In science, a formula is a concise way of expressing information symbolically, as in a mathematical formula or a chemical formula. The informal use of the term formula in science refers to the general construct of a relationship between given quantities.
The plural of formula can be either formulas (from the most common English plural noun form) or, under the influence of scientific Latin, formulae (from the original Latin).In mathematics, a formula generally refers to an identity which equates one mathematical expression to another, with the most important ones being mathematical theorems. Syntactically, a formula(often referred to as a well-formed formula) is an entity which is constructed using the symbols and formation rules of a given logical language. For example, determining the volume of a sphere requires a significant amount of integral calculus or its geometrical analogue, the method of exhaustion. However, having done this once in terms of some parameter (the radius for example), mathematicians have produced a formula to describe the volume of a sphere in terms of its radius:
V
=
4
3
π
r
3
{\displaystyle V={\frac {4}{3}}\pi r^{3}}
.Having obtained this result, the volume of any sphere can be computed as long as its radius is known. Here, notice that the volume V and the radius r are expressed as single letters instead of words or phrases. This convention, while less important in a relatively simple formula, means that mathematicians can more quickly manipulate formulas which are larger and more complex. Mathematical formulas are often algebraic, analytical or in closed form.In modern chemistry, a chemical formula is a way of expressing information about the proportions of atoms that constitute a particular chemical compound, using a single line of chemical element symbols, numbers, and sometimes other symbols, such as parentheses, brackets, and plus (+) and minus (−) signs. For example, H2O is the chemical formula for water, specifying that each molecule consists of two hydrogen (H) atoms and one oxygen (O) atom. Similarly, O−3 denotes an ozone molecule consisting of three oxygen atoms and a net negative charge.
In a general context, formulas are a manifestation of mathematical model to real world phenomena, and as such can be used to provide solution (or approximated solution) to real world problems, with some being more general than others. For example, the formula
F = mais an expression of Newton's second law, and is applicable to a wide range of physical situations. Other formulas, such as the use of the equation of a sine curve to model the movement of the tides in a bay, may be created to solve a particular problem. In all cases, however, formulas form the basis for calculations.
Expressions are distinct from formulas in that they cannot contain an equals sign (=). Expressions can be liken to phrases the same way formulas can be liken to grammatical sentences.
Kuna moja sijui kama bado ipo pale EAC Block kila ikiruka ni lazima ikate Kwanza Kiuno kidogo na Kupinda ili ipate Mwelekeo. Na hata ikiwa inatua ni lazima Boza la Maji liwe Jirani ili Kuipoza. Na nasikia kuna wakati huwa inatumiwa sana na Baba, Mama, Mpaka Supa Blaki na Sura Ngumu Funga Buti...
Hello wanajamii,
Baada ya kuwasaidia zaidi ya wafanyabiashara 3000 kujenga biashara mtandaoni, moja ya swali ninaloulizwa sana na watu ni formula nzuri ya kupata wazo zuri la biashara.
Nimejibu swali hilo katika video ifuatayo: https://www.youtube.com/watch?v=oN9ZQWzAoxk
Enjoy.
Kama una...
kuna kipindi kifupi hapo nyuma upepo wa fedha ulinipitia, niliwahi kuwa na biashara naingiza almost milioni 6 faida kila mwezi, nilishaiacha baada ya ushindani kujaa sokoni kiasi kwamba hata laki 5 kwa mwezi kuipata ilianza kuwa ngumu, 2020 niliachana na aliewahi kuwa mke wangu, sababu ikiwa...
Sina mambo Mengi sana ipo hivi nataka mshirika aliye serious tufanye ushirikiano wa kula hela japo ndogondogo kila siku formula hii hapa yeye Atachagua team moja ya GG Na Mimi nitachagua yangu moja kisha tutazicombine na angalau zikitoa maximum odds ya 3 basi tunaweka mzigo wa 20000 yeye 10000...
Amani iwe kwenu, Kumekuwepo na maneno mengi juu ya miujiza inayofanywa na wachungaji ,manabii na mitume kuwa, wanaweza kufanya miujiza ukabadilisha maisha yako mfano ukapandishwa cheo kazini, ukajenga ukapata mtoto na hata ukanunua gari.
Mnaowaamini hao mitume na manabii leteni ufafanuzi...
Kuna kitu kinanichanganya sana juu ya haya maziwa mbadala (Formula), je ni kweli yapo sawa tu na ya mama? Yaani mtoto aliyetumia Formula na aliyenyonya kwa mama yake hakuna aliyemzidi mwenzake virutubisho maana kumekuwa na mgongano wa hoja mitaani wengine wakidai yanatofauti huku wengine...
