formula

In science, a formula is a concise way of expressing information symbolically, as in a mathematical formula or a chemical formula. The informal use of the term formula in science refers to the general construct of a relationship between given quantities.
The plural of formula can be either formulas (from the most common English plural noun form) or, under the influence of scientific Latin, formulae (from the original Latin).In mathematics, a formula generally refers to an identity which equates one mathematical expression to another, with the most important ones being mathematical theorems. Syntactically, a formula(often referred to as a well-formed formula) is an entity which is constructed using the symbols and formation rules of a given logical language. For example, determining the volume of a sphere requires a significant amount of integral calculus or its geometrical analogue, the method of exhaustion. However, having done this once in terms of some parameter (the radius for example), mathematicians have produced a formula to describe the volume of a sphere in terms of its radius:




V
=


4
3


π

r

3




{\displaystyle V={\frac {4}{3}}\pi r^{3}}
.Having obtained this result, the volume of any sphere can be computed as long as its radius is known. Here, notice that the volume V and the radius r are expressed as single letters instead of words or phrases. This convention, while less important in a relatively simple formula, means that mathematicians can more quickly manipulate formulas which are larger and more complex. Mathematical formulas are often algebraic, analytical or in closed form.In modern chemistry, a chemical formula is a way of expressing information about the proportions of atoms that constitute a particular chemical compound, using a single line of chemical element symbols, numbers, and sometimes other symbols, such as parentheses, brackets, and plus (+) and minus (−) signs. For example, H2O is the chemical formula for water, specifying that each molecule consists of two hydrogen (H) atoms and one oxygen (O) atom. Similarly, O−3 denotes an ozone molecule consisting of three oxygen atoms and a net negative charge.
In a general context, formulas are a manifestation of mathematical model to real world phenomena, and as such can be used to provide solution (or approximated solution) to real world problems, with some being more general than others. For example, the formula

F = mais an expression of Newton's second law, and is applicable to a wide range of physical situations. Other formulas, such as the use of the equation of a sine curve to model the movement of the tides in a bay, may be created to solve a particular problem. In all cases, however, formulas form the basis for calculations.
Expressions are distinct from formulas in that they cannot contain an equals sign (=). Expressions can be liken to phrases the same way formulas can be liken to grammatical sentences.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Samahani nauliza tu je, na Helikopta za Wengine nazo ziko salama kwani Israeli sasa kabadili Formula ananyakua Juu kwa Juu tu

    Kuna moja sijui kama bado ipo pale EAC Block kila ikiruka ni lazima ikate Kwanza Kiuno kidogo na Kupinda ili ipate Mwelekeo. Na hata ikiwa inatua ni lazima Boza la Maji liwe Jirani ili Kuipoza. Na nasikia kuna wakati huwa inatumiwa sana na Baba, Mama, Mpaka Supa Blaki na Sura Ngumu Funga Buti...
  2. Dr. Said

    Pata Wazo Zuri la Biashara ya Mtandaoni Kwa Kufuata Formula Hii

    Hello wanajamii, Baada ya kuwasaidia zaidi ya wafanyabiashara 3000 kujenga biashara mtandaoni, moja ya swali ninaloulizwa sana na watu ni formula nzuri ya kupata wazo zuri la biashara. Nimejibu swali hilo katika video ifuatayo: https://www.youtube.com/watch?v=oN9ZQWzAoxk Enjoy. Kama una...
  3. U

    Mke wangu wa kwanza baada kuona naingiza pesa nyingi alijazwa upepo tuaachane ili apate pesa kirahisi

    kuna kipindi kifupi hapo nyuma upepo wa fedha ulinipitia, niliwahi kuwa na biashara naingiza almost milioni 6 faida kila mwezi, nilishaiacha baada ya ushindani kujaa sokoni kiasi kwamba hata laki 5 kwa mwezi kuipata ilianza kuwa ngumu, 2020 niliachana na aliewahi kuwa mke wangu, sababu ikiwa...
  4. ndege JOHN

