plan

A plan is typically any diagram or list of steps with details of timing and resources, used to achieve an objective to do something. It is commonly understood as a temporal set of intended actions through which one expects to achieve a goal.
For spatial or planar topologic or topographic sets see map.
Plans can be formal or informal:

Structured and formal plans, used by multiple people, are more likely to occur in projects, diplomacy, careers, economic development, military campaigns, combat, sports, games, or in the conduct of other business. In most cases, the absence of a well-laid plan can have adverse effects: for example, a non-robust project plan can cost the organization time and money.
Informal or ad hoc plans are created by individuals in all of their pursuits.The most popular ways to describe plans are by their breadth, time frame, and specificity; however, these planning classifications are not independent of one another. For instance, there is a close relationship between the short- and long-term categories and the strategic and operational categories.
It is common for less formal plans to be created as abstract ideas, and remain in that form as they are maintained and put to use. More formal plans as used for business and military purposes, while initially created with and as an abstract thought, are likely to be written down, drawn up or otherwise stored in a form that is accessible to multiple people across time and space. This allows more reliable collaboration in the execution of the plan.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Mkataba wa Bandari: Ni kweli Rais wa hajui alichosaini au ni mpango mkakati uliojificha?

    UTANGULIZI: Kwa taaluma yangu kama mwanasheria nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kweli kuwa ule ndio ushauri wa kisheria (legal opinion, or legal memorandum) uliotolewa na watalaamu wetu wa kisheria kumshauri Rais wa JMT kuridhia kuingia kwenye mkataba wa kipuuzi na kipumbavu namna ile. Ni...
  2. F

    Kununua ndege bila business plan ni kufuja fedha za maskini

    Biashara ya ndege ni moja ya biashara ngumu zaidi duniani. Hii ni biashara yenye mahesabu makali. Ni biashara ya kimataifa. Kufanikisha biashara ya ndege tunahitaji timu yenye weledi mkubwa sana kibiashara. Wazungu Afrika Kusini wamepata changamoto kubwa na hasara pia, Wanaigeria, Wamisri na...
  3. T

    Wananchi wana Imani na sanduku la Kura. Maneno ya Lissu ni 'blaablaa' na hofu ya kushindwa anatafuta 'exit plan' tu

    Namsikia sikia aliyekuwa mgombea Urais 2020 kupitia CHADEMA Tundu Lissu akijisulubu nafsi yake kwa dhana ya kufikirika tu kwamba hakuna hata kiongozi hata mmoja aliyeshinda. Anayesema haya atambue kwamba: Siku ya kupiga kura 2020 niliona misululu mirefu sana ya watu wakisubiri zamu zao kupiga...
  4. MK254

    Akili kubwa: The Israeli plan to fit a fusion reactor into a container

    From the outside it looks like an ordinary warehouse. But inside this unassuming building, in Hod Hasharon central Israel, is one of the most ambitious energy projects in the Middle East, Researchers at NT-Tao have joined an elite group of around 35 private start-ups that are trying to build a...
  5. F

    Tusinunue ndege bila kuwa na business plan. Rwanda Air waanza safari za Paris

    Tumekuwa tukifurahia kununua ndege za gharama kubwa na serikali yote kufurahia kwenda kuzipokea uwanjani kwa bashasha na sherehe kubwa. Kinachofuata baada ya hapo ni kupaki ndege viwanjani miaka kadhaa baada ya kuzinunua. Lakini jirani zetu Rwanda wana business plan na ndege zao. RwandAir to...
  6. Tommy 911

    Business plan ya restaurant

    Habarin wana jf..... Mimi ni kijana wa miaka 22 ni mwanachuo nina business plan kuhusu mgahawa hivyo napend kupata mtu serious amabe tutaweza kueka plans ili kufanikisha iwe kama partnership. If interested pm me nikupe business plan niliyoandaa ili tuweze kuwekan sawa Pia nahitaj ushauri...
  7. Msanii

    Tujadili kama Taifa: Watoto wamefutiwa mitihani. Je Serikali iwe na plan B?

