Tunaomba tujue kwani tasisi zote za kibenki ukingia kwenye mfumo unakuta application number ya mkopo ambayo inakuwezesha kusettle deni lako lakini hawa maboto uhuni gani ulitumiaka mpaka hazina wakawakubalia na kuwa N/A
Kwanini aisee hii inchi imechezewa sana tunaomba utumishi muwape namba hao...
Wakuu kuna nafasi ya kazi ninataka kuiomba ila moja ya document wanazotaka ni writing sample, yenye maneno maximum 1,000.
Ni kazi ya research assistant, naomba kusaidiwa ufahamu. Writing sample ni nini? Na inaandikwaje?
Britam is a leading diversified financial services group with presence in seven countries in Africa namely: Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, South Sudan, Mozambique and Malawi.
The company offers a wide range of financial solutions in General Insurance that includes Health Insurance. These...
Habari wakuu,
Anatafutwa mtaalam wa kudevelop mobile application na website.
Ikiwa una nia na ujuzi wa kutosha, tafadhali wasiliana nasi.
Tunatarajia kusikia kutoka kwako haraka iwezekanavyo.
Asante na tunatarajia ushirikiano mzuri.
Mawasiliano yetu:
Bright and Genius Editors...
Habari zenu jamani,
Nilikua nina apply cheti cha kuzaliwa online nikaambatanisha kitambulisho cha baba na leaving certificate wakadai ni-update kitambulisho cha mama na cheti cha la saba ila sasa nikitaka kuremove ili ni update walivyodai vile vya mwanzo vinagoma kuremove nifanyeje jamani msaada.
Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..?
Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi nyingine level ya diploma??
Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..?
Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi nyingine level ya diploma??
Kabla sijaenda kusoma Foundation mwaka 2022, nilienda kuwauliza UDOM kwny maonesho ya Vyuo vikuu, wakanambia wanapokea, na kuna mtu alinambia kwenye system yao ya kuomba udahili ipo sehemu ya anayetokea foundation.
Lakini baada ya kumaliza nimeenda kwenye maonesho ya vyuo vikuu. UDOM wakanambia...
Leo tarehe 25.08.2023 TCU wametoa majina ya wanafunzi wa kidato cha sita waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali.
Kama inavyojulikana, kuna ambao hupata "multiple selections", yani mwanafunzi mmoja anadahiliwa na vyuo zaidi ya kimoja kwa kozi tofauti au kwa kozi ileile.
Hii ni stage ambayo...
Naomba kufahamishwa kama kuna mtu ameweza kukamilisha ujazaji wa taarifa za maombi ya mkopo elimu ya juu.
Takribani wiki sasa Najaribu kumuombea kijana wangu lakini kipengele cha demographic inaload tu, taarifa hazihifadhiwi.
Kama umeweza umefanyaje?
Msaada tafadhari.
Habari, nakuja tena kukutaarifu kua, application ya Stock manager & sales register imefanyiwa marekebisho ya muonekano wake, na kuwa wa mvuto zaidi. (linki ya application kwenye playstore)
Lengu kuu la hii application ni kumsaidia mfanya biashara mdogo kuwa na uwezo wa kurekori, na kupata...
JINSI APPLICATION YA SIMU INAVYOWEZA KUTATUA TATIZO LA AJIRA - CAREER APPLICATION
Utangulizi
Upatikanaji wa ajira umekuwa ni changamoto kubwa kwa mataifa mengi duniani ikiwemo Tanzania. Hii ni kutokana na ongezeko kubwa la watu hususani vijana ambao huhitimu masomo yao huku nafasi za ajira...
Nimefanikiwa kuibadilisha website yangu kuwa Mobile App inayofanya kazi kwenye Android & ios devices. Nimetumia Flutter kulifanikisha hili.
Hii ni project niliyofanya mwanzo wa mwaka huu kwa kutumia framework ya next.js. 👇
🔗 Home 👈 👈 👈 👈 WEBSITE
Na hii ndio App yake niliyoitengeneza kwa...
Wanajamvi zipo changamoto nyingi kuhusiana na mikopo inayotolewa kupitia Application za simu kama Umoja Loan, Premium, Branch na wengineo ikiwemo mteja kubambikiziwa riba kubwa sana zaidi ya asilimia 15% na tishio kwa mteja anayeshindwa kulipa kwa wakati, elezea jinsi ulivyodhalilishwa na mikopo...
Dear Headmaster,
REF: Application for Physics and Chemistry teaching position at your school.
I am writing to express my strong interest in the physics and chemistry teaching position at your esteemed school. As a highly qualified and dedicated teacher, I am confident that my skills and...
BRIGHT AND GENIUS EDITORS
Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo:
1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali.
2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters)
3. Kuandika barua za kuomba kazi.
4...
Ndugu zetu ambao mmeshaanza kulamba asali, ebu mtujuze je status zenu za application katika account ya PSRS zilikuwaje na sasahivi zikoje?
Najua huwenda kila mtu aliandikiwa tofauti, basi usisite kutuambie ulichoandikiwa.
NB: Kama bado hujaanza kulamba asali, usiwe na haraka kukoment, subiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.