    Nahitajika Mshirika tuchange naye BTTS mbili kianzio 10000 kila siku formula hii hapa

    Sina mambo Mengi sana ipo hivi nataka mshirika aliye serious tufanye ushirikiano wa kula hela japo ndogondogo kila siku formula hii hapa yeye Atachagua team moja ya GG Na Mimi nitachagua yangu moja kisha tutazicombine na angalau zikitoa maximum odds ya 3 basi tunaweka mzigo wa 20000 yeye 10000...
  5. M

    Nifafanulie formula atakoyotumia nabii au mtume kunifanya mimi mwenye mshahara wa 1,500,000 nijenge au ni nunue gari

    Amani iwe kwenu, Kumekuwepo na maneno mengi juu ya miujiza inayofanywa na wachungaji ,manabii na mitume kuwa, wanaweza kufanya miujiza ukabadilisha maisha yako mfano ukapandishwa cheo kazini, ukajenga ukapata mtoto na hata ukanunua gari. Mnaowaamini hao mitume na manabii leteni ufafanuzi...
  6. Nyendo

    KWELI Maziwa ya Mama yanavirutubisho vingi na bora zaidi kwa mtoto kuliko ya Formula

    Kuna kitu kinanichanganya sana juu ya haya maziwa mbadala (Formula), je ni kweli yapo sawa tu na ya mama? Yaani mtoto aliyetumia Formula na aliyenyonya kwa mama yake hakuna aliyemzidi mwenzake virutubisho maana kumekuwa na mgongano wa hoja mitaani wengine wakidai yanatofauti huku wengine...
  7. R-K-O

    Naombeni mnisaidie formula ya excel

    Naombeni mnisaidie formula ya kurahisisha kupata haya majibu kwenye excel. Kila Box lina chupa 3, chupa 1 ni 0.1, chupa 2 ni 0.2, chupa 3 ni 0.3 sawa na box. 1 ni box moja, 1.1 ni box 1 na unit 1, 2.2 ni box 2 na unit 2, n.k. Box zikiwa 10 zikitoka 4 jibu liwe 6 Box zikiwa 8 zikitoka 3.3...
  8. aronstephy

    Msaada: Wapi naweza kupata Maziwa ya watoto wadogo ambayo ni Protein Free (hypoallergenic infant formula milk)

    Habari ya kazi Wakuu. Ndani ya mkoa wa Dar es salaam, maziwa hayo yasiwe ya Soya au Almond. Kwa kampuni yoyote ile inayozalisha maziwa ya watoto.
  9. aleesha

    Tetesi: Zanzibar mbioni na mchezo wa formula 1

    Zanzibar imeibuka kuwa mshindani jasiri wa hafla ya Kiafrika kwenye kalenda ya mchezo wa magari ya Formula 1. Kwa kuungwa mkono na serikali, washindani wanaoheshimika, na wasimamizi wa michezo, kuna makubaliano ya pamoja juu ya umuhimu wa kuleta tukio hili la kusisimua katika bara. Dhana hadi...
  10. Benjamin10

    Nahitaji kujua formula za kucheza draft

    Wakuu habari za usiku.. Naomba niende kwenye swali moja kwa moja. Mimi nimetokea kuupenda sana mchezo wa draft lakini sasa sijajua namna ya kuucheza vyema. Je draft inaformula yeyote ambayo ukiifuata unakua mchezaji mzuri?
  11. Equation x

    Ni nani aliyekuja kutupa formula, ukiwa na mafanikio kidogo, unatakiwa uzae watoto wawili au mmoja?

