Naombeni msaada hivi ukiagiza bidhaa online mfano pieces 50,000 za urine container kutoka Alibaba zenye thamani mfano sh. 2500000 ushuru wake hapa bongo unaweza fika shilingi ngapi
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana muajiriwa na pia ni mfanya biashara
Katika biashara yangu huwa napenda sana kuiendesha kwa kuongezea vitu vya darasani, kuna hii system nataka niitumie ya kutenganisha pesa za mauzo mfano ya kwa siku, baada ya siku kadhaa, kwa wanaolipa madeni, kulingana na...
From the outside it looks like an ordinary warehouse. But inside this unassuming building, in Hod Hasharon central Israel, is one of the most ambitious energy projects in the Middle East,
Researchers at NT-Tao have joined an elite group of around 35 private start-ups that are trying to build a...
Habari zenu,
Kama title inavyosema, nina duka la vinywaji baridi na moto, ila nimeamua kuuza kutokana na kukosa msimamizi na shughuli zangu zimekuwa zinanibana sana.
Hivyo Ninauza
1. Containter (20FT) Pamoja na
2. Crates za beer (TBL 78, SBL 45)
3. Soda (Coca 40, PEPSI 28)
4. PIKIPIKI TVS
5...
Wadau katika kutaka kujikomboa kimaisha nimeona Alibaba.com kununua mzigo na kusafirisha hadi BONGO siyo gharama kubwa ,issue ikabaki kwangu je wazee wa Kaisari -TRA hapo ndio kikwazo mara nyingi.Kwa maelezo hayo naomebi wabobezi wa biashara kutoka CHINA na ambao wana shop at ALIBABA.COM...
Salaam wakuu.
Katika pitapita zangu mitandaoni huku na kule, nilikutana na mjengo fulani wa macontainer.
Kwa haraka haraka nikapiga hesabu nikaona ni more affordable kama unakimbia maisha ya kupanga.
Nikahamishia research JF nikakumbana na bwana mmoja ndege JOHN aliyewahi kuwa na wazo kama...
GARI YA KUBEBA CONTAINER 20FT INAHITAJIKA MUSOMA
Pana container linahitajika kusafirishwa ndani ya 50 km toka musoma mjini
Kwa yeyote wa kupata gari hilo tuwasiliane hapa
Habari Wote.
Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Prof. Honest Ngowi na Dereva wake, waliofariki asubuhi ya leo kwa ajali ya gari wakiwa njiani kuja Kampasi Kuu Morogoro.
Tunaomba muwe watulivu wakati Menejiementi inaendelea kufuatilia taarifa kamili ya...
President Uhuru Kenyatta is expected to launch the Sh32 billion second container terminal at Mombasa later this month, cementing Kenya's position as the regional hub.
The terminal, to start operations in the coming weeks will accommodate an additional 450 twenty-foot containers and increase the...
Salaam Wakuu!
Ni mda kidogo sija post katika Jukwaa hili.
Nimeombwa na mtu hapa nimuangalizie matokeo yake ya Form Four.
Nimeshangazwa kuona karne hii ya ishirini na moja, katika serikali ambayo ina promote na ku adopt ICT katika business operations zake, kuona kuna services zinakwama kuwa...
Wadau naitaji container 20 FT hata ikiwa used. Offer yangu ni 1.2 M.
Iwe Dar na documenation zote za umiliki muuzaji awe nazo.
Kama unayo nicheck kwa 0759 819 819.
Nimekuja tena kwenu wana jamvi naomba msaada wa kujua zipi ni faida za kusafirisha mzigo kama full container au Loose cargo kutoka China au Nchi za Wenzetu.
Moja kuhusu gharama za usafirishaji. Pili kuhusu mambo ya bandarini mzigo ukifika.
Nakukaribisha kwa mjadala.
CC Top leader
Mzuqa wanajamvi,
Aiseee chalii zangu wanaJF nimewasiliana na baadhi ya watu Thailend na Bangladesh kuhusu kushona hizi jezi za Aston Villa. Inawezekana aiseee.
Ninampango wa kushusha container la futi arubaini iliyosheheni jezi ya hii klabuya kipekee ambayo kijana wetu kipenzi national...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.