwa miezi sita ushafeli napiga JB Mdogo mdogo nipo na yule mpangaji.
  14. H

    Vipi mliochungulia salary ya July 2023, kuna nyongeza?

    Vipi kwa wale mlio na "macho marefu" mpaka huko jikoni je yaliyomo yamo?
  15. W

    Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

    Acha kabisa aisee! Nikiwa nimepagawa na changamoto iliyokuwa inanikabili bila kujua la kufanya, nikakimbilia benki moja kuomba mkopo. Kufika pale nikamuambia afisa mikopo kuwa nahitaji m15, akaniambia m10 ni utapata lakini si hizo ulizotaka. Nikaona kheri tu itaokoa kitu tena kwa kiasi kikubwa...
  16. S

    Makato ya HESLB: Rais Samia tunaomba mrudishe makato ya 8%, pia yazingatie sheria ya kubaki na 1/3 ya basic salary

    Raisi Samia, japo umetukwaza sana na hii issue ya bandari, kuna mambo mazuri umefanya hasa katika kurekebisha baadhi ya mambo yaliyofanyika wakati wa utawala Marehemu Magufuli. Moja ya eneo ulilogusa ni kuboresha masilahi ya wafanyakazi kama kupandisha watumishi vyeo, kuongeza mishahara ingawa...
  17. Mkyamise

    Msaada kuhusu salary scale za "NECTAR"

    Naomba kupata salary scale za "NECTAR" Naomba uelewe hilo neno NECTAR. Asante
  18. K

    Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

    Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari. Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima? Tupeane mbinu hizo wakuu.
  19. CK Allan

    Je salary slip portal imedukuliwa?

    Kila nikiingia nakutana na huu ujumbe!! Vipi tayar hacker wamefanya Yao ama
Back
Top Bottom