    Kumekuwa na tatizo la watu kutozaa watoto wengi kama zamani; kisingizio kikiwa ni ugumu wa maisha au kuonyesha kuwa wamestaarabika. Hii imepelekea baadhi ya wazee wengi kuishi pekee yao, pamoja na kuwaongezea misongo ya mawazo; ikiwa ni pamoja na kujutia kwa nini katika ujana wao walizaa watoto...
  12. Bridger

    UZUSHI Meno ya mtoto yaliyolegea lazima yang’olewe ili kuzuia mengine yasiotee pembeni

    Hatua za ukuaji wa mtoto huambatana na mabadiliko mengi ya kimwili. Mojawapo ya mabadiliko hayo ni kung’oka kwa meno ya awali na kuota kwa meno ya kudumu. Mdau wa JamiiForums ametoa hoja kuwa meno ya mtoto mwenye umri kati ya miaka 6-7 yanapotingishika kisha yakaendelea kukaa pasipo...
  13. Kiboko ya Jiwe

    Mafanikio katika maisha hayana formula. Acha kuiogopa kesho yako

    Habari! Mada kuu mahali popote walipo wawili, watatu au hata mtu mmoja ni pesa (mafanikio). Ukikaa maingilio ya Kariakoo asubuhi utajionea maelfu ya watu wakitembea kwa haraka sana kufukuzana na pesa au mafanikio. Mchezo wa kusaka pesa (money game) ni wa milele. Mtu huacha kuwaza pesa pale...
  14. zagarinojo

    Je, Mafanikio yana Formula? Kufanikiwa ni mbinu au bahati?

    Habari Wana Forum, naimani mu wazima wa afya. Kabla sijaanza naomba radhi kwasababu ntatumia code mixing na code switching Ili kurahisisha ujumbe. Kila mmoja ana jinsi yake ya kudefine na kuyaelewa Mafanikio. Lakini nijikite zaidi kwenye Mafanikio ya kiuchumi. Kichumi lakini pia kwa mtu...
  15. Bushmamy

    Formula gani nzuri kwa ajili ya kuku wa nyama?

    Wakuu naombeni muongozo katika hili, nahitaji kujua jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku wa nyama (broiler). Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua. Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama...
  16. LIKUD

    Ijue formula rahisi ya kujua jambo kama ni baya au zuri

    Ukitaka kujua kama jambo ni baya au zuri andika herufi U kabla ya jina la jambo hilo. Jina utakalo lipata baada ya kuweka herufi U ndilo litakalo kupa majibu kama jambo hilo ni zuri ama sio zuri. Natoa mifano kadhaa. 1. Dini. Ukiweka herufi U kabla ya neno Dini unapata neno UDINI. Maana...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Formula; 'Ondoka' 'Acha' ndio maana halisi ya kupata Mafanikio

    Formula; "ONDOKA" 'ACHA' NDIO MAANA HALISI YA KUPATA MAFANIKIO. Anaandika, Robert Heriel Mwanafalsafa Nitakuambia ukweli na siri wala sitakuchaji hata sumni wala shilingi yoyote. Vitu tulivyopewa bure tunavitoa Bure. Wala usinipe sifa yoyote Kwa maana sistahili sifa. Wala usinishukuru Bali...
  18. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Maisha hayana formula lakini yana siri nyingi! Angalia hizi 11, kama zitaweza kukufaa

    MAISHA HAYANA FORMULA LAKINI YANA SIRI NYINGI! ANGALIA HIZI 11, KAMA ZITAWEZA KUKUFAA 1. SIRI YA KWANZA Tengeneza "connection" na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha Kula maana "kikulacho kinguoni kwako!", Siyo rahisi rafiki akakubali upate...
  19. Bavaria

    Formula 1 Official Thread

    Welcome to the Formula 1 official thread. Anything related to F1, you are welcome. Teams: 1. Red Bull Racing 2. Ferrari 3. Mercedes 4. Alpine 5. McLaren 6. Alfa Romeo 7. Haas F1 Team 8. Alpha Tauri 9. Aston Martin 10. Williams Timu yangu ni Red Bull Racing.
Back
Top Bottom