Nahitajika Mshirika tuchange naye BTTS mbili kianzio 10000 kila siku formula hii hapa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,579
44,822
Sina mambo Mengi sana ipo hivi nataka mshirika aliye serious tufanye ushirikiano wa kula hela japo ndogondogo kila siku formula hii hapa yeye Atachagua team moja ya GG Na Mimi nitachagua yangu moja kisha tutazicombine na angalau zikitoa maximum odds ya 3 basi tunaweka mzigo wa 20000 yeye 10000 na mimi 10000 ikitiki Mara ya kwanza tunagawa ile faida ya 40000 sawa kwa sawa na kesho tena tunatupia ile 20000 kianzio chetu.


Tukikosa siku hiyo tunatulia ila kesho tuna upgrade stake yeye aweke 20000 na Mimi niweke 20000 option ni ile ile team moja moja za GG Means kwamba 40000 yetu Mara odds 3 tutapata 120000 tutagawana 100000 na kesho yake tutaweka tena stake ya 20000.


Day 1-20,000 x3=60000
Day 2-40,000 X 3=120,000
Day 3-80,000 x 3=240,000

Ila kila tutapokuwa tunakula basi tu narudi kwenye mtaji wetu wa mwanzo wa 20000 ili tusiumie sana.
NB:lengo la kutafuta partner ni ili kupunguza Maumivu endapo tutaliwa ili tupeane moyo tusikate tamaa.

Stake tutaachiana zamu kuweka leo kwako kesho kwangu hivohivo kama kuna swali nakaribisha.Na kama mtu anataka tufanye Demo ya 1000 tufanye naye ili aone kama ni kweli inalipa
 
Tufanye tumelost day 1 lost ni 10000 kesho ukatoa 20000 ukalost means lost 30000 ila kesho Kutwa ukatoa 40000 means umespend 70000 ila mkila mnakula 240000 mkigawa 120000 kila mtu bado una faida na haiwezekan siku zote mkose GG MBILI TU
 
Sina mambo Mengi sana ipo hivi nataka mshirika aliye serious tufanye ushirikiano wa kula hela japo ndogondogo kila siku formula hii hapa yeye Atachagua team moja ya GG Na Mimi nitachagua yangu moja kisha tutazicombine na angalau zikitoa maximum odds ya 3 basi tunaweka mzigo wa 20000 yeye 10000 na mimi 10000 ikitiki Mara ya kwanza tunagawa ile faida ya 40000 sawa kwa sawa na kesho tena tunatupia ile 20000 kianzio chetu.


Tukikosa siku hiyo tunatulia ila kesho tuna upgrade stake yeye aweke 20000 na Mimi niweke 20000 option ni ile ile team moja moja za GG Means kwamba 40000 yetu Mara odds 3 tutapata 120000 tutagawana 100000 na kesho yake tutaweka tena stake ya 20000.


Day 1-20,000 x3=60000
Day 2-40,000 X 3=120,000
Day 3-80,000 x 3=240,000

Ila kila tutapokuwa tunakula basi tu narudi kwenye mtaji wetu wa mwanzo wa 20000 ili tusiumie sana.
NB:lengo la kutafuta partner ni ili kupunguza Maumivu endapo tutaliwa ili tupeane moyo tusikate tamaa.

Stake tutaachiana zamu kuweka leo kwako kesho kwangu hivohivo kama kuna swali nakaribisha.
Dah mdogo wangu hii kali sidhani kama naweza maana napenda sana kubeti iwe siri yangu .

Ndiyo maana uwa nikiliwa naingia ndani chooni nalia nikitoka ni mpya ya kale yanakuwa yamepita .

Anyway labda utampata mshirika , ningeweza kupandisha mikeka yangu hapa ungecheka mpaka ufe

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Dah mdogo wangu hii kali sidhani kama naweza maana napenda sana kubeti iwe siri yangu .

Ndiyo maana uwa nikiliwa naingia ndani chooni nalia nikitoka ni mpya ya kale yanakuwa yamepita .

Anyway labda utampata mshirika , ningeweza kupandisha mikeka yangu hapa ungecheka mpaka ufe

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Japo faida yake ndogo lakini Ukipata hela una isave kwenye account nyingine ya savings baadae mwisho wa mwezi unaweza kushangaa una laki 2 faida
 
Mambo sio mepesi hivyo labda kama unaingia uwanjani kucheza mwenyewe.
Maccabi Haifa vsMaccabi Tel AvivISR 21:30
BTTS/GG

Persik Kediri vs Bali United
INDO PL 15:00
BTTS/GG

Vasas vs Szeged 2011
HUN 22:00
BTTS/GG

Apoel Nicosia vs AEK Larnaca
CYP 20:00
BTTS/GG

Ethnikos Achna vs AE Zakakiou
CYP 20:00

Kesho fuatilia hizi Mechi za leo lazima ukute GG zaidi ya tatu ama nne SO NDO MAANA NATAKA MSHIRIKA MMOJA ILI MIMI NITOE MOJA TU YA UHAKIKA NA YEYE ATOE YAKE YA UHAKIKA
 
Weka mshahara wote kama ni uhakika alafu tukutane baada ya mechi
Hupaswi kuweka mshahara wote ndo maana wanakwambia bet what you can afford kukipoteza thus nimeweka kianzio kizuri cha 10000 kisha 20000 ili Ukipoteza usiumie sana na hela unayopata sio kubwa ila kama utakuwa unaitunza sehemu ukija kuitoa mwisho wa mwezi sio haba
 
Mambo kwa ground magumu, ila inawezekana ukiwa na bahati.
Mkuu ndo maana najua hilo hata nikachagua uwe na msimamo na option moja tu ambayo probability yake iko 50% na sio za Normal ambazo chance yake ni moja ya tatu kwa team mbili chance inalala kwenye 2 kwa Tisa
 
Hupaswi kuweka mshahara wote ndo maana wanakwambia bet what you can afford kukipoteza thus nimeweka kianzio kizuri cha 10000 kisha 20000 ili Ukipoteza usiumie sana na hela unayopata sio kubwa ila kama utakuwa unaitunza sehemu ukija kuitoa mwisho wa mwezi sio haba
Nmekwambia hivyo maana umesema ni uhakika.
 
Mkuu ndo maana najua hilo hata nikachagua uwe na msimamo na option moja tu ambayo probability yake iko 50% na sio za Normal ambazo chance yake ni moja ya tatu kwa team mbili chance inalala kwenye 2 kwa Tisa
Nipo hapa, mda mrefu nilikuw natafuta mshirika.
 
Back
Top Bottom