Kama umefikisha miaka 30 kazi bado haujapata fanya plan B

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,639
Wadogo zangu ambao mnaosoma huu Uzi ambao mpo katika harakati za kutafuta kazi ukiona umefika umri wa miaka 30 hujapata kazi nakushauli achana na mambo ya kutafuta kazi na anza kufanya plan b kama ni kilimo,ufugaji,biashara uanze kutengeneza maisha yako badae mapema usisubili time its too late ndo uanze

Sasa hivi mambo ya kutegemea kuajiriwa ndio uanze kutengeneza maisha yako ya badae ni sawa na kucheza mchezo wa kamali hujui kama utapata au utakosa hivyo ni bora uanze mapema kujiajiri kuliko kutegemea kuajiriwa katika haya ninayoyasema kuna watu hawawezi kunielewa lakini nawambia katika hili eneo ukizembea tuu huku mbeleni ukiwa katika age kuanzia 40 ukifikisha na hakuna jambo lolote ulilifanya katika maisha yako utaumia sana.

Kibaya zaidi ajira zenyewe zinaenda na umri kuna age ukifika unaweza ukawa na vigezo vya kuajiriwa ila umri kikwazo lakini pia hapo utakuja kushanga wale madogo waliokuwa wanakuita sister au braza wamepiga hatua na wewe uko pale pale na story zile zile kuna mchongo nausikikilizia tangu miaka hiyo madogo wako zako wako wadogo hadi wanakuwa unawapigia story zile zile kuna kazi au mchango nausikilizia
Huku ukiwapiga vibomu vya hela na usipopewa unaona kama wamekunyima unaanza kuwakunjia ngita

Ushauri wadogo zangu amkeni mapema muanze kujitafutia haya kutegemea ajira na watu wanaokujua wakusaidie yatakuja kukupa shida huku mbeleni usipokuwa kitu na hata una elimu yako utadhalilika tuu
 
Nimebahatika kua kwenye panel ya recruitment.

Nimefanyia usaili watu wana miaka 35 mpaka 38 na pamoja na yote ni kwamba mshahara ni wa kawaida tu.

Plan B kujiajiri siyo rahisi kama mabosi wa JF mnavyoandika
 
Nimebahatika kua kwenye panel ya recruitment.

Nimefanyia usaili watu wana miaka 35 mpaka 38 na pamoja na yote ni kwamba mshahara ni wa kawaida tu.

Plan B kujiajiri siyo rahisi kama mabosi wa JF mnavyoandika
Baadhi ya watu wanachukulia kujiajiri ni jambo jepesi,yaani umalize chuo,ukajipangie,uanze kutafuta mtaji,mtaji ukue,uanze kupata faida,ufanyie mambo yako ya ziada kama ujenzi,ulipe mahari,usaidie ndugu zako na mengine mengi,aisee siyo rahisi kihivyo.

Watu wajiulize,wadada kama wale Covid19 na baadhi ya wanasiasa,uwaambie waachie ngazi pale,wakajiajiri,utaona mziki wake,Covid19 wameona bora waende kortini tu,wakae bungeni,hadi 2025,watakua wamepata mbinu nyingine ya kuishi,kama ni kuunga juhudi za mama,au laah! lakini siyo sasa.

Vivyo hivyo,angalia yule Dr.Lutengwe wa Morogoro,aliyemwambia JPM,amsamehe,tena mtu ni Phd,anahofu ya kujiajiri,je graduate ambaye hana mtaji,na yupo kwenye viscous circle ya umaskini,Unadhani ni rahisi?
Watu wasichukulie poa.
 
