A billion is a number with two distinct definitions:
1,000,000,000, i.e. one thousand million, or 109 (ten to the ninth power), as defined on the short scale. This is now the meaning in both British and American English.
1,000,000,000,000, i.e. one million million, or 1012 (ten to the twelfth power), as defined on the long scale. This is one thousand times larger than the short scale billion, and equivalent to the short scale trillion. This is the historical meaning in English and the current use in many non-English-speaking countries where billion and trillion 1018 (ten to the eighteenth power) maintain their long scale definitions.American English adopted the short scale definition from the French (it enjoyed usage in France at the time, alongside the long-scale definition). The United Kingdom used the long scale billion until 1974, when the government officially switched to the short scale, but since the 1950s the short scale had already been increasingly used in technical writing and journalism; the long scale definition still enjoys some limited usage in the UK.Other countries use the word billion (or words cognate to it) to denote either the long scale or short scale billion. (For details, see Long and short scales § Current usage.)
Milliard, another term for one thousand million, is still found occasionally in English, and is very common in most other European languages. For example, Bulgarian, Catalan, Croatian, Czech, Danish, Dutch, Finnish, French, Georgian, German, Hebrew (Asia), Hungarian, Italian, Norwegian, Polish, Portuguese, Romanian, Russian, Serbian, Slovak, Slovene, Spanish, Swedish, Persian, Turkish and Ukrainian — use milliard (or a related word) for the short scale billion, and billion (or a related word) for the long scale billion. Thus for these languages billion is thousand times larger than the modern English billion. However, in Russian, while milliard (миллиард) is used for the short scale billion, trillion (триллион) is used for the long scale billion.
Baada ya mkwamo wa muda mrefu uliochangiwa na baadhi ya wabunge wa Marekani wenye mahaba na Putin hatimaye bunge la Marekani limepitisha kifurushi kipya cha $billion 60 kwa vita vya Ukraine.
Msaada huu mpya kwa Ukraine unajiri baada ya mwaka mmoja na nusu tangu bunge lililokuwa likiongozwa na...
Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia.
Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets...
Anaitwa truong my Lan umri ni miaka 67 Tajiri wa ki Vietnam amepatikana na hatua ya kutakatisha hela kwenye Bank moja kubwa Kwa zaidi ya miaka 11.ila nimeshindwa kujua hasa alifanya fraud kivipi Kwa maana hiyo hela aliichukua kama mikopo. Kesi hio Ilikuwa ni kubwa sana kiasi kwamba ilihusisha...
A 286 billion Tanzanian shilling deal has been signed by the government and China Construction Engineering Group (CRCEG) for the building of a new football stadium in Arusha. Minister for Culture, Arts and Sports Dr. Damas Ndumbaro, stated during the signing ceremony today, March 19, 2024, in...
Kama kisemacho kichwa cha habari kwa sahivi natengeneza mfumo wa kodi ambao ukiwa adopted baada ya miaka 10 utakua na uwezo wa kukusanya usd billion 700+.
Nikimaliza ntawapa mrejesho.
Raisi Samia Suluhu Hassan alilipa billion 14 za mapunjo ya madai ya kustaafu waliokuwa wafanyakazi wa Air Tanzania Company Limited tarehe 27/12/2023 kwenye mfuko wa PSSSF.
Hadi muda huu ni asilimia thelathini tu ya Wastaafu ndio wamelipwa wengine wanapigwa dana dana hawalipi. Hawa ni pamoja...
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye...
Chadema wamelipwa Tsh Bilioni 2.7 kama ruzuku
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amedai moja kati ya masharti ambayo waliomba CHADEMA ni kulipwa ruzuku yao ya miaka 3.
Kinana amesema ombi hilo lilikuwa gumu kutokana na ruzuku hutokana na bajeti ya serikali...
Mzuka Wanajamvi.
Deni la taifa linaloongoza kwa uchumi duniani imefika dola za kimarekani billion 300.
Inasikitisha sana Taifa hili kubwa Afrika kiuchumi kufikia hii hatua ambapo ajira zimeshuka, utawala mbovu, ufisadi, uchumi kudorora, uhalifu habari wa umeme etc.
Je wataweza kulipunguza...
Leo Mtoto wa Mfalme wa Dubai ametangaza kuwa, Wafanyikazi wote wa Serekali ya Dubai, watapata Bonus kutegemeana na Mafanikio yao kazini. Idadi ya Bunus hiyo ni AED 152,000,000/- sawa US$ 41,000,000/-. Asilimia (%) 75 ya Wafanyikazi wa Dubai sio wananchi wa Dubai bali ni wananchi wa nchi...
Kuna Mikataba mingi ambayo Tanesco imeingia toka alipo teuliwa Maharage Chande haikulenga kabisa uzalishaji wa umeme.
Ililenga matumizi na matanuzi na miundombinu.
Kwahiyo kutuaminisha kuwa mabwawa hayana maji kwa Mvua hizi hakuna mtu atawaamini.
Mimi kwa miaka mitatu nimemfuatilia sana vyombo...
Ni habari ambayo imeacha watu vinywa wazi baada ya CEO wa Tesla na Space X Elon Musk kupendekeza kuisaidia wikipedia msaada wa dola bilioni moja kwa masharti kama itaweza kubadili jina kutoka wikipedia kuwa 'Dickipedia', :oops: Elon Musk amesisitiza ametoa kipindi chini ya mwaka mmoja...
Hawa viongozi tuliowaamini wana mgao! Wao ndo wanapanga fidia kiasi gani! Unakuta mlalamikaji wala hana neno na alishindwa kwenye kesi ya msingi ya kwanza! Sasa wanamwendea na kumlazimisha aifufue hiyo kesi na atashinda kwa fidia (labda tuseme 1 billion).
Hawa watanzania mafisadi wanasema...
Hawa viongozi tuliowaamini wana mgao! Wao ndo wanapanga fidia kiasi gani! Unakuta mlalamikaji wala hana neno na alishindwa kwenye kesi ya msingi ya kwanza! Sasa wanamwendea na kumlazimisha aifufue hiyo kesi na atashinda kwa fidia (labda tuseme 1 billion).
Hawa watanzania mafisadi wanasema...
Wachezaji hawana morali kabisa. Hii Ni kutokana na timu kutumia fadha nyingi Sana kukamilisha sajili za kimadili dili. Wakati Caf wakitoa billion 5 za usajili Simba. Viongozi walitumia pesa hizo zote kusajili wachezaji wazuri na kuweka timu kambi uturuki. Baada ya Mo kuona kilakitu kimeenda sawa...
We should all calm down and support Simba . Watuwakilishe vyema .
Super league ni Kama trial . Bonanza la famous African teams . Na 5 billions ni winners money.
A senior FIFA official confirmed to me in private statements that it had been agreed that the prizes for the first edition of the...
你好
China’s Guangdong province is doubling down on expanding its local semiconductor industry to meet growing demand for chips from the region’s carmakers and electronics companies, according to a high-ranking local government official.
Guangdong vice-governor Wang Xi told the annual China IC...
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia...
Nimekuwa mfuatiliaji wa karibu sana wa mada mbali mbali hususani JF na Twitter.
Vijana wengi wamekuwa wanalalamika sana kushindwa kuanzisha biashara za kujikimu kimaisha (Malazi & Chakula)
I've been wondering kuona hili bado ni Tatizo kubwa kwa Vijana wengi ambao in reality wengi wako tired na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.