Naombeni mnisaidie formula ya kurahisisha kupata haya majibu kwenye excel.
Kila Box lina chupa 3, chupa 1 ni 0.1, chupa 2 ni 0.2, chupa 3 ni 0.3 sawa na box.
1 ni box moja, 1.1 ni box 1 na unit 1, 2.2 ni box 2 na unit 2, n.k.
Box zikiwa 10 zikitoka 4 jibu liwe 6
Box zikiwa 8 zikitoka 3.3...
Zanzibar imeibuka kuwa mshindani jasiri wa hafla ya Kiafrika kwenye kalenda ya mchezo wa magari ya Formula 1. Kwa kuungwa mkono na serikali, washindani wanaoheshimika, na wasimamizi wa michezo, kuna makubaliano ya pamoja juu ya umuhimu wa kuleta tukio hili la kusisimua katika bara.
Dhana hadi...
Wakuu habari za usiku..
Naomba niende kwenye swali moja kwa moja. Mimi nimetokea kuupenda sana mchezo wa draft lakini sasa sijajua namna ya kuucheza vyema.
Je draft inaformula yeyote ambayo ukiifuata unakua mchezaji mzuri?
Kumekuwa na tatizo la watu kutozaa watoto wengi kama zamani; kisingizio kikiwa ni ugumu wa maisha au kuonyesha kuwa wamestaarabika.
Hii imepelekea baadhi ya wazee wengi kuishi pekee yao, pamoja na kuwaongezea misongo ya mawazo; ikiwa ni pamoja na kujutia kwa nini katika ujana wao walizaa watoto...
Hatua za ukuaji wa mtoto huambatana na mabadiliko mengi ya kimwili. Mojawapo ya mabadiliko hayo ni kung’oka kwa meno ya awali na kuota kwa meno ya kudumu.
Mdau wa JamiiForums ametoa hoja kuwa meno ya mtoto mwenye umri kati ya miaka 6-7 yanapotingishika kisha yakaendelea kukaa pasipo...
Habari!
Mada kuu mahali popote walipo wawili, watatu au hata mtu mmoja ni pesa (mafanikio).
Ukikaa maingilio ya Kariakoo asubuhi utajionea maelfu ya watu wakitembea kwa haraka sana kufukuzana na pesa au mafanikio. Mchezo wa kusaka pesa (money game) ni wa milele. Mtu huacha kuwaza pesa pale...
Habari Wana Forum, naimani mu wazima wa afya.
Kabla sijaanza naomba radhi kwasababu ntatumia code mixing na code switching Ili kurahisisha ujumbe.
Kila mmoja ana jinsi yake ya kudefine na kuyaelewa Mafanikio. Lakini nijikite zaidi kwenye Mafanikio ya kiuchumi. Kichumi lakini pia kwa mtu...
Wakuu naombeni muongozo katika hili, nahitaji kujua jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku wa nyama (broiler).
Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua.
Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama...
Ukitaka kujua kama jambo ni baya au zuri andika herufi U kabla ya jina la jambo hilo. Jina utakalo lipata baada ya kuweka herufi U ndilo litakalo kupa majibu kama jambo hilo ni zuri ama sio zuri.
Natoa mifano kadhaa.
1. Dini.
Ukiweka herufi U kabla ya neno Dini unapata neno UDINI.
Maana...
Formula; "ONDOKA" 'ACHA' NDIO MAANA HALISI YA KUPATA MAFANIKIO.
Anaandika, Robert Heriel
Mwanafalsafa
Nitakuambia ukweli na siri wala sitakuchaji hata sumni wala shilingi yoyote. Vitu tulivyopewa bure tunavitoa Bure. Wala usinipe sifa yoyote Kwa maana sistahili sifa. Wala usinishukuru Bali...
MAISHA HAYANA FORMULA LAKINI YANA SIRI NYINGI! ANGALIA HIZI 11, KAMA ZITAWEZA KUKUFAA
1. SIRI YA KWANZA
Tengeneza "connection" na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha Kula maana "kikulacho kinguoni kwako!", Siyo rahisi rafiki akakubali upate...
Welcome to the Formula 1 official thread.
Anything related to F1, you are welcome.
Teams:
1. Red Bull Racing
2. Ferrari
3. Mercedes
4. Alpine
5. McLaren
6. Alfa Romeo
7. Haas F1 Team
8. Alpha Tauri
9. Aston Martin
10. Williams
Timu yangu ni Red Bull Racing.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.