Baadhi ya watu wanachukulia kujiajiri ni jambo jepesi,yaani umalize chuo,ukajipangie,uanze kutafuta mtaji,mtaji ukue,uanze kupata faida,ufanyie mambo yako ya ziada kama ujenzi,ulipe mahari,usaidie ndugu zako na mengine mengi,aisee siyo rahisi kihivyo.Watu wajiulize,wadada kama wale Covid19 na baadhi ya wanasiasa,uwaambie waachie ngazi pale,wakajiajiri,utaona mziki wake,Covid19 wameona bora waende kortini tu,wakae bungeni,hadi 2025,watakua wamepata mbinu nyingine ya kuishi,kama ni kuunga juhudi za mama,au laah! lakini siyo sasa.
Vivyo hivyo,angalia yule Dr.Lutengwe wa Morogoro,aliyemwambia JPM,amsamehe,tena mtu ni Phd,anahofu ya kujiajiri,je graduate ambaye hana mtaji,na yupo kwenye viscous circle ya umaskini,Unadhani ni rahisi?
Watu wasichukulie poa.
Kama mtu aliyemaliza darasa la saba amepambana mpaka kujiajiri akawa na biashara yake kwanini wewe uliyemaliza chuo kipi kinakushinda aiseee ifike time uwaze maisha yako ya badae
 
Nimebahatika kua kwenye panel ya recruitment.

Nimefanyia usaili watu wana miaka 35 mpaka 38 na pamoja na yote ni kwamba mshahara ni wa kawaida tu.

Plan B kujiajiri siyo rahisi kama mabosi wa JF mnavyoandika
Wewe recruiter na hao vijana wote mnafanana mawazo tegemezi.
Kwani waliojiajiri wamewezaje?
Kwa hiyo unawashauri wasipopata ajira wakae tu nyumbani na kulaumu wanasiasa.
Huo ni mfumo wa kizamani sana.
 
Graduates walioweza kujiajiri wapo ila sio kama wengi wanavyofikiria, graduates wapo kwenye makundi nawajua sababu mm ni mmoja wao
1. Family business, wakawa wanapiga kazi kwa mda then wakaanzishiwa yao

2. Mtaji wamepewa kutoka kwa wazazi/walezi wakaenda kufanya their thing

3. Wenye Entrepreneurship spirit walianza toka wako chuon kutafuta pesa (hawa ni wachache)

4. Wanaotaka kuanza biashara ila wamegundua hilo kwa kuchelewa( hapa kuna matumaini)

5. wanaosubiri ajira & hawana watu wa kuwapa mtaji wala mawazo ya kupata mtaji.. hawana mawazo ya biashara hawa ndio wanateseka zaidi na ndio wako wengi... tumaini la kuwatoa hapo duh!(hapa hali ni tia maji tia maji)
 
Wadogo zangu ambao mnaosoma huu Uzi ambao mpo katika harakati za kutafuta kazi ukiona umefika umri wa miaka 30 hujapata kazi nakushauli achana na mambo ya kutafuta kazi na anza kufanya plan b kama ni kilimo,ufugaji,biashara uanze kutengeneza maisha yako badae mapema usisubili time its too late ndo uanze

Sasa hivi mambo ya kutegemea kuajiriwa ndio uanze kutengeneza maisha yako ya badae ni sawa na kucheza mchezo wa kamali hujui kama utapata au utakosa hivyo ni bora uanze mapema kujiajiri kuliko kutegemea kuajiriwa katika haya ninayoyasema kuna watu hawawezi kunielewa lakini nawambia katika hili eneo ukizembea tuu huku mbeleni ukiwa katika age kuanzia 40 ukifikisha na hakuna jambo lolote ulilifanya katika maisha yako utaumia sana, kibaya zaidi ajira zenyewe zinaenda na umri kuna age ukifika unaweza ukawa na vigezo vya kuajiriwa ila umri kikwazo lakini pia hapo utakuja kushanga wale madogo waliokuwa wanakuita sister au braza wamepiga hatua na wewe uko pale pale na story zile zile kuna mchongo nausikikilizia tangu miaka hiyo madogo wako zako wako wadogo hadi wanakuwa unawapigia story zile zile kuna kazi au mchango nausikilizia
Huku ukiwapiga vibomu vya hela na usipopewa unaona kama wamekunyima unaanza kuwakunjia ngita

Ushauli wadogo zangu amkeni mapema muanze kujitafutia haya kutegemea ajira na watu wanaokujua wakusaidie yatakuja kukupa shida huku mbeleni usipokuwa kitu na hata una elimu yako utadhalilika tuu
mkuu umenena
 
Wadogo zangu ambao mnaosoma huu Uzi ambao mpo katika harakati za kutafuta kazi ukiona umefika umri wa miaka 30 hujapata kazi nakushauli achana na mambo ya kutafuta kazi na anza kufanya plan b kama ni kilimo,ufugaji,biashara uanze kutengeneza maisha yako badae mapema usisubili time its too late ndo uanze

Sasa hivi mambo ya kutegemea kuajiriwa ndio uanze kutengeneza maisha yako ya badae ni sawa na kucheza mchezo wa kamali hujui kama utapata au utakosa hivyo ni bora uanze mapema kujiajiri kuliko kutegemea kuajiriwa katika haya ninayoyasema kuna watu hawawezi kunielewa lakini nawambia katika hili eneo ukizembea tuu huku mbeleni ukiwa katika age kuanzia 40 ukifikisha na hakuna jambo lolote ulilifanya katika maisha yako utaumia sana, kibaya zaidi ajira zenyewe zinaenda na umri kuna age ukifika unaweza ukawa na vigezo vya kuajiriwa ila umri kikwazo lakini pia hapo utakuja kushanga wale madogo waliokuwa wanakuita sister au braza wamepiga hatua na wewe uko pale pale na story zile zile kuna mchongo nausikikilizia tangu miaka hiyo madogo wako zako wako wadogo hadi wanakuwa unawapigia story zile zile kuna kazi au mchango nausikilizia
Huku ukiwapiga vibomu vya hela na usipopewa unaona kama wamekunyima unaanza kuwakunjia ngita

Ushauli wadogo zangu amkeni mapema muanze kujitafutia haya kutegemea ajira na watu wanaokujua wakusaidie yatakuja kukupa shida huku mbeleni usipokuwa kitu na hata una elimu yako utadhalilika tuu
Umemaliza mkuu ushauri mzuri sana sio mpaka miaka 30 unapoanza kujitambua time hiyohiyo inabidi uanze kujitafuta maisha yenyewe hayatabiriki
 
Nina braza wangu mmoja mwaka jana aliniambia kauli flani hivi kuwa ukifikisha tu miaka 30 unaanza kuona umri unakimbia sana kila mwaka mmoja unaouongeza ndani ya hisia zako unahisi umeongeza miaka kama mitano.
Aliniambia hivyo akiwa anasikitika sana maana malengo yake hayakwenda kama alivyopanga, ila ndani ya muda mfupi tu sahivi katoboa kiasi flani maana kuna juhudi fulani za pembeni alifanya sahivi ni boss flan hivi
 
Kama mtu aliyemaliza darasa la saba amepambana mpaka kujiajiri akawa na biashara yake kwanini wewe uliyemaliza chuo kipi kinakushinda aiseee ifike time uwaze maisha yako ya badae
Sahihi, huko vijijini kijana akifikisha Miaka 18 anapewa mke ,na anashamba kubwa tu, hapa Motivation speaker huwa nawatetea kwenye hoja ya kujiajiri

Vijana wengi tunaweza kujiajiri,Sema tunategemea zaidi ofisini, Kama mtu una simu ya milioni hushindwi kujiajiri
 
Baadhi ya watu wanachukulia kujiajiri ni jambo jepesi,yaani umalize chuo,ukajipangie,uanze kutafuta mtaji,mtaji ukue,uanze kupata faida,ufanyie mambo yako ya ziada kama ujenzi,ulipe mahari,usaidie ndugu zako na mengine mengi,aisee siyo rahisi kihivyo.Watu wajiulize,wadada kama wale Covid19 na baadhi ya wanasiasa,uwaambie waachie ngazi pale,wakajiajiri,utaona mziki wake,Covid19 wameona bora waende kortini tu,wakae bungeni,hadi 2025,watakua wamepata mbinu nyingine ya kuishi,kama ni kuunga juhudi za mama,au laah! lakini siyo sasa.
Vivyo hivyo,angalia yule Dr.Lutengwe wa Morogoro,aliyemwambia JPM,amsamehe,tena mtu ni Phd,anahofu ya kujiajiri,je graduate ambaye hana mtaji,na yupo kwenye viscous circle ya umaskini,Unadhani ni rahisi?
Watu wasichukulie poa.
Acheni uvivu nyie mbuzi ..Kama bado unasubiri ajira aise una safari ndefu ya kushinda umasikini.
 
Back
Top Bottom