jiko

Disney's Animal Kingdom Lodge is an African-themed deluxe resort at the Walt Disney World Resort. It opened on April 16, 2001. The resort is owned and operated by Disney Parks, Experiences and Products.
Disney's Animal Kingdom Lodge is located in the Animal Kingdom Resort Area, adjacent to Disney's Animal Kingdom. It gives guests the opportunity to view grazing wildlife outside their rooms and public areas in the resort within proximity of the animals, conveying the feeling of being in an African savanna.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Natafuta chumba, sebule choo na jiko Kigamboni

    Habari ya wakati huu wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, madalali wamenichosha hakika na wasumbufu na hawatimizi hitaji😥 Natafuta chumba, sebule choo na jiko ndani kwa bajeti ya 150,000. Kiwe mazingira salama na ndani ya uzio(sitokuwepo muda mwingi) Maeneo ni Kigamboni...
  2. JanguKamaJangu

    Chanzo moto ulioteketeza maduka Njombe ni jiko la mkaa, walitumia kupunguza baridi

    Baada ya moto kuteketeza maduka Matano na ghala za kuhifadhia bidhaa za maduka yaliyopo katikati ya Mji wa Njombe imebainika kuwa chanzo ni moto uliokuwa katika jiko la mkaa ambao ulitumika kwa ajili ya kupunguza baridi. Inspekta Lotma Dauda ambaye ni Afisa Oparesheni la Zimamoto na Uokoaji...
  3. M

    INAUZWA Nunua Jiko la Gas na Mtungi wake-TZS. 150,000

    WADAU NAUZA JIKO KUBWA LA GESI (LA BIASHARA) PAMOJA NA MTUNGI WAKE WA GASI MKUBWA WA KG 30 KWA TZS 150,000 TU. VIKO BUNJU DAR ES SALAAM PIGA 0767 72 73 88.
  4. M

    Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-180,000-Bunju B

    Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-180,000-Bunju B
  5. sky soldier

    umewahi kusahau kuwasha ama kuzima pasi, jiko, hita ya maji, rice cooker. n.k na ukaondoka... nini ulikikuta uliporudi ?

    1. kusahau kuwasha kuna siku niliweka mchele kwenye rice cooker nikawasha switch ila pale kwenye rice cooker sehemu ya cook sikubonyeza ,nikaenda kuanangalia muvi kwenye tv ,imefika saa 2 hivi nikasema ngoja nipakue nile nilale, naenda kufunua nakuta mifuta inaelea hakuna kilichopikika na nina...
  6. Tony254

    Kumbe Kenya ndio inaunda jiko nyingi sana duniani

    Kuna huyu mzungu aliyeanzisha kampuni yake hapa Kenya ya kuunda efficient jiko ambayo haitumii makaa kwa wingi kwa jina la Jiko koa. Anasema kwamba kampuni yake sasa ndio inayotengeneza jiko nyingi zaidi duniani. Mwezi huu pekee wataunda jiko 70,000 na nyingi zinakuwa exported nje ya Kenya.
  7. M

    INAUZWA Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-200,000 tu

    Linauzwa: jiko la gesi la biashara na mtungu wake-200,000 tu. Liko bunju b piga 0754 34 36 42
  8. Sky Eclat

    Hili joto kupikia jiko la gas kwenye chumba na sebule ni mateso

    Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata hivyo joto unalopambana nalo kwenye chumba wakati unapika ni kadhia nyingine. Unaishi kwenye chumba...
  9. Frumence M Kyauke

    Je, Diamond Platnumz kapata jiko? Akiri kupokea zawadi ya thamani kutoka kwa mkewe

    Je, Simba kapata windo lingine? Huenda nyota wa Bongo Naseeb Abdul Juma almaarufu kama Diamond Platnumz ana mke wa siri. Matamshi yake ya hivi majuzi alipokuwa anarekodi video ya wimbo 'Unachezaje' yamezua mjadala mkubwa mitandaoni iwapo mwanamuziki huyo amenyakua kipenzi kipya. Katika video...
  10. Guantanamoh

    Eneo la jiko linapangishwa

    Habari waungwana. Eneo la jiko linapangishwa maeneo ya Sinza. Kwa taarifa zaidi nicheki inbox. Asante
  11. Lycaon pictus

    Korido, sebule, chumba, jiko, master, dining nk, vinatakiwa kuwa na wastani wa ukubwa kiasi gani?

