Microsoft Excel is a spreadsheet developed by Microsoft for Windows, macOS, Android and iOS. It features calculation, graphing tools, pivot tables, and a macro programming language called Visual Basic for Applications. It has been a very widely applied spreadsheet for these platforms, especially since version 5 in 1993, and it has replaced Lotus 1-2-3 as the industry standard for spreadsheets. Excel forms part of the Microsoft Office suite of software.
wakuu naomba msaada namna ya KUTENGENEZA AUTOMATIC templete ya matokeo ya shule ya msingi....yaani niwe naweka tu majina na matokeo, template yenyewe iwe inanitafutia jumla,wastani, daraja na nafasi.....automatic.....msaada wakuuuu
Ndugu habari
Mimi ni kijana mwenye ujuzi na excel sasa nmeona pengine naweza kuufanya ujuzi huu kuwa huduma na kupata chochote kinisadie hapa na kule.
Nina ujuzi na excel na ninaweza kutumia katika namna mbalimbali ili kuweza kusaidia kutatua changamoto tofauti tofauti.
Wee mfanya biashara...
Kwa wale wasio na mambo mengi mfano wanaandaa tu ripoti ya mauzo excel inawafaa lakini utawakuta kuna hawa wafanya biasahra wana mafaili kibao ya mauzo, madeni, stock, matumizi, n.k. bado wanatumia excel, yani kitu kimoja wanajaza mara tatu tatu au zaidi
Kwanini hakuna mazoea ya kutumia...
Naombeni mnisaidie formula ya kurahisisha kupata haya majibu kwenye excel.
Kila Box lina chupa 3, chupa 1 ni 0.1, chupa 2 ni 0.2, chupa 3 ni 0.3 sawa na box.
1 ni box moja, 1.1 ni box 1 na unit 1, 2.2 ni box 2 na unit 2, n.k.
Box zikiwa 10 zikitoka 4 jibu liwe 6
Box zikiwa 8 zikitoka 3.3...
Habarini wakuu
Nimewatengenezea MS Excel add-in ambayo inakusaidia kufanya translation, mfano kuna wakati unaweza kuwa na column ambayo ipo na rows nyingi ambazo content zake zipo kwa kiingereza na unataka kuzitafsiri kwenda kiswahili au lugha nyingine.
Si rahisi sana kufanya hivyo kwa kuandika...
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!
Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine...
Training Training Training
Step Ahead Financial Consultants Limited would like to invite all interested Accountants and Auditors to attend this important training on Advanced Excel for Accountants and Auditors which is scheduled as follows:-
Dodoma- from 5th-9th Sept 2022
Morogoro- from...
Wakuu habari .
Naomba kusaidiwa upande wa calculation za Excel.
Nikiwa nimepanga majina ya wanafunzi, nimeweka marks za kila somo, jumla, wastani, Daraja la ufaulu na , nafasi aliyoshika kila mwanafunzi.
Je nikitaka majina yajiapange kulingana na ufaulu wao nafanyaje?
Yaani Kama John kwenye...
How much will you make?
How much do you require to start?
What do you require to start?
Get detailed Excel Workbooks answering the above questions about the following businesses:
Restaurant
General Hardware
Fumigation Service
Sanitary Bins Services ( Small)
Motorcycle Spare Parts Retail...
DODOMA mpo?
Usikose Bonus hii ya Training ya Excel ambayo pia utapata Fursa ya kujifunza Kuandaa Mahesabu ya Kiuhasibu (Financial Statements) ...
Katika Training hiyo tutaanza Kwanza na Advanced Excel then tutakuja sasa kwenye application of Excel in Financial Statements and Book keeping of...
Yaani namna kuweka bidhaa mfano umeingiza chupa za maji 20 zikitoka chupa mbili iwe ina onyesha automatiki bei ya mebaki mangapi jumla ya pesa ya kuuzia na kujumlishia atakama mtu akiwa ana kuuzia yuko mbali mauzo una ya ona kwenye computer yako na wewe bila ya kumpigia kuwa ume uza nini na nini
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka
Nataka kutuma sms kwa watu wengi kila mtu na sms yake
Nimeshatengeneza excel file yenye collum
Jina|Phone number|SMS
Ujumbe upo tayari tatizo ni jinsi kutuma kwenye hizo phone number
Habari ya uzima wakuu katika jukwaa la technolojia.
Naomba mwenye ujuzi wa kwenye ms. excel anisaidie jinsi ya kuprint data zote kwenye “drop down menu” automatically kwa kutumia button moja.
Au hata kwa kutumia VBA code azinisaidie then kuziset kwa kuedit sheet ya drop down list na cell...
COURSE DETAILS
Step Ahead Financial Consultants (SAFCO) Ltd invites ALL Accountants and Auditors for the Financial Reporting with Advanced MS Excel training scheduled as follows:
DATES:
11th November 2020 - 14th November 2020
DAYS:
FOUR (4) DAYS TRAINING FROM WEDNESDAY TO SATURDAY...
Habari zenu wakuu, natumaini mu wazima.
Kuna zoezi fulani nataka kulirahisisha excel
Ni kwamba nina sheet mbili, sheet ya pili ina list ya vitu navyotaka kuviweka kwenye sheet ya kwanza endapo vimeuzika kwa hio siku.
kwa sasa nachofanya ni kwamba mfano nimeuza kiberiti, huwa naenda kwenye...
Baada ya kuona watu wengi wanaumiza kichwa juu ya gharama za ujenzi, kuanzia online hadi offline, nimeona kushare uzoefu wangu nanyi ni jambo muhimu.Kabla ya kukupa mbinu , nitangulize ushauri huu. Jambo la muhimu kuliko yote la kuelewa kabla hujaanza ujenzi ni kuwa, ujenzi ni mradi endelevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.