    Waziri wa Elimu mhe. Adolf Nkenda amesimamia maamuzi ya Baraza la Mitihani la Taifa kuhusu uamuzi wa kufuta matokeo ya baadhi ya wanafunzi ambao wamegundulika kufanya wizi wa mitihani yao ya Taifa. Amewaomba Wabunge waunge mkono msimamo wa Baraza kwenye uamuzi huo. Na bahati mbaya sana kwa...
  8. Meneja Wa Makampuni

    Nisaidieni kugundua makosa ya hii floor plan

    Hapo katikati pana uwazi wenye upana wa 3m hadi 3m
  9. Meneja Wa Makampuni

    Karibu Bright and Genius Editors upate huduma bora

    BRIGHT AND GENIUS EDITORS Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo: 1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali. 2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters) 3. Kuandika barua za kuomba kazi. 4...
  10. Mung Chris

    Jifunze namna ya kuandika Business plan ukiwa Dar es salaam

    Tar 10-11/01/2023 saa 3-9 jion Dar es salaam, Ilala Bungoni mafunzo namna ya kuandika BUSINESS PLAN kwa ajili ya ufugaji wa Kuku wa Nyama, Mayai na wa kienyeji, lengo ni kukusaidia kuwa na uwezo wa kuandika mchanganuo wa mkopo. Mafunzo ni bure. 0788811136
  11. Mung Chris

    Jifunze namna ya kuandika Business Plan

    Tar 7-8/01/2023 saa 3-9 jion Arusha, Maji ya chai, mafunzo namna ya kuandika BUSINESS PLAN kwa ajili ya ufugaji wa Kuku wa Nyama, Mayai na wa kienyeji, lengo ni kukusaidia kuwa na uwezo wa kuandika mchanganuo wa mkopo. Mahali: Arusha Maji ya chai. Mafunzo ni bure. 0788811136
  12. Zed

    Barbara anaiachaje Simba? ( Exit Plan)

    Tangu Barbara atoe barua ya kujiuzulu hakuna habari yoyote yakuonyesha anaichaje simba ( exit plan) Usajili unangojea dakika za mwisho halafu wachezaji hawajengi muunganiko. Ni vema mtu anapoondoka aachie ngazi watu wafanye kazi.
  13. Chawa wa lumumbashi

    Nina mashaka na succession plan ya CHADEMA

    Unjani Subawona Kiukweli wakuu ni mashaka na yawezekana hofu juu ya succession plan ya chadema baada ya mheshimiwa mbowe kutoka kwenye hiyo nafasi yake najiuliza who is next after him? Kiukweli tuseme ukweli CCM Ina uwingi wa manpower kuizidi chadema Tena yawezekana ni Mara Mia au elfu moja...
  14. P

    Fursa: Business plan sekta ya kilimo

    Wasaalam ndugu zangu, ninahitaji kupata huduma ya mtaalamu mwenye uzoefu wa kuandika business plan za sekta ya kilimo.
  15. Mr George Francis

    God is the master planner of our lives

    GOD IS THE MASTER PLANNER OF OUR LIVES. [Mungu ndiye mtaalamu wa mipango ya maisha yetu] Kama kijana au kama binadamu yeyote wa kawaida ni lazima kuna mipango fulani itakuwa umejiwekea kwenye maisha. Mipango yako inaweza kuwa mizuri kwa ufahamu wako wa kawaida lakini upo uwezekano wa...
  16. A

    Tanzanians being taken for a ride in new Dart plan

    One of the biggest things to happen to Dar es Salaam is the Dar Rapid Transit (Dart) project. The avant-garde infrastructure is a much welcome addition to the city landscape given its higgledy-piggledy expansion. Even people who do not utilise Dart appreciate its existence. But since its...
  17. Jamii Opportunities

    Regional Information Management Analyst at Plan International

    PLAN INTERNATIONAL Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls. We believe in the power and potential of every child. But this is often suppressed by poverty, violence, exclusion and discrimination. And...
  18. H

    Msaada kuhusu kampuni ya upimaji ardhi maarufu kama Ardhi Plan

    Habari wana jamvi, Miaka kadhaa iliyopita nilinunua ardhi maeneo ya Kigamboni kupitia kampuni ya Ardhi Plan. Ofisi zao zilikuwa pale maeneo ya Shaurimoyo, Ilala ila kwa sasa hawapatikani/hawapo tena maeneo yale. Nimejaribu kuwatafuta kupitia namba zao za simu ambazo zinapatikana kwenye...
  19. Mboka man

    Kama umefikisha miaka 30 kazi bado haujapata fanya plan B

    Wadogo zangu ambao mnaosoma huu Uzi ambao mpo katika harakati za kutafuta kazi ukiona umefika umri wa miaka 30 hujapata kazi nakushauli achana na mambo ya kutafuta kazi na anza kufanya plan b kama ni kilimo,ufugaji,biashara uanze kutengeneza maisha yako badae mapema usisubili time its too late...
  20. Naanto Mushi

    Kenya 2022 Why Kenyatta chose the losing side? Or is it part of the plan to cancel Raila forever?

    Looking at the momentum of how things are unfolding during the campaign also in various social media, It looks like wananchi are with Kenya Kwanza. Personally, I am not Kenyan, but i have followed the manifesto and the think tank behind these two movements. The quick conclusion i can draw is...
Back
Top Bottom