container

  1. B

    Ushuru upoje kama ukiagiza mfano piece 50,000 za container za urine kutoka China

    Naombeni msaada hivi ukiagiza bidhaa online mfano pieces 50,000 za urine container kutoka Alibaba zenye thamani mfano sh. 2500000 ushuru wake hapa bongo unaweza fika shilingi ngapi
  2. R-K-O

    Vikontena / vifuko vya kuwekea pesa za mauzo havitoshi ama nafasi inbaki, Naweza kupata wapi vimifuko ama container vya kimo nachohitaji

    Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana muajiriwa na pia ni mfanya biashara Katika biashara yangu huwa napenda sana kuiendesha kwa kuongezea vitu vya darasani, kuna hii system nataka niitumie ya kutenganisha pesa za mauzo mfano ya kwa siku, baada ya siku kadhaa, kwa wanaolipa madeni, kulingana na...
  3. MK254

    Akili kubwa: The Israeli plan to fit a fusion reactor into a container

    From the outside it looks like an ordinary warehouse. But inside this unassuming building, in Hod Hasharon central Israel, is one of the most ambitious energy projects in the Middle East, Researchers at NT-Tao have joined an elite group of around 35 private start-ups that are trying to build a...
  4. Mbimbinho

    INAUZWA Nauza Duka la vinywaji (Container, Crates na mkataba wa eneo) GOBA Njia nne

    Habari zenu, Kama title inavyosema, nina duka la vinywaji baridi na moto, ila nimeamua kuuza kutokana na kukosa msimamizi na shughuli zangu zimekuwa zinanibana sana. Hivyo Ninauza 1. Containter (20FT) Pamoja na 2. Crates za beer (TBL 78, SBL 45) 3. Soda (Coca 40, PEPSI 28) 4. PIKIPIKI TVS 5...
  5. marandu2010

    natafuta mhasibu kutoka inland container depot(ICD)

    Habari ndugu zangu,naomba nipate kuunganishwa na mhasibu wa bandari kavu (inland container depot)kwa kifupi ICD,nina hitaji msaada wa mawazo na uzoefu,mm nimesoma uhasibu ngazi ya bachelor degree,namba yangu 0712705389 nipo dsm,nitashukuru sana.
  6. kanga

    Ushauri wenu wabobezi kuhusu gharama za TRA kulipia 20ft Container kutoka China

    Wadau katika kutaka kujikomboa kimaisha nimeona Alibaba.com kununua mzigo na kusafirisha hadi BONGO siyo gharama kubwa ,issue ikabaki kwangu je wazee wa Kaisari -TRA hapo ndio kikwazo mara nyingi.Kwa maelezo hayo naomebi wabobezi wa biashara kutoka CHINA na ambao wana shop at ALIBABA.COM...
  7. Kilobyte

    Nyumba ya container mpaka kibanda cha mabati

    Salaam wakuu. Katika pitapita zangu mitandaoni huku na kule, nilikutana na mjengo fulani wa macontainer. Kwa haraka haraka nikapiga hesabu nikaona ni more affordable kama unakimbia maisha ya kupanga. Nikahamishia research JF nikakumbana na bwana mmoja ndege JOHN aliyewahi kuwa na wazo kama...
  8. S

    Gari ya kubeba container 20ft inahitajika Musoma

    GARI YA KUBEBA CONTAINER 20FT INAHITAJIKA MUSOMA Pana container linahitajika kusafirishwa ndani ya 50 km toka musoma mjini Kwa yeyote wa kupata gari hilo tuwasiliane hapa
  9. Idugunde

    TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

    Habari Wote. Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Prof. Honest Ngowi na Dereva wake, waliofariki asubuhi ya leo kwa ajali ya gari wakiwa njiani kuja Kampasi Kuu Morogoro. Tunaomba muwe watulivu wakati Menejiementi inaendelea kufuatilia taarifa kamili ya...
  10. MK254

    Second container terminal to cement Kenya's position as the regional hub

    President Uhuru Kenyatta is expected to launch the Sh32 billion second container terminal at Mombasa later this month, cementing Kenya's position as the regional hub. The terminal, to start operations in the coming weeks will accommodate an additional 450 twenty-foot containers and increase the...
  11. Njunwa Wamavoko

    A need for Container Orchestration in government-traffic-intensive-websites: NECTA results case study

    Salaam Wakuu! Ni mda kidogo sija post katika Jukwaa hili. Nimeombwa na mtu hapa nimuangalizie matokeo yake ya Form Four. Nimeshangazwa kuona karne hii ya ishirini na moja, katika serikali ambayo ina promote na ku adopt ICT katika business operations zake, kuona kuna services zinakwama kuwa...
  12. Kibenje KK

    Contena linauzwa kwa matumizi ya biashara

    CONTENA ZINAUZWA FUTI~>40 LOCATION : MBAGALA BEI: MILLION 7 @ MAONGEZI YAPO FULL DOCUMENTS CALL ME ~>0762815104 #WHATSAPP ~>0762815104
  13. M

    Linahitajika container la 20 ft

    Wadau naitaji container 20 FT hata ikiwa used. Offer yangu ni 1.2 M. Iwe Dar na documenation zote za umiliki muuzaji awe nazo. Kama unayo nicheck kwa 0759 819 819.
  14. M

    Container linaitajika(Dar)

    Wadau salaam, Linaitajika Contauner la FT 20 au 40 kwajairi ya bishara ya duka la jumla/hardware. Naomba offer inbox.
  15. kokudo

    Zipi faida za kusafirisha Full Container au Loose cargo from China?

    Nimekuja tena kwenu wana jamvi naomba msaada wa kujua zipi ni faida za kusafirisha mzigo kama full container au Loose cargo kutoka China au Nchi za Wenzetu. Moja kuhusu gharama za usafirishaji. Pili kuhusu mambo ya bandarini mzigo ukifika. Nakukaribisha kwa mjadala. CC Top leader
  16. The Mongolian Savage

    Nataka kuingiza nchini container za Jezi za Aston Villa

    Mzuqa wanajamvi, Aiseee chalii zangu wanaJF nimewasiliana na baadhi ya watu Thailend na Bangladesh kuhusu kushona hizi jezi za Aston Villa. Inawezekana aiseee. Ninampango wa kushusha container la futi arubaini iliyosheheni jezi ya hii klabuya kipekee ambayo kijana wetu kipenzi national...
Back
Top Bottom