Cairo ( KY-roh; Arabic: القاهرة, romanized: al-Qāhirah, pronounced [ælˈqɑːhɪɾɑ] (listen), Coptic: ⲕⲁϩⲓⲣⲏ) is the capital of Egypt. Its metropolitan area, with a population of over 20 million, is the largest in Africa, in the Arab world, and the 6th-largest in the world. Cairo is associated with ancient Egypt, as the famous Giza pyramid complex and the ancient city of Memphis are located in its geographical area. Located near the Nile Delta, Cairo was founded in 969 AD by the Fatimid dynasty, but the land composing the present-day city was the site of ancient national capitals whose remnants remain visible in parts of Old Cairo. Cairo has long been a centre of the region's political and cultural life, and is titled "the city of a thousand minarets" for its preponderance of Islamic architecture. Cairo is considered a World City with a "Beta +" classification according to GaWC.Cairo has the oldest and largest film and music industries in the Arab world, as well as the world's second-oldest institution of higher learning, Al-Azhar University. Many international media, businesses, and organizations have regional headquarters in the city; the Arab League has had its headquarters in Cairo for most of its existence.
With a population of over 9 million spread over 3,085 square kilometers (1,191 sq mi), Cairo is by far the largest city in Egypt. An additional 9.5 million inhabitants live in close proximity to the city. Cairo, like many other megacities, suffers from high levels of pollution and traffic. The Cairo Metro is one of the only two metro systems in Africa (the other being in Algiers, Algeria), and ranks amongst the fifteen busiest in the world, with over 1 billion annual passenger rides. The economy of Cairo was ranked first in the Middle East in 2005, and 43rd globally on Foreign Policy's 2010 Global Cities Index.
1. Kibri chote kwishney, amri ni moja; kila mtu kaufyata:
Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!
2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata; mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:
3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari...
Simba mnyama hatari atakuwa uwanja wa Cairo International kuivaa Al Ahly katika mechi ya marudiano ya Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, kabumbu itasakatwa kuanzia saa 5:00 usiku ya Tanzania.
Simba ataweza kupindua meza? Mchawi dk 90.
Kikosi cha Simba SC
Mnyama Simba SC Ijumaa ya leo atakuwa dimba la Cairo International akicheza mechi ya marudiano ya robo fainali ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Katika mchezo wa kwanza Simba ilifungwa goli 1-0.
Mchezo huu utapigwa kuanzia saa 5:00 usiku.
Je, Simba watapindua meza?
---
Kikosi cha...
Mapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
Wakuu wasalaaaamu!
Huko Cairo kwenye makao makuu ya Club Al Ahly kumepamba moto, kocha Marcel Koller ameambiwa kuwa 'Afanye kila linalowezekana ili kumfunga Simba goli zisizopungua 3 mechi ya kesho uwanja wa Benjamin Mkapa'.
Mwanzo tuliona sisi Simba tuna possibility ya kushinda sababu Al...
Huu mradi katika ukanda wa kati njia hii kutoka Cairo mpaka captown utapitia dsr es salaam nomba kujua mikoa mengine.
Hii hapa nimepata nchi itakamo pita.
Mwandishi wa huu Uzi Tukuka GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC lia lia hata Wenzake akina Dada Nifah, Bishoo adriz, Rafiki yangu Bila bila na Popoma Takatifu Tate Mkuu wanajua hilo hadi na wana JamiiForums wote.
Ni imani yangu wana Yanga SC Wenzangu mtanijibu nwana Yanga SC Mwenzenu GENTAMYCINE...
Matokeo yalikuwa yanawapumbaza mashabiki na kujisifia pira objective ilihali timu kupata clean sheet ni mbingu na ardhi. Mpira objective unaanzia kwanza kutoruhusu goli ovyo ovyo. Mechi dhidi ya power dynamo ilikuwa ni tahadhari ya timu ielekeapo lakini matokeo yakawapumbaza watu, kisha Al Ahly...
Baada ya 1st leg kumalizika kwa Mamelody kuibuka na ushindi wa bao 1-0 leo ni mchezo wa pili wa marudiano.
Mechi inayarajiwa kuwa ngumu kwa dakika zote.
Muda wa mechi ni 21:00
Kikosi cha Al Ahly
Kikosi cha Mamelodi
Mchezo una kasi, Al Ahly wanapambana kutafuta goli la kusawazisha kwa kuwa...
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa...
Ukiuangalia Uchezaji wa Simba SC yangu na wa Watani zangu Yanga SC utaona tofauti Kubwa mno na ndiyo maana GENTAMYCINE leo sioni Aibu wala Siogopi kusema kuwa kwa Yanga SC hii ya sasa na nilivyowaona Al Ahly FC kwa Mechi zao Mbili hizi walizocheza na Simba SC nawaona Yanga SC wakikutana nao...
Haijakamilika Mpaka ikamilike.
Leo 24.10.2023 Muda wa saa 11 jioni kwa saa za Africa Mashariki.
Itapigwa Match ya marudiano kati ya hawa mabingwa wa Africa.
Ni Al Ahly ya Misri dhidi ya Simba ya Tanzania.
Ikumbukwe kwenye 1st Leg Iliyopigwa Dar es Salaam 20.10.2023. Timu hizi zilitoka sare...
Kuelekea michezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya kombe la Afrika (AFL) kesho kati ya Simba SC dhidi ya wenyeji Al Ahly, katika dimba la Cairo imebainika kuwa sheria ya goli la ugenini sio ishu tena.
Wawili hao walipelekeana moto kwa sare ya 2-2 katika dimba la Benjamin Mkapa huku wengi...
Matokeo kwa wenye Akili Kubwa na Watu wa Mpira akina GENTAMYCINE tumeshayajua ila kwakuwa Watu hawapendi Ukweli na wanataka Kudanganywa na Unafiki basi nami naungana nao ( huku Moyoni nikiwadharau ) kuwa Mwarabu aliyetukosakosa kama Goli 4 Kipindi cha Kwanza na Goli 2 Kipindi cha Pili anakufa na...
KISASI cha miaka ishirini iliyopita kimelipwa Ijumaa usiku katika Uwanja wa Mohamed V, pale Casablanca.
Kisasi cha watu wa Afrika Kaskazini dhidi ya Simba. Maumivu yalikuwa makubwa wakati Simba walipoitoa Zamalek kwa penalti katika uwanja wa Taifa wa Misri miaka ishirini iliyopita pale Cairo...
Habari za kufurahisha moyo kwa mashabiki wa Yanga! Klabu hiyo imemtuma tena Ofisa Mtendaji wao Mkuu, Andre Mtine, kwenda kufuatilia droo ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi ya Mabingwa Afrika.
Hafla hiyo itafanyika kesho jijini Cairo na Yanga ni moja kati ya timu 8...
Naam, ile DRAW ya vibonde wa Champions League waliotupwa huko Shirikisho, ambapo inabidi wacheze play offs, inachezeshwa kesho kutwa jijini Cairo saa 10 jioni saa za Kibongo.
Draw hiyo itakuwa na vibonde kama TP Mazembe, La Passe, Young Africans, Kwara UTD, Plateu, Zesco n.k. Hatma ya vibonde...
VICTOR OLUWOLE
October 25, 2021 3:57 PM
World Travel Awards – the leading authority that recognises and rewards excellence in travel and tourism – has named Nairobi the continent’s leading business travel destination during the 2021 Africa and Indian Ocean World Travel Awards.
An aerial...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.