    Eti wakuu hivi vitu pamoja na milango, madirisha na umbali hadi darini kwa wastani unakuwa kuwaje. Maana nasikia hadi ngazi zina kipimo chake cha urefu na upana.
  12. luangalila

    TBC ni kituo cha kwanza duniani kuwa na studio yenye jiko

    Wadau habari zenu !! Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC TV katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,. Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera...
  13. Sitachoka

    INAUZWA Jiko plate 2 linauzwa Tsh. 50,000/-

    Njoo na elfu hamsini kuna jiko la plate 2 la gesi la bati halina kazi hapa home, limetumika kama mwezi hivi Lipo Dodoma Mjini Tuwasiliane kwa namba 0755472769
  14. E

    Oven ya deki tatu inauzwa

    Jiko la deki 3 ,trey 9 linauzwa, kwa wenye nia ya kufungua bakery ama baking zozote ni jiko zuri sana ni jipya halijawahi kutumiwa, bei mil 5 ,tuwasiliane no.0777482509.karibuni ulimwengu wa wajasiriamali.
  15. beth

    Geita: Jiko la mkaa laua Mama, watoto wawili

    Mkazi wa kijiji cha Busanda kata ya Busanda wilayani Geita Unice Kulwa(25) na wanawe wawili wamepoteza maisha baada ya kukosa hewa kutokana na kuingiza jiko la mkaa alilokuwa akipikia maharage kwenye nyumba waliyolala. Mbali na vifo hivyo pia baba wa familia hiyo Kulwa Kamili amenusurika kifo...
  16. Newbies

    Kwanini jiko la mkaa ukiwa ndani linaweza kupelekea vifo

    Imekuwa sio ajabu kusikia watu wamekutwa wamefariki ndani baada ya kulala na kuacha jiko la mkaa likiwaka. Lakini swali ambalo watu wamekuwa wakijiuliza ni, nini hutokea na kusababisha kifo pale mtu anapoacha jiko la mkaa likiwa linawaka huku akiwa amefunga madisisha na vyanzo vingine vya...
  17. KateMiddleton

    Mkali wa Jiko Azam TV

    Hongereni sana kwa hiki kipindi Waandaaji na Washiriki.. Mi nimekipenda Tulizoea kuona mashindano ya hivi kwa nchi za nje tu. ... Maoni; 1. Ile meza ya kuonjea iwe kubwa zaidi Ili Maybe kila chef judge apate plate yake for tasting kwa nafasi 2. Na serving dishes standard iwe plates kubwa zaidi...
  18. njule

    Mpishi wa kukaanga chips na kuku

    Habari wana JF Anahitajika haraka mpishi aliye kua mtalamu waku kaanga chips na kuku, kuchoma kuku na mishkati na mapishi mengine aina hio ya jiko. Anatakiwa awepo Dar. Tuwasiliane 0789155571
  19. Shujaa Mwendazake

    Mbowe na CHADEMA ni jiko zuri la Viongozi, wengi wateuliwa

    Watoto Wa Freeman Mbowe Kisiasa! David Kafulila, RC Mwita Waitara, N/Waziri Joshua Nassari, DC Fakii Lulandala, DC Albert Msando, DC David Silinde, N/Waziri, Vincent Mashinji, DC Mwambe, MB P. Gekuli, N/Waziri Shonza, MB Katambi, N/Waziri LijuaLikali, DC Kitila Mkumbo /Waziri Nadhani ni sahihi...
  20. X

    INAUZWA Jiko la umeme na gesi linauzwa bei nafuu

    Jiko la gas na umeme pamoja na oven. (Gas 3 na Umeme Moja) Limetumika kidogo sana. Ni VICTRA Japan. Njoo ulione ujiridhishe. Bei inapungua kidogo. Lipo Segerea - Dar es salaam Bei: 450,000/ Kwa uhitaji tafadhali piga namba hiyo 0689 217 050
Back
Top Bottom