Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,818
- 4,569
Mnyama Simba SC Ijumaa ya leo atakuwa dimba la Cairo International akicheza mechi ya marudiano ya robo fainali ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Katika mchezo wa kwanza Simba ilifungwa goli 1-0.
Mchezo huu utapigwa kuanzia saa 5:00 usiku.
Je, Simba watapindua meza?
---
Kikosi cha Simba kinachoanza
Kikosi cha Al Ahly kilichoanza
10' Simba 0 - 0 Al Ahly
15' Simba 0 - 0 Al Ahly
20' Simba 0 - 0 Al Ahly
30' Simba 0 - 0 Al Ahly
40' Simba 0 - 0 Al Ahly
45' Simba 0 - 0 Al Ahly
HT: Simba 0 - 0 